Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu ni majuto makuu na kusaga meno!!!Ndio ameleta mrejesho kwa wajumbe!!
Pole mzee baba ila ndo maisha hayo bwana, siyo wote wamepata kwenye ngono.....Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Joshua mwendazake [emoji38][emoji38][emoji119][emoji119]
🤣🤣 We ndo uliekubuhu hebu mfundishe huyu learner.Tatizo lako humezi vizuri za mchana unameza usiku na za usiku unameza mchana ndio shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole mkuuWakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
Mie nilishasema ikitokea siku nimeukwaa sintokuja kutumia hizo njugu,Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
Hivi condom bado zipo?Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
Mbaya zaidi ni sisi wapiga punyeto tunadharaulika sanaHuyu bwana mwaka fulani sikumbuki exactly hasa ilikuwa mwaka gani alipandisha uzi wake hapa akizitaja corner zote Dar wanakojiuza malaya na akaenda mbali zaidi kuwataja baadhi yao kwa majina na # zao za simu akawa ameweka kwa wale watakotaka kuwatafuta.
Tuishi kwa tahadhari tukizithamini afya zetu.
Kwani pua na mdomo ndo zinavaa condom.? Au unamaanisha ukinunua condom unapata na ARV kadhaaZipo ukinunua 2 unapata na barakoa 5
Mwambie aje pm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] We ndo uliekubuhu hebu mfundishe huyu learner.
Hakuna comments za kinafiki hapo, kila mtu atabeba msalaba wakeComments zimekaa kinafiki Sana ndugu zanguni,tubadilike tusijifanye Kama tatizo halipo kumbe Kuna shida pahali
Everyone is safe in zisi forum haya
Take care!