Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Ilikuwa ni uwanja WA ndege WA Dar ,Marehemu akisafirishwa kwenda Dom hapo hujaelewa kipi?
Picha za uwanja wa ndege Dar hazikosi majengo ya hali ya hewa na minazi, KIA huwa hakuna miti kwani ni sehemu kavu, na ndivyo picha inavyoonesha, hata hivyo nyie kataeni kuwa kulifurika ila mjue mama aliwapungia mkono japo hawakumjali wala kumpungia.
 
Niwapongeze CHADEMA kwa namna wanavyojua kupangilia Matukio yao ya kisiasa kwa ubunifu na pia kuweza kumantain kuaminika na Watanzania wengi hadi sasa.

Ila lazima tukubali ukweli kuwa kuna Platform wanaziandaa vizuri wanapata watu wengi sana ila wanashindwa kuzitumia vizuri sana ikiwemo ya Mapokezi ya Godbless Lema na uzinduzi wa Mikutano ya hadhara Mwanza.

Niwapongeze walivyotumia Platform ya Mapokezi ya Lissu vizuri na kufikisha vyema ujumbe wa Katiba Mpya bila kuchanganya Mambo na ukafika vizuri sana.

Nimefuatilia mapokezi ya Godbless Lema yalienda vizuri na alifanikiwa kueleza vizuri sababu ya kuondoka ila hoja Kuu kama umuhimu wa Katiba Mpya hazikupewa uzito wa kutosha katika jukwaa muhimu kama lile, pia kuna Maneno ambayo Godbless aliyasema hayakuhitajika kusemwa kwa waliofuatilia vyema mtanielewa.

Ni wakati sasa Team ya CHADEMA inayoandaa Matukio haya kuhakikisha wanawaandaa Viongozi wake vyema kutumia vizuri Platforms hizo kusukuma kwa uzito Agenda Kuu za Chama.
 
Watu wa CHADEMA huwa siku zote hamna adabu. Kila mtu kwenu kama sio wa kaskazini huwa rahisi sana kumtukana au kumzushia jambo.
Unanibatizaje Chadema mkuu? Yaani MTU akisema ukweli mnampa Chama Kwa nguvu? Kifupi mambo mengi ya ndani ya Chama ya Chadema hayavuji kirahisi kama kwetu. Kwetu tumejaa makundi tunayochocheana tu. Hivyo kwenye ukweli tuseme ili tupone.
 
😆😆😆😆😆

FB_IMG_17125842510366944.jpg
 
Back
Top Bottom