Walikuwa wanahisi wote sie wajinga humuKuna kikundi cha wachovu kule walikuwa wanasema tatizo la ajira ni la dunia nzima. Hiv wapi waliskia nafasi ya uhasibu 20 sahili imeganyikia Uwanja wa mpira wa kimataifa kama sio Tanzania?.
Wanasahau kabisa kama TANZANIA ni dunia ya 4
Nabii si angefungua kanisa kama yeye ni nabii. Analeta swaga za Mwalimu aliekuwa anaangalia TV ikulu na kuja kusema ameota.Lema ni nabii alisema bwana yule aache Mambo ya ovyo au ataenda zake ikawa. Sasa swala la bodaboda mmemulewa vibaya ..dongo kaipiga serikali kuona bodaboda ni ajira..watu wanalala maofisini Hawana vision kwa Taifa hili ..tuna maliasili kibao kwenye nchi lakini tumezikalia tu...A blessing in disguise
Kwani ni lazima line asajili mtu?Hizi za line atafanya nani?
☑️Hapo kwa Boda Boda na mama lishe naomba uzingatie Speed governor.
Katika hilo kundi kuna literate na illiterates.
The forementioned wana extra options sababu wako na academic certificates ambazo ni kama silaha kwa nchi yetu hii wanaajirika when neccessary.
The later wao hawana option zaidi ya kugaragara kwenye uchuuzi tu na boda boda. Watabadilisha kazi ila ni humo humo labda wahamie kwenye kuchoma kuku barabarani.
I Agree with you kuwa Lema ni duanzi na serikali lazma ifanye majukumu yake.
They need something to keep them afloat.Mbona maandalizi na mapokezi hayaishi 🤣🤣🤣
Kwani unaendesha gari gani mkuu??Wanasaidia sana japo ni very risky, jana usiku ilikuwa nimuue moja na abiria wake Morogoro road. Anakuja site ambayo gari zinaenda namie ndio nimechomoa gari naikata Eiecher ile narudisha upande wangu tu huyu hapa nikapiga brake ghafla ndio pona yake. 🤣🤣🤣
Kwani Lema ndio mtu wa kwanza kuishi abroad? Hivi ameishi muda gani?Ndio madhara ya kwenda abroad kuishi haya,ukirudi kila mtu unamwona mshamba,kapitwa na wakati,ananuka,hana elimu wala hana future[emoji28][emoji28].
Kama ana watu wa karibu aambiwe apunguze speed barabara sio ndefu mbele na haijanyooka sana.
Toyota SurfKwani unaendesha gari gani mkuu??
Nimawazo yake huwezi kaumu japo alitumia neno kakasi... kiukweli bodaboda nikazi ya hovyo (ajali mkononi). Vijana wajae kwenye kilimo,kufuga na ufundi siyo kwenye bodaboda nihatari sn kwaustawi wa taifa. Bora ziwe nyingi bajaji sio boda
Hana hata 3 yrsKwani Lema ndio mtu wa kwanza kuishi abroad? Hivi ameishi muda gani?
Kumbe mara Moja Moja ukitibiwa mirembe Huwa una point 🤪🤪Unaposema boda boda ni kazi ya laana, kusajili laini ni kazi ya kipuuzi hutaki mwanao umuone anaifanya utamfukuza kwako, vikoba ni laana sijui hutaki mkeo ajihusishe navyo kabisa.
From a standing point wewe ni mkimbizi wa kisiasa umebebwa huko Canada for over a year. Umepata PR na familia yako na privileges nyingi huko. Umeyaona maisha kwa utofauti hilo hatukatai. Najua kwa sasa wewe watoto wako wanaweza wakaishi huko Canada for whatever reasons, huko ada hazilipwi ni serikali kila kitu. Mzazi kazi yako ni kulipa kodi ya nyumba na utilities tu.
Viwanda na Private companies ziko kibao kiasi kwamba ishu ya kupata cha kufanya wakimaliza vyuo ni wao kuamua tu kukaa kwenye corporate sphere, kwenda kuuza migahawa, kukwangua mabarafu na kutawaza wazee.Maybe sio kazi za hovyo atleast kwa uchumi wa Canada maana hata wazungu wenyewe wa huko hawazitaki.
That being said, wewe unapata wapi guts za kusema kuwa Watanzania wanafanya kazi za laana esp. Boda boda, wasajili line na wauza mboga wanaocheza vikoba? Okay, hizo kazi ni za laana atleast kwa fikra zako lakini ushajiuliza kuna ugumu kiasi gani kwa hapa Tanzania when it comes to making ends meet?
Sidhani kama una idea kwamba graduate aliyemaliza chuo anaetoka familia hohehae anapitia ugumu kiasi gani na fedhea ilioje pale anapokosa ajira na hana mtaji! Usicheze na maisha ya watu kabisa, huna ajira una mke na mtoto huna chanzo cha pesa unafikiria kitakachofuata nini?
Utakaa chini unaangalia familia iangamie? Boda boda ndio quick fix ya maisha yetu ya dhiki walau familia zile na maisha yaende, vikoba ndio quick fix ya mikopo ya benki bila masharti magumu.
Toa solution watu wafanye nini baada ya kuachana na hizo kazi za laana. Sio unaropoka hovyo tu bila kuwa na substance. Tanzania sio Canada watu wanakolipwa dollar 15-20 kwa kazi ya saa 1. Huku unapigishwa mzigo masaa 12 unalipwa elfu 4 na hamna kitu utaongea.