Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Kwani ni lazima line asajili mtu?
Yeah, zinaweza kusajili hata roboti,, sasa tuseme line zisajili roboti, mama ntilie zipike roboti, kulima kwa jembe la mkono, tutumie roboti, housegel tutumie roboti,,, barmaid tutumie roboti, kazi za kudhalilisha kama kupalilia, kusafisha vyoo, kufua, etc, zote tutumie roboti,,
Huoni matumizi ya umeme yatakua juu sana bosi?, 😂😂
 
Lema ni sawa na mtu wa mkoani aliyeenda dar akaishi kwa muda akarudi mkoani hapo kila mtu atamuona ni mshamba hajui fursa hana exposure kama yeye
 
Tulipofikia kila mtu anasema liwalo na liwe
 
In Chinua Achebe Things Fall Apart (1958?) Okonkwo is told things have changed! It's no longer Umofia you left six years ago.
Mbaino is just like Canada.
Lema has to learn that Tanzania has changed, it's not that he left some years ago.
Ajitafakari sana.
Jana Bodaboda alosema wamelaaniwa, CCM wakawatumia kikamilifu kwenye msafara wa Mh SSH.
Kwa hili CDM wamefungwa magoli 7 kama MAN U
 
Jana niliandika sehemu, "wajinga ni chakula cha wanasiasa ..."

Hapo ndipo mwenye akili atakaponyanyuka na kusema hili hapana ila nao wameamua kuwa wajinga.
 
Majeruhi 6 kwa jiji la watu milioni 2 kama dar, ni kiwango kidogo sana, very insignificant, ukichukulia bodaboda wanaendesha vijana barubaru , miji mikubwa duniani ajali kwa siku ni jambo lisiloepukika
 
Bodaboda hawajitambui. Wajiulize ni mtoto gani wa kiongozi wa CCM Ni Bodaboda?
 
Hamtaki mawazo ya kimaendeleo mnataka huruma huruma jinga sana...
Hatamimi nkiskia mwanangu anazunguka kwenye mabar kuuza soksi ama sjui nail cutter namfukuza nyumbani!!!
Tuwaandalie watoto vyakufanya, tuwafundishe ufundi/ tununue hata mashamba tuyaweke vizuri watalima sio unajua kuzalisha watoto kuliko kuzalisha mali pyumbyaafyu!!
 
Wewe Maisha ya mtaani unayaelewa Vizuri msomi wa degree kuwa bodaboda Ni Upumbavu wa ccm
Mbona hata New york wanaendesha pikipiki?, Au kosa ni kujipatia kipato kwa uboda boda?
2022 data zinasema New york pekee ajali za pikipiki zimeua watu 200,
Kama tatizo ni pikipiki basi zipigwe marufuku, tutembee kwa miguu kama enzi za ujima🤷🏽‍♂️
 
Ameiambia ccm ifanye kitu msianze kumshambulia.

Tatizo la maskini akiambiwa ukweli anachukia badala ya kutafakari
Yaani wewe kama unaona Yuko sawa kwenye anavyoviongea inapaswa wewe na yeye mpelekwe kwa wataalamu wa afya za akili. Anatafuta pa kushika ila tatizo yote aongeayo ndio yaleyale yanayosemwa na watu vijiweni, watu walitegemea angekuja na majibu ya hizo laana na umasikini ausemao ila cha ajabu anakuja na pointi zisizoonesha zitokako Wala hazitoi mwanga wa wapi zinaelekea
 
Hata marekani wapo wanaofanya kazi kwa kulipwa kamisheni
 
Laana,vifo,washamba na yeye ni mchagga ndani ya mwaka mmoja nchini CANADA
 
Maneno yanaumba amshukuru Mungu anavijisenti na hiyo alivyojongwa huko Canada hao wanaosajili na bodaboda wanaingiza vipato hali au anataka wawe panya road au wezi?
 
Nani atawaandalia upuuzi tu wacha watu watafute maisha

USSR
 
Safi lema elimisha vijana siku tukikinukisha waingie barabarani kudai katiba mpya, anachoogopa Samia kwa chadema Ni nguvu yao yao ya kuingiza watu barabarani, nguvu ya umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…