Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Arusha: Yanayojiri kwenye Mapokezi ya Godbless Lema

Wakuu natanguliza salamu , poleni kwa Ugumu wa Maisha unaowakabili nchini Tanzania kwa sasa , , basi baada ya pole hizo naingia moja kwa moja kwenye mada

Ile siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Wananchi wa Arusha , imekwisha wadia , Unaambiwa usiku wa deni hauchelewi , yaani ukieagama tu kumekucha !

Taarifa kutoka kwenye kamati ya Mapokezi inaonyesha kwamba ndege ya ETH 815 aliyopanda Lema ambaye pia anatambulika kama Nabii wa Mungu , kutokana na unabii wake wote kutimia , imeondoka Addis Ababa , Ethiopia saa 4:40 asubuhi hii na inatarajiwa kutua KIA saa 6:39 mchana .

Tayari njia zilizotangazwa kutumika kwa ajili ya msafara huo Mkubwa na unaotarajiwa kuvunja rekodi , zimekwisha furika Wananchi , huku wengi wakiwa wanapeperusha bendera za Chadema na matawi ya miti , kiukweli shamra shamra ni kubwa kiasi ambacho kimewafanya baadhi ya WATALII KUAHIRISHA KUTEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA , huku wakijawa na Shauku ya kutaka kumuona mtu anayesubiriwa kwa kiasi hicho .

Kama kawaida Erythrocyte atawaleta kila kinachojiri .

Usiondoke JF
Mwanaume mwenye kende zake unaacha kazi zako unaenda kumpokea mwanaume mwezako?
 
Msipige deki barabara tu wakuu.
 
LiverpoolFC
Mbona kuna kitu sijakielewa! Hapo juu nimeona nyomi linakimbilia ndege tena ya ATCL,sasa hivi unasema ndege inakaribia kutua, which is which?
 
Video ya mazishi ya Marehemu Magufuri akisafirishwa kwenda Dodoma Kwa ndege ambapo wananchi walivunja uzio kwenda kumuaga wewe unaiweka hapa kwamba wameenda kumpokea Lema !!!!!!!!!!


Mungu atakulaani
 
Alafu kijana Erythrocyte usitufanye wengine humu ni vijana wenzako.

Unaposema utatuletea live coverage, you mean kila kinachojiri basi iwe hivyo na siyo waje JF wakaweka LIVE ndipo uzi wako upate heading NO.

Unaposema wananchi wanapeperusha bendera na matawi ya miti, hebu simu yako itumike kuonyesha hao watu, usisubiri JF iweke LIVE ili uzi wako upate heading NO.

Nowadays simu ni kila kitu, hata live ya 10sec kwa eneo ulipo itakupa credit kubwa kuliko kuhadaa watu wazima hapa!.
 
Video ya mazishi ya Marehemu Magufuri akisafirishwa kwenda Dodoma Kwa ndege ambapo wananchi walivunja uzio kwenda kumuaga wewe unaiweka hapa kwamba wameenda kumpokea Lema !!!!!!!!!!


Mungu atakulaani
Dodoma airpoti iko hivyo! Tangu lini wamejenga teminal yenye daraja la kupandia ndege! Sema usemavyo ila hautaweza kubadili vuguvugu hilo.
 
Ndio maana kila unapopita unakutana na mapori.
 
Alafu kijana Erythrocyte usitufanye wengine humu ni vijana wenzako.

Unaposema utatuletea live coverage, you mean kila kinachojiri basi iwe hivyo na siyo waje JF wakaweka LIVE ndipo uzi wako upate heading NO.

Unaposema wananchi wanapeperusha bendera na matawi ya miti, hebu simu yako itumike kuonyesha hao watu, usisubiri JF iweke LIVE ili uzi wako upate heading NO.

Nowadays simu ni kila kitu, hata live ya 10sec kwa eneo ulipo itakupa credit kubwa kuliko kuhadaa watu wazima hapa!.
Hadaa maana yake nini ? unamaanisha nimeleta uzi ili kuja kuhadaa watu hapa jf ? sijawahi kufanya hadaa na wala sina sababu ya kufanya hivyo .

Halafu ikitokea yeyote akasaidia kuweka tukio sidhani kama ni vibaya , mimi siwezi kuwa engo zote
 
Wakuu natanguliza salamu , poleni kwa Ugumu wa Maisha unaowakabili nchini Tanzania kwa sasa , , basi baada ya pole hizo naingia moja kwa moja kwenye mada

Ile siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na Wananchi wa Arusha , imekwisha wadia , Unaambiwa usiku wa deni hauchelewi , yaani ukieagama tu kumekucha !

Taarifa kutoka kwenye kamati ya Mapokezi inaonyesha kwamba ndege ya ETH 815 aliyopanda Lema ambaye pia anatambulika kama Nabii wa Mungu , kutokana na unabii wake wote kutimia , imeondoka Addis Ababa , Ethiopia saa 4:40 asubuhi hii na inatarajiwa kutua KIA saa 6:39 mchana .

Tayari njia zilizotangazwa kutumika kwa ajili ya msafara huo Mkubwa na unaotarajiwa kuvunja rekodi , zimekwisha furika Wananchi , huku wengi wakiwa wanapeperusha bendera za Chadema na matawi ya miti , kiukweli shamra shamra ni kubwa kiasi ambacho kimewafanya baadhi ya WATALII KUAHIRISHA KUTEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA , huku wakijawa na Shauku ya kutaka kumuona mtu anayesubiriwa kwa kiasi hicho .

Kama kawaida Erythrocyte atawaleta kila kinachojiri .

Usiondoke JF

==========
UPDATES :

Inasemekana Rais Samia naye ametua Arusha , ila bado haijajulikana kama naye atashiriki Mapokezi hayo au ana shughuli nyingine .
Atashiriki.
 
Back
Top Bottom