ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Huyu bwana mwaka fulani sikumbuki exactly hasa ilikuwa mwaka gani alipandisha uzi wake hapa akizitaja corner zote Dar wanakojiuza malaya na akaenda mbali zaidi kuwataja baadhi yao kwa majina na # zao za simu akawa ameweka kwa wale watakotaka kuwatafuta.

Tuishi kwa tahadhari tukizithamini afya zetu.
Cc joshua_ok
 
Daaa JF unaweza uonekane wewe una roho ya kifashisti kuchekelea matatizo ya wenzako, kumbe unacheka jinsi tatizo lilivyoelezewa...

Kuna shughuli nyingne inaitwa PEP 72HRS, ile unaweza ukainywa, baada ya masaa kadhaa unatafuta dawa uitapike,
 
Daaah nimeshuhudia hii makitu nin a ndugu zangu wa damu kabisa wanapitia hii hali ,yaan wanachoreka balaa.

Hapa kitaa siku ya kuchukua doz inajulikana kabisa kwa wiki mara mbili ,ukipita hayo maeneo haki hata kama ulikuwa na promise hiyo siku utapiga chini jumla.

Wanapewa had lishe ya unga wa ulezi ,sema nashukuru mungu wamekubaliana na hali maana hakuna namna.

Bahat mbaya wote wameupata kwenye ndoa zao ,kabla ya ndoa zao hawakuwa na mambo mengi ila walipo ingia kwenye ndoa ndio wakakutana na hii janga .

Ni mama zangu wadogo wapo wawil wote wameumia [emoji24][emoji24][emoji24] kibaya Zaid waume zao wote walishakata ,hivyo wameachiwa ngoma na ujane juu.

Wadau tuombe mungu tu ngoma unaweza kuipata hata kama sio mwingi wa mambo hii ni kama ajal tu.
Ila kuchoreka hakukwepek maana lazima tu utajulikana pengine ugome kunywa hizo arv ,

Kuna wengine wanawatumia manens ili wawaletee majumban mwao hizo dawa kwa malipo fulani , utafanya ivo lakin Kuna muda utajulikana tu maana Kuna siku itakulazim ufike physically hospital .

Kuna wengine wanachukulia hizo dawa mbali na mji anaoishi mfano mtu anaishi kawe dawa anachukulia mbagala huko lakin dunia Haina Siri utajulikana tu dawa ni kujikubali tu .
Daaah! Kwenye lishe hapo namkumbuka uncle . Alikuwa na shehena kabisa ya unga wa ulezi,alipofariki wacha tuushambulie na blue band zake[emoji38]
 
🤣🤣🤣 Hata mm group o+
Una tatizo la Pumu? Ili usiupate UKIMWI ( Dally Kimoko ) unatakiwa uwe na Mambo mawili kwa wakati Mmoja yaani uwe na Pumu ile ya Kurithi na Damu ya Group O+ ila kama una Kimojawapo tu tafadhali Acha Umalaya ( Uhuni ) na ukienda ' Kutiana ' tumia Condoms usije ' Kuukwaa ' huo Ugonjwa, Ukafa na JamiiForums hadi Tanzania ikakukosa.

Msiniige Kizembe mtakufa shauri zenu.
 
Mimi sijiuzi na Nina check afya yangu Mara nyingi, na mhurumia mkeo
"Kujiuza" its just a term, issue ni matendo yako. Mahusiano yapoje na hao ulionao kwenye Mahusiano yako au huyo ulienae kwenye Mahusiano yako Mahusiano yake yapoje? Ukimwi ni mgumu sana kupata na ni rahisi sana kuupata vilevile. Kikubwa ni kumuomba Allah tu.
 
Miaka kadhaa huko nyuma nikiwa fm2 tulikuwa na wapangaji home, kati yao familia moja ilikuwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi.
Nyumba ambayo walikuwa wanakaa wapangaji nilikuwa nikifungua dirisha la chumba ninachokaa naona kila kitu wanachokifanya. Asee hiyo siku mida kama ya saa 10 jioni nasikia mtu anakohoa huko njee kama dkk 5 mfululizo.

