Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,819
- 2,134
- tumia akili kufikiriMtasema yote sasa hivi. Kumbe ndio maana mnatetea lgbt
Mkuu hawataki kuamani ila ndio ukweli huyu Lema kaonyesha zarau kubwa mnoo kwa watanzania na waafrika kwa ujumla .Huwa najiuliza hivi huyu jamaa angekuwa amesoma sijui angekuwa na majigambo ya aina gani aiseeKwenye hili Lema amekosea, kazi yoyote halali si laana. Tutafikia hatua kila kazi ya chini ya kipato kidogo tutasema ni laana. Watu wa hali ya chini wanaofanya shughuli zao kutokana na uwezo wao kielimu, kiuchumi wapo duniani kote.
Kisingizio cha bodaboda kufa, kuumia, kuwa vilema ni mazingira ya kazi yenyewe. Ukienda nchi kama Rwanda, kuna utaratibu mzuri sana wa bodaboda na usalama wao na hakuna ajali za kizembe kama huku kwetu.
Lema ni mbishi lakini maelezo yake ya awali yamejaa ukakasi sana. Hata alivyozungumzia issue za vikoba ameongea vibaya na ufafanuzi mwepesi sana.
Maisha yanabadilika sana, yumkini haoni mkewe kuja kujiunga na vikoba wala mwanae au mjukuu wake kufanya kazi hiyo ya laana lakini kulikuwa na namna bora ya ku address hili bila swala lenyewe kuliita laana.
Waambieni ukweli viongozi wenu msipende kuwatetea ovyo! Mnawapoteza!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wataajiriwa na Lemamnataka watu waache bodaboda wawe wezi
Atakujibu kuwa watoto wake alishawabadilisha mindset hawawezi fanya kazi za laaanaKuna watu watauliza kama watoto wa Lema nao wanaendesha boda au lah 😄
Huo ni uthibitisho tosha kuwa betting is insanity, ni mateja.Wakuu,
Jana Lema alikiona cha mtema kuni baada ya kuwashambulia wazee wa kubeti.
Wana walimvamia kwenye tweet yake hadi akaifuta. Na aliifuta ndani ya dk 20 tu baada ya kuona vita haiwezi.
Betting iachwe ilivyo. Isiguswe. Na hatuachiView attachment 2538056
Umasikini na Ujinga wa WaTz ndio mtaji wa ccm. Wao wamshambulie Lema, ila umasikini na ujinga utawashambulia maisha yao yote.Wakuu,
Jana Lema alikiona cha mtema kuni baada ya kuwashambulia wazee wa kubeti.
Wana walimvamia kwenye tweet yake hadi akaifuta. Na aliifuta ndani ya dk 20 tu baada ya kuona vita haiwezi.
Betting iachwe ilivyo. Isiguswe. Na hatuachiView attachment 2538056
Kwa hiyo hao waliokuwa wanamtafuta hawaijui migodi yake wakaifunga?mbona unakatisha hoja yake?
amesema ilimlazimu kuvaa baibui akienda kukagua machimbo yake ya madini kipindi cha magu ili asitambulike kutokana na hofu ya usalama wake.
Wengine wanasema sababu ni mambo ya lgbtSasa ndio ujikite kwenye hiyo sababu na sio kujikita kwenye uvaaji tu, yaani ni kitu gani kilipelekea hadi huyo ndugu akaamua kuvaa baibui??.
Mtoa mada ni mpuuziHaijalishi kama iliweza kuokoa maisha yake tatizo liko wapi!!?? Hoja za kipuuzi kabisa? Hili nalo linaongeza vipi uchumi wa nchi bwana Kisarawe kama akili haijajaa kamasi!!?
Au una stress za kuachwa??
Kweli ujinga mzigo. Hii nayo ni hoja ya kuleta hapa jukwaani?Kuna jambo limeshtua wengi sana na ningependa kujua upande wa pili wa chama wao wanaonaje kuhusiana na hilo suala. Sote tunajua baibui huvaliwa na kina nani..
Lema amekiri Amewahi Kuvaa Baibui mara kadhaa, hii kwa chadema wanaichukuliaje? Ni kawaida au chama kimeingia doa? Ikumbukwe lema ni kiongozi mkubwa wa chama.
Ningependa kujua viongozi wa chadema wanachukuliaje hili? Wanaona kawaida? Au wamefedheheka? Vipi wafuasi wa chama nao wanaona kawaida au wamefedheheka?
Swali pia ambalo ningependa kujua, Kama alikua akivaa mabaibui na Madera, ni mangapi amefanya akiwa kwenye mavazi hayo?
Ni maswali ya kupenda kujua zaidi, pia Kama tukijulishwa hakuna ubaya wowote basi itakua vizuri.
Wakuu,
Jana Lema alikiona cha mtema kuni baada ya kuwashambulia wazee wa kubeti.
Wana walimvamia kwenye tweet yake hadi akaifuta. Na aliifuta ndani ya dk 20 tu baada ya kuona vita haiwezi.
Betting iachwe ilivyo. Isiguswe. Na hatuachiView attachment 2538056