Pre GE2025 Arusha: Zimebakia siku 6 tu kabla Neema ya Maandamano ya Amani

Pre GE2025 Arusha: Zimebakia siku 6 tu kabla Neema ya Maandamano ya Amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
JITAHIDINI SANA WAFUASI WENU WASIVUNJE SHERIA, UKIZINGATIA ARUSHA INA WAVUTA BANGE WENGI, KITENDO CHA GHASIA TU, MAANA YAKE MAANDAMANO HAYATUFAI NA YASITISHWE MARA MOJA.
Acha kuogopa kivuli chako, uoga wako ndio umetuleta hapa kama nchi,police wajibu wao ni kulinda raia na hawaruhusiwi kwenye public protest kuwa na live bullets, maandamano ni haki ya kikatiba ,wewe ni nani kusema yasitishwe
 
Acha kuogopa kivuli chako, uoga wako ndio umetuleta hapa kama nchi,police wajibu wao ni kulinda raia na hawaruhusiwi kwenye public protest kuwa na live bullets, maandamano ni haki ya kikatiba ,wewe ni nani kusema yasitishwe
Kosa kubwa la katiba yetu ni kuruhusu maandamano ya hovyo hovyo, kipengele hiki ndani ya katiba kiangaliwe upya na kurekebishwa.
 
View attachment 2911091

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yaliyoletwa na Mungu , ya kupinga Dhiki , Ufukara , Ugumu wa Maisha , Bei kubwa ya bidhaa zote ikiwemo Vyakula , pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi , Maandamano yanayoandaliwa na Chama chenye Maono CHADEMA , Sasa yameingia Arusha .

Wataalam wa kuhesabu namba baada ya kujua kwamba Maandamano hayo makubwa yamepangwa kufanyika tarehe 27 /02/2024 na baada ya kufahamu kwamba leo ni 21/02/2024 , Wamedai kwamba zimebakia siku 6 tu kabla ya shughuli hiyo kubwa kufanyika .

Usiondoke JF , maana mtumishi wako Erythrocyte atashiriki na atakuletea kila kinachojiri , ikiwemo taarifa za wote wanaoingilia Maandamano hayo kwa shari kama alivyofanya Biteko Mbeya .
Hii route waliyo sema ianzie Jr mie naona wamekosea
Route ingeanzia Morombo ipitie Ngusero itokee Ngarenaro.
Halafu hao wa Karatu waanzie TANAPA wakutane Ngarenaro. Wa Jr kuja Ngarenaro sio mbali.
 
Hii route waliyo sema ianzie Jr mie naona wamekosea
Route ingeanzia Morombo ipitie Ngusero itokee Ngarenaro.
Halafu hao wa Karatu waanzie TANAPA wakutane Ngarenaro. Wa Jr kuja Ngarenaro sio mbali.
Well Noted Mkuu...
 
Hii route waliyo sema ianzie Jr mie naona wamekosea
Route ingeanzia Morombo ipitie Ngusero itokee Ngarenaro.
Halafu hao wa Karatu waanzie TANAPA wakutane Ngarenaro. Wa Jr kuja Ngarenaro sio mbali.
Ngoja tuwasiliane na Magoma
 
Wewe zezeta naweza kuilisha ukoo wenu

Jitu kula tu mpaka udange
Njoo Goma uwone navyowashughulikia mbwapori

Zuungusha kimini hapa Dodoma nasikia umelanga hapo Monduli teh teh teh umejibebesha Ukoo yaani ni uchawadanga kwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom