Mwezi??[emoji848][emoji848]Zinasaidia kwa zaidi ya 80% endapo utawahi kabla ya masaa 72 baada kumbandua mwenye ngoma, pia ufate masharti ya kunywa vidonge vyote kwa muda sahihi kwa mwezi mzima.
Sema sasa ndio uwe mvumilivu maana vinalewesha na unakuwa kama unaumwa hivi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba ana maduka masika!! Anadrive harrier[emoji2960]
2011 jamaa alikuwa fundi ujenzi tulikuwa tukimpatia kazi mfuko mmoja wa cement hawezi maliza hadi tukamkacha.Ilikuwa mwaka gani hii?...wanaomeza dawa huwezi wakuta na haya maishu[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Next time waambie wakupe TLD.. Dolutegravir instead of Efavirens. Utaepukana na karaha ya maluweluweZinasaidia kwa zaidi ya 80% endapo utawahi kabla ya masaa 72 baada kumbandua mwenye ngoma, pia ufate masharti ya kunywa vidonge vyote kwa muda sahihi kwa mwezi mzima.
Sema sasa ndio uwe mvumilivu maana vinalewesha na unakuwa kama unaumwa hivi.
Never ever try it anywhere, be it at home or workNi kweli asilimia kubwa ya watu wenye O+ hawapati HIV kirahisi, nina mfano hai wa mtu wangu wa karibu kabisa, miaka hiyo yule bwana na mahawara zake kibao walishaiacha dunia kwa ukimwi ila yeye yupo hadi leo, kila akipima ni negative
Mbona wanasema hata miaka 20 unaishi ukiwa unameza tembe?Anko wangu alipopima tu akakutwa na maambukizi na alikuwa ameshaanza kuumwa, akaanzishiwa dawa haraka na akakubali matokeo na haikuwa siri kwenye familia, ilikuwa akija kwetu muda wa dawa ananiambia ankoo niletee vitu vyangu anameza fresh...alishafariki lakini haikuwa kwa mateso ya enzi zile dawa za kupunguza makali ya huu ugonjwa....!
cc Kula tunda kimasiharaWakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu, ule utelezi na joto-joto litakugharimu.
UPDATE
Kama umeoa Bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kachanganyikeniSiku ya kwenda kuchukua PEP wanakuchanganya na wa ARV Basi full mixer aibu-frustation kwa pamoja
yeah kuna mzee huku kitaa anafuta tangia 2006 sasa hivi ana Bonge la mwili kuna manzi nilikulaga kimasihara, sasa siku hiyo nipo kitaa nasikia yule mzee mwenye futa naye kapiga sababu mzee anatoa sana hela kwa wanawake yeye anatongozea helaDaaah nimeshuhudia hii makitu nin a ndugu zangu wa damu kabisa wanapitia hii hali ,yaan wanachoreka balaa.
Hapa kitaa siku ya kuchukua doz inajulikana kabisa kwa wiki mara mbili ,ukipita hayo maeneo haki hata kama ulikuwa na promise hiyo siku utapiga chini jumla.
Wanapewa had lishe ya unga wa ulezi ,sema nashukuru mungu wamekubaliana na hali maana hakuna namna.
Bahat mbaya wote wameupata kwenye ndoa zao ,kabla ya ndoa zao hawakuwa na mambo mengi ila walipo ingia kwenye ndoa ndio wakakutana na hii janga .
Ni mama zangu wadogo wapo wawil wote wameumia [emoji24][emoji24][emoji24] kibaya Zaid waume zao wote walishakata ,hivyo wameachiwa ngoma na ujane juu.
Wadau tuombe mungu tu ngoma unaweza kuipata hata kama sio mwingi wa mambo hii ni kama ajal tu.
Ila kuchoreka hakukwepek maana lazima tu utajulikana pengine ugome kunywa hizo arv ,
Kuna wengine wanawatumia manens ili wawaletee majumban mwao hizo dawa kwa malipo fulani , utafanya ivo lakin Kuna muda utajulikana tu maana Kuna siku itakulazim ufike physically hospital .
Kuna wengine wanachukulia hizo dawa mbali na mji anaoishi mfano mtu anaishi kawe dawa anachukulia mbagala huko lakin dunia Haina Siri utajulikana tu dawa ni kujikubali tu .
Ulikula kavu?yeah kuna mzee huku kitaa anafuta tangia 2006 sasa hivi ana Bonge la mwili kuna manzi nilikulaga kimasihara, sasa siku hiyo nipo kitaa nasikia yule mzee mwenye futa naye kapiga sababu mzee anatoa sana hela kwa wanawake yeye anatongozea hela
baada ya kusikia yule mzee kapita kichwa kiliniuma ghafla na nikanyongea ila nikakaza kwenda kupima nikawa fresh.
hii kula kimasihara na ngono zembe ni risk sana
pole mzee umenifanya sasa hivi niende kucheki Afya nitaleta mrejeshoUkubwa wa ARV moja Ni sawa na punje ya korosho. Unabwia daily mida ile ile. Aisee Ni taabu
Yaan mi apa nachekaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kupata ARV lazima upigwe semina elekezi Mbele ya kadamnasi. Aibuuu
dada tema mate chini kama una imani sema Asante Mungu maisha kwa ujumla wake yana mengi sanaMatendo kivipi mkuu Kuna ngono hatarishi kukwepa ni ngumu ukiwa makini hupati sasa imagine wafukua tope 95% chance ya kuukwaa ni kubwa mno au ukiwa mlevi ni kuparamiana na kuchubuana had damu unategemea Nini?
Sio ya kucheka ila nimecheka ulivyosema maluweluwe kama yote
kwani hujawahi sikia Love is blind mkuuUlimtongoza au alikutongoza?dah....hv huwa mnaongea nini mkiwa na hao wamama watu wazima!?bora mpishane walau 5yrs ..isizidi...napo tu bado kuna mambo hayatakuwa sawa ujue[emoji1787]
kwanini alikataa kwenda kuchekiAliniambia kuwa yeye pale kriniki ana dada yake( ninamfahamu), alimseti kwenye makadi ya dawa ,huwa kuna pesa zikiingia kwa ajili ya kuwagawia wagonjwa,sasa wahusika huwa na wagonjwa wengi hewa,kwa hiyo huwa kuna upigaji,yeye alikuwa mgonjwa feki,
Hivyo nikamwambia ili kuondoa utata tukapime, akakataa, nikamuacha,ila kwa mbinde, maana alikuwa ananiendea mpaka kwa waganga,bi mkubwa akaingilia kati mpambano,nikafanikiwa kuchomoka salama.