Fundi_Mjasiriamali
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 748
- 1,340
Vipi mkuu kimeumana au!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂vp mkuu kimeumana au!?
Asa wengine hata kupima hatujapima tuzijue za nini? Muda ukifika tutazijua tu..Mungu afanye wepesi kwakweli..Nchi hii kila mtu anajidai Hana Ngwengwe na ARV hazijui. Bongo raha
Afadhali umetukumbusha ugonjwa huu pia manake wengine ishakuwa covid19 utafikiri magonjwa mengine yamemalizwa duniani.Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe
Mzee wa kerege keshapigwa umeme...[emoji38][emoji38][emoji28]Tatizo lako humezi vizuri za mchana unameza usiku na za usiku unameza mchana ndio shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mauma Uma yamenatanavp mkuu kimeumana au!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]avumilie tu taa zinavyowaka pamoja na ngurumisha mafrige na macrowave na kuwasha tv[emoji23][emoji23][emoji23] maana ndio kazi ya umemeMzee wa kerege keshapigwa umeme...[emoji38][emoji38][emoji28]
[emoji38][emoji38], ila takuwa kaileta kuchangamsha jukwaa, ndio zake huyu, huenda yu bukheri wa afya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]avumilie tu taa zinavyowaka pamoja na ngurumisha mafrige na macrowave na kuwasha tv[emoji23][emoji23][emoji23] maana ndio kazi ya umeme
Hamna huyo ni mgonjwa ngoja tumponye kwa maneno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38], ila takuwa kaileta kuchangamsha jukwaa, ndio zake huyu, huenda yu bukheri wa afya.
Joshua mwendazake [emoji38][emoji38][emoji119][emoji119]Hamna huyo ni mgonjwa ngoja tumponye kwa maneno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vijana wanapataka wazee wanapatakaUgonjwa umekaa pabaya sana....
Huyu bwana mwaka fulani sikumbuki exactly hasa ilikuwa mwaka gani alipandisha uzi wake hapa akizitaja corner zote Dar wanakojiuza malaya na akaenda mbali zaidi kuwataja baadhi yao kwa majina na # zao za simu akawa ameweka kwa wale watakotaka kuwatafuta.
Tuishi kwa tahadhari tukizithamini afya zetu.