ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

ARV uzisikie kwa wenzako