witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mwezi??[emoji848][emoji848]Zinasaidia kwa zaidi ya 80% endapo utawahi kabla ya masaa 72 baada kumbandua mwenye ngoma, pia ufate masharti ya kunywa vidonge vyote kwa muda sahihi kwa mwezi mzima.
Sema sasa ndio uwe mvumilivu maana vinalewesha na unakuwa kama unaumwa hivi.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app