Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia utapajua soon. We jidai kichwa maji tu
Shetani kazi yake huwa ni kukuonyesha fahari na kukuahidi kukupa vyote ukikubali kumsujudia ukikubali tu ni kweli anakupa na utaenjoy kweli ila kwenye matokeo anakuacha mwenyewe upambane na fadhaaMsala mwingine kwenye kuchukua hizo ARV Ni mwendo wa counselling ya vikundi na foleni balaa. Mtu mzima unachoreka mpaka ujute. KMamae!
Kwani ameshakuthibitishia kuwa sasa analicheza vyema Gitaa la Solo la Dally Kimoko ( ni Muathirika wa UKIMWI ) Mkuu?Huwa mnazichukulia wapi kwani?
Pole ndugu yangu, Don't feel bad. Uchukulie kama magonjwa mengine tu, si unaona watu wenye Corona wanakufa wenye HIV wanaendelea kupeta.Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu
Msala mwingine kwenye kuchukua hizo ARV Ni mwendo wa counselling ya vikundi na foleni balaa. Mtu mzima unachoreka mpaka ujute. KMamae!
Aiseee, hapo ndio huwa kuna mtihani...Bahati mbaya unakuta sio malaya aliekuambukiza bali ni mkeo
Mimi sijiuzi na Nina check afya yangu Mara nyingi, na mhurumia mkeoUsije kukuta na were upo kwenye chain
Umeona eenh!!?Aiseee, hapo ndio huwa kuna mtihani...
True yaan, utelezi kama wote. Baadae yanakuja maluwe- luwe kama yote...Umeona eenh!!?
Maana kahaba kwenda nae kavu sio rahis kama kwa mkeo unavyo jipigia
Hata mwenye ukimwi anaweza kupata cancer, Bora mwenye maumivu ya cancer bila ya ukimwi. kuliko upate ukimwi + cancer.
Hakika[emoji119][emoji119]zote ni probability, unaweza kuwa na cancer na ukapata ukimwi pia. Sio !!
kama huna experience na cancer nenda hata kutembelea wagonjwa ocean road uone wanavyoishi kwa tabu sababu ya mionzi, restrictions za vyakula, usumbufu wa hali ya hewa na mambo kibao ambayo mwenye virusi vya ukimwi hakutani nayo
Bottom line Yote ni magonjwa na Mungu ndie mwenye mipango yake ila amini kuna magonjwa dunia hii ukikutana nayo, utaamini ukimwi bila stigma na promo. Sio big deal kama wengi wanavyodhania kwa sasa
🤣🤣🤣 Hata mm group o+Kwahiyo unanilazimisha niupate UKIMWI au? Acha Upimbi tafadhali na kama unauona UKIMWI ( Dally Kimoko ) ni mzuri hebu ' Jidunge ' Wewe Kwanza.