Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
bado siku 2 na nusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamasa ni kubwa sana magari ya Matangazo kila kona....watu ni shauku kuanza maandamano hata keshobado siku 2 na nusu
Hakuna cha kuhumilia hata nukta kwa hawa wavutabange tutawafundisha adabu, ngoja waingie vizuri kwenye timing!Unaumia ukiwa unakata gogo
Zile sauti za Speaker na vipaza sauti mjioange mnazingua bwanaView attachment 2911091
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yaliyoletwa na Mungu , ya kupinga Dhiki , Ufukara , Ugumu wa Maisha , Bei kubwa ya bidhaa zote ikiwemo Vyakula , pamoja na kupinga miswada mibovu ya sheria za uchaguzi , Maandamano yanayoandaliwa na Chama chenye Maono CHADEMA , Sasa yameingia Arusha .
Wataalam wa kuhesabu namba baada ya kujua kwamba Maandamano hayo makubwa yamepangwa kufanyika tarehe 27 /02/2024 na baada ya kufahamu kwamba leo ni 21/02/2024 , Wamedai kwamba zimebakia siku 6 tu kabla ya shughuli hiyo kubwa kufanyika .
Usiondoke JF , maana mtumishi wako Erythrocyte atashiriki na atakuletea kila kinachojiri , ikiwemo taarifa za wote wanaoingilia Maandamano hayo kwa shari kama alivyofanya Biteko Mbeya .
Pole kwa maumivu KakaHakuna cha kuhumilia hata nukta kwa hawa wavutabange tutawafundisha adabu, ngoja waingie vizuri kwenye timing!