ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Ukimwi ni ngumu sana kuupata na ni rahisi sana kuupata kazio kwenye hili eneo mpaka unapata ukimwi ni umeutafuta kwa tochi punguzeni ujuaji kwenye bed ukimwaga inatosha akikudharau unapungukiwa nini?
Ata mimi huwa nawaambia vijana wenzangu haya haya maneno.
 
Kuugua sio kufa!
Kuna wanaokufa na ajali na hata hawajawahi kuugua,jipe moyo mkuu!
 
Mie nilishasema ikitokea siku nimeukwaa sintokuja kutumia hizo njugu,
Nabadiri mtindo wa maisha na kula diet inayoeleweka pia naacha ngono basi maisha yatasonga tu
Usiombe yakukute tu...
 
Mkuu kama hutojali..


Kabla ya kugundulika una maambukizi

Je ni dalili gan za awali ulizokua nazo kiasi ukaamua kwenda kupima HIV?

Au ulikua poa tu sema ukaamua kuchek afya yako???
 
Hapo shukuru inaonekana K ya huyo mother ilikuwa swimming pool kwako.
 
Mkuu kama hutojali..


Kabla ya kugundulika una maambukizi

Je ni dalili gan za awali ulizokua nazo kiasi ukaamua kwenda kupima HIV?

Au ulikua poa tu sema ukaamua kuchek afya yako???
Huyu mtoa uzi inaonekana hayupo wazi ameandika kimasihara masihara tu.
 
Kama anao basi itakuwa ni Salma t*ako wa Sinza pale ndio kamuambukiza, huyo kaua wengi sana nayeye ni mtumiaji wa ARV kwa miaka mingiii.
 
Kamsome deception utajifunza kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…