cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahHa ha ha. Bora hao wa Mori hakubali bila ndomu. Wenye Ngwengwe wapo majumbani mwenu wanatoa ndogo kwa siri mpaka wanachubuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahHa ha ha. Bora hao wa Mori hakubali bila ndomu. Wenye Ngwengwe wapo majumbani mwenu wanatoa ndogo kwa siri mpaka wanachubuka
Kuna jamaa ni mwanachama humu JF, anajiita Deception, mtafute atakusaidia amesaidia wengi.Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
Ah kwa utam utam ule wacha tuu tufe nao ila hatuachi ng'oooYaan ni tafrani tupu lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Sisi wenye Pumu za Kurithi na Damu zetu ni Group O+ huu Uzi na Ushauri wako wala hautuhusu kwani Sisi ' Kitabibu ' ni kwamba hatuwezi kamwe Kuambukizwa huo UKIMWI na Binafsi nimeshalifanyia Majaribio mwaka 2008 tena mwaka 2011 na mwaka 2014 kwa Makusudi na kujua kabisa ' ninaowabandua ' wameshaathirika ( tena niliuza Mechi namaanisha sikutumia kabisa Condom ) ila sijaipata na kupima Hospitali zote Kubwa zenye Wataalam na Madaktari Bingwa sijakutwa nao.
Sasa msio na Pumu za Kurithi na Damu Group O+ niigeni GENTAMYCINE muanze Kulipiga vizuri Gitaa la Solo la Dally Kimoko na ' mpukutike ' mkayaanze Maisha yenu mapya Udongoni hapa Mjini au huko Vijijini Kwenu ( Mwenu )
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
Tena atakua anapiga counter tack ya usambazaji kwa ID yake nyingine. Daaaah
Kwahiyo unanilazimisha niupate UKIMWI au? Acha Upimbi tafadhali na kama unauona UKIMWI ( Dally Kimoko ) ni mzuri hebu ' Jidunge ' Wewe Kwanza.Njia nzuri ni direct injection. Sindano yenye damu hiv+ jidunge leta majibu in 4 to 6month.
Niigeni Mfe......!!Mkuu Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa mnazichukulia wapi kwani?Msala mwingine kwenye kuchukua hizo ARV Ni counselling na foleni balaa. Mtu mzima unachoreka mpaka ujute. *****!
SawaUfipa
Ndio wapiUfipa
Achana nazo mkuu, fanya mambo mengineWakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu