Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Siku ya kiwasili kwake angewafukuza wote na kwenye kampeni zao wasiwatumie

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
God bless Lema ni mmoja ya wapumbavu waliopo chadema
 
Kuna kikundi cha wachovu kule walikuwa wanasema tatizo la ajira ni la dunia nzima. Hiv wapi waliskia nafasi ya uhasibu 20 sahili imeganyikia Uwanja wa mpira wa kimataifa kama sio Tanzania?.

Wanasahau kabisa kama TANZANIA ni dunia ya 4
 
Kwahiyo tuajili wazungu waje wafanye kazi za kusajili line, bodaboda, mama ntilie, etc? [emoji16][emoji16]
Kuzunguka mitaani kusajili line inaona dili. Kwa hiyo ni ajira ya kutegemewa?
 
Tanzania noma na nusu, kumkandamiza mwananchi wa chini ndio agenda kuu
 
Ukweli gani ?

..kwamba Ccm wanawahadaa kuwa bodaboda ni ajira.

..kwamba Ccm wanatamani kuacha ajira zao wawe bodaboda.

..kwamba Ccm wanasomesha watoto wao ili wakihitimu wafanye kazi ya bodaboda.

..kwamba iko siku Ccm wataacha V-8 watumie usafiri wa bodaboda.
 
Ameiambia ccm ifanye kitu msianze kumshambulia.

Tatizo la maskini akiambiwa ukweli anachukia badala ya kutafakari
CCM siku zote wanafanya kitu, na vijana kuwa hao boda sijui wasajili laini ni sehemu ya kujipambania hatima yao, hakuna nchi dunia hii ianyoajili asilimia kia ya raia wake, kujipambania imo
 
Wakuu huyu jamaa

Akiongea na vyombo vya habari Lema amesema kwanza anashukuru mapokezi makubwa aliyopata wakati anarejea nchini.

Lakini pia ameshauri watanzania wote kwa umoja wao waanze kuvaa sare za chadema kwani zinawapendeza sana.

Akiendelea kufafanua mbele ya waandishi wa habari amesema sare za chama cha mapinduzi zinanuka kwani hata binamu yake kule machame alikua akiwa ameivaa ile rangi ya kijani nyumba nzima watu wanakimbia kwa harufu ya sare yake ya CCM.

Ngoja tusubiri kesho ataongea nini na waandishi wa habari.
 
Kwa hiyo anataka mwanae awe mwizi wa magari kama yeye?
 
Ameiambia ccm ifanye kitu msianze kumshambulia.

Tatizo la maskini akiambiwa ukweli anachukia badala ya kutafakari
Kwa uelewa wako unadhani fursa za kiuchumi kwa vijana wa Tanzania ziko wazi na uwezekano wa kuzikamata ni sawa kwa wengi? Tusiseme kwa wote kwanza.
 
Comment yako hii nimeielewa sana Mkuu. [emoji1666][emoji1666]
 
Aisee..! Boda boda, Vikoba, Line za simu, Sare za CCM, kwahivyo amekuwa kila muda anakuja na jambo lingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…