Ikabidi taraatibu niijisogeze kuchungulia nione nini kinaendelea, nilichokiona sikuamini yule baba alikuwa anatapika mfululizo matapishi yale yangeweza jaa ndoo ndogo ya lita 10, meusi kama ujii.

Acha aanze kuharisha, kinyesi kinachuruzika mpaka miguuni maana alikuwa amevaa bukta ,yule mama anamoyo amekazana tu kumfuta, anakimbia njee anaenda kuchota mchanga anafunika yale matapishi kisha anafagia.

Yule jamaa hakuchukua hata muda akafariki. Toka siku hiyo nilipata somo asee, nilijifunza kutunza afya,bora magonjwa mengine ukimwi udhalilisha na kufedhehesha, nilisema siwezi uza mechi,pamoja na ruka ruka zangu sijawahi gonga demu kavu hata nimkute bikra.
 
Daaah nimeshuhudia hii makitu nin a ndugu zangu wa damu kabisa wanapitia hii hali ,yaan wanachoreka balaa.

Hapa kitaa siku ya kuchukua doz inajulikana kabisa kwa wiki mara mbili ,ukipita hayo maeneo haki hata kama ulikuwa na promise hiyo siku utapiga chini jumla.

Wanapewa had lishe ya unga wa ulezi ,sema nashukuru mungu wamekubaliana na hali maana hakuna namna.

Bahat mbaya wote wameupata kwenye ndoa zao ,kabla ya ndoa zao hawakuwa na mambo mengi ila walipo ingia kwenye ndoa ndio wakakutana na hii janga .

Ni mama zangu wadogo wapo wawil wote wameumia [emoji24][emoji24][emoji24] kibaya Zaid waume zao wote walishakata ,hivyo wameachiwa ngoma na ujane juu.

Wadau tuombe mungu tu ngoma unaweza kuipata hata kama sio mwingi wa mambo hii ni kama ajal tu.
Ila kuchoreka hakukwepek maana lazima tu utajulikana pengine ugome kunywa hizo arv ,

Kuna wengine wanawatumia manens ili wawaletee majumban mwao hizo dawa kwa malipo fulani , utafanya ivo lakin Kuna muda utajulikana tu maana Kuna siku itakulazim ufike physically hospital .

Kuna wengine wanachukulia hizo dawa mbali na mji anaoishi mfano mtu anaishi kawe dawa anachukulia mbagala huko lakin dunia Haina Siri utajulikana tu dawa ni kujikubali tu .
Kweli mkuu uliyoongea tunaishi na hawa ndugu zetu hata Mimi kwenye familia yangu ndugu kibao wanapitia hali hii na wamejikubali na life linasonga na ndio maana kule juu coment yangu nimesema watu humu wanajidai Kama wapo swafi kabisa kumbe Kuna tatizo pahali

Tupunguze unafiki wajameni UKIMWI unaweza ukaupata kwa mtu unayemwamini Sana Sana mke,mume,mchumba,kahaba,
Malaya,kula kimasihara,kuchangiwa damu,kuzaliwa nao na mengine mengi
Yaani utaweza ukawa faithfully Ila siku utakayosema nijaribu tu

Kimeumanaaaaaaaaa !
 
Nimewahi kutumia PEP siku 30 na zenyewe zina maluweluwe kama hizo ARV sina hamu, yaani mtihani. Nilibanduaga kavu kavu malaya aliyekubuhu bila kujua. Sema nilimfaidi sana maana alikuwa fundi kweli kweli.
Nigee mawasiliano yake mkuu wangu, nina shida nae za kiutafiti
 
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu.
UPDATE
Kama umeoa Bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
Ila kiongozi nasikia zinaleta hamu ni balaa.. wote wake kwa waume !!
 
Back
Top Bottom