Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Mkakusanyike masokoni mjidai mna Nyomi.
Chama la mazezeta Cdm
Chama la mazezeta Cdm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenTunasubiri kwa hamu sana na tutashiriki maandamano hayo kwa amani kabisa. Mungu ibariki CHADEMA!
Majini si Uchawi ni ushirikinaUnaamini uchawi?
Unateseka ukiwa wapi ?Mkakusanyike masokoni mjidai mna Nyomi.
Chama la mazezeta Cdm
Acha kuogopa kivuli chako, uoga wako ndio umetuleta hapa kama nchi,police wajibu wao ni kulinda raia na hawaruhusiwi kwenye public protest kuwa na live bullets, maandamano ni haki ya kikatiba ,wewe ni nani kusema yasitishweJITAHIDINI SANA WAFUASI WENU WASIVUNJE SHERIA, UKIZINGATIA ARUSHA INA WAVUTA BANGE WENGI, KITENDO CHA GHASIA TU, MAANA YAKE MAANDAMANO HAYATUFAI NA YASITISHWE MARA MOJA.
Kosa kubwa la katiba yetu ni kuruhusu maandamano ya hovyo hovyo, kipengele hiki ndani ya katiba kiangaliwe upya na kurekebishwa.Acha kuogopa kivuli chako, uoga wako ndio umetuleta hapa kama nchi,police wajibu wao ni kulinda raia na hawaruhusiwi kwenye public protest kuwa na live bullets, maandamano ni haki ya kikatiba ,wewe ni nani kusema yasitishwe
Ushaosha vyombo hapo Kwa Sugu?Unateseka ukiwa wapi ?
Hii route waliyo sema ianzie Jr mie naona wamekoseaView attachment 2911091
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yaliyoletwa na Mungu , ya kupinga Dhiki , Ufukara , Ugumu wa Maisha , Bei kubwa ya bidhaa zote ikiwemo Vyakula , pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi , Maandamano yanayoandaliwa na Chama chenye Maono CHADEMA , Sasa yameingia Arusha .
Wataalam wa kuhesabu namba baada ya kujua kwamba Maandamano hayo makubwa yamepangwa kufanyika tarehe 27 /02/2024 na baada ya kufahamu kwamba leo ni 21/02/2024 , Wamedai kwamba zimebakia siku 6 tu kabla ya shughuli hiyo kubwa kufanyika .
Usiondoke JF , maana mtumishi wako Erythrocyte atashiriki na atakuletea kila kinachojiri , ikiwemo taarifa za wote wanaoingilia Maandamano hayo kwa shari kama alivyofanya Biteko Mbeya .
Bei ya sukari haikuhusu? Uko kwa shemeji na bando la dezo kwa hisani ya sisiteri teh tehMkakusanyike masokoni mjidai mna Nyomi.
Chama la mazezeta Cdm
Well Noted Mkuu...Hii route waliyo sema ianzie Jr mie naona wamekosea
Route ingeanzia Morombo ipitie Ngusero itokee Ngarenaro.
Halafu hao wa Karatu waanzie TANAPA wakutane Ngarenaro. Wa Jr kuja Ngarenaro sio mbali.
Wewe zezeta naweza kuilisha ukoo wenuBei ya sukari haikuhusu? Uko kwa shemeji na bando la dezo kwa hisani ya sisiteri teh teh
Si mnasema ni matembezi ya mshikamano , kulikoni tena ?Kosa kubwa la katiba yetu ni kuruhusu maandamano ya hovyo hovyo, kipengele hiki ndani ya katiba kiangaliwe upya na kurekebishwa.
Ngoja tuwasiliane na MagomaHii route waliyo sema ianzie Jr mie naona wamekosea
Route ingeanzia Morombo ipitie Ngusero itokee Ngarenaro.
Halafu hao wa Karatu waanzie TANAPA wakutane Ngarenaro. Wa Jr kuja Ngarenaro sio mbali.
Kisukari kishapanda !Wewe zezeta naweza kuilisha ukoo wenu
Jitu kula tu mpaka udange
Njoo Goma uwone navyowashughulikia mbwaporiWewe zezeta naweza kuilisha ukoo wenu
Jitu kula tu mpaka udange
Akili kisoda hiziKikao kimeamua kuwaswaga arusha, hongera sana ninyi mtakao tumia vibaya muda wenu. (Saa 2 asb-11 jioni.)
Kumekucha....Wamasai wa Ngorongoro na Loliondo wamesema wanaanza Msafara wa kuja Arusha wana hasira baada kuzuiwa kumsikiliza Jemadari Tundu Lissu.
Unaumia ukiwa unakata gogoKikao kimeamua kuwaswaga arusha, hongera sana ninyi mtakao tumia vibaya muda wenu. (Saa 2 asb-11 jioni.)