Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Ni sawa, ila LEMA naye anapaswa kuchuja vitu anavyoongea na apunguze jazba.

Anapaswa kujua uelewa wa Watanzania wengi ukoje hasa jamii ya watu hao kama bodaboda na wanawake wajasiriamali wa sokoni na magengeni.

Yeye badala ya kuongelea HOJA za msingi na kueleza kipi ataweza kufanya kwa wananchi kupitia chama chake yeye anaongea hovyo, nathubutu kusema ANAROPOKA.

Alishaongea pia hovyo pale sokoni Samunge.
 
Ile siku ommy anaondoka pekeake ndipo alipata ajar pale uhasibu juu darajani ilikua one way enzi izo....

Nipale watu wanapo amua kuelewa wanacho kielewa... upotoshaji umetamalaki...

Mpk Leo ommy mguu wake mmoja ni mfupi for sure bila pesa pale MOI wangemkata mguu .....
 
Bodaboda wameathirika the so called Stockholm Syndrome. Msiwashangae bali muwahurumie
 
..ukimsikiliza lissu..msomi.aliyekaa nje mda mrefu kuliko lema (asiyesoma) utaona tofauti ya hoja zao sana ..lema yuko nje sana ya uhalisia kwenye hoja zake..wakati lissu anajenga hoja kwa kuendana na uhalisia...
 
Ngoja nijibu kama hivi;

1/ Amesema ni kazi ya Laana pengine sababu namna wanavyotumiwa na Wanasiasa kwenge ajenda zao,ila kiukweli ni kazi kama kazi zingine,watu huendesha maisha yao kwa hiyo kazi.

2/Tatizo la ajali za Boda boda,asilimia kubwa ni uzembe wao binafsi, wengi hawafuati sheria za barabarani haswa speed na hili linatokana na namna hawa wanavopata leseni zao,mafunzo ni mtaani mtaani tu.

3/Wengi hii kazi wameingia kama tegemeo la mwisho, baada ya ajira kuwa shida, hii taswira inaweza badilishwa kwa kuwekewa mifumo rasmi,itambulike kama ajira zingine.

4/Kuna hoja ya uzeeni wataishije, hii itufungue namna ya kuwasaidia kuwapa elimu namna ya ku save for the future.

5/Serikali iangalie namna ya Kukuza sekta ya kilimo,naona huku tunaweza jificha vijans wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Kweli Hadi mkuu extrovert umeandika Uzi bas Ni kwamba umekereka Kam mm kwa kauli za huyo mpuuzi wa chadema kuita Kaz. Ni laana ni mikosi anajitafutia kenge huyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Fikiri kabla ya kutenda, ila watu maarufu wengi huwa hawawazi nini cha kuongea mbele ya kamera, na kwenye kadamnasi
 
Wanasiasa hutumia ujinga wa wananchi kupitia kura
 
Sio Lema tu Chadema imeejaa wapuuzi wengi sana ambao wamekuwa entertained kwa miaka mingi sana.

Wameharibu akili za vijana wengi mno.
Yaani hapa umanena ,chadema wameharibu vijana hadi wasomi walioamua kabisa kuwa wajinga kama ambavyo Diamond kaweza kupata wafuasi kwa nyimbo za matusi tu
 
Ukisikia mjinga aisee huyu jamaa amepitiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…