Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
ha ha ha . LEMA naomba uje kuwa mbunge wangu huku mtwara, yani huku watu ni mazuzu miaka 60 hatujui maji wala umemewanasema eti leo ya Lema, leo ndio nimeamini watu ni waongo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha . LEMA naomba uje kuwa mbunge wangu huku mtwara, yani huku watu ni mazuzu miaka 60 hatujui maji wala umemewanasema eti leo ya Lema, leo ndio nimeamini watu ni waongo sana
Mwanasiasa na Mbunge huyo wa zamani wa Arusha Mjini, ametua Nchini, leo Jumatano Machi Mosi, 2023 akitokea Canada na kupokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KI
Sasa kwanini mnaniuliza uliza , mngeacha niwaletee taarifa tuUnatumia muda mwingi replays badala ya kuleta taarifa kwenye thead yako.
Amen" .... akakaa huko hata alipokufa Herode; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nalimwita mwanangu.",
Mungu ni wa ajabu sana!
Ulikuwa unataka akampokee mama yako?Mwanaume mwenye kende zake unaacha kazi zako unaenda kumpokea mwanaume mwezako?
Kwani wapumbavu hukosekana basi? Hao wote ni wapumbavuDuuh huu ulikua msiba wa anayedaiwa kuwa Fisadi, kweli za kuambiwa changanya na zako
Huyo kaomba poo kwa Mwana FAAtakutajia Tivu ake
unataka kudanganya nini ?Arusha ipi
YesMpaka President anaipigia salute kwa furahal...leo kajionea mwenyewe.....
Hivi hujawahi kuona wanakijij wamejaza kuangalia mamba aliyekuwa anakula mifugo yao walipoambiwa mamba huyo kafa ?Duuh huu ulikua msiba wa anayedaiwa kuwa Fisadi, kweli za kuambiwa changanya na zako
🤣🤣🤣🤣mkuu umeongea neno gumu sana" .... akakaa huko hata alipokufa Herode; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nalimwita mwanangu.",
Mungu ni wa ajabu sana!
mama alishuka pale akienda kuwapa wana ccm semina elekezi ambazo mwendazake alizifuta, alishangaa na wana CHADEMA walaibaki kumshangilia.Kwakweli kumpokea Lema nilikuwepo, jamaa ana ushawishi wa hali ya juu mno, sikutegemea watu wangekuwa wengi vile
Huu ni uongo uliopitiliza.umati kama wote
Ilikuwa ni uwanja WA ndege WA Dar ,Marehemu akisafirishwa kwenda Dom hapo hujaelewa kipi?Dodoma airpoti iko hivyo! Tangu lini wamejenga teminal yenye daraja la kupandia ndege! Sema usemavyo ila hautaweza kubadili vuguvugu hilo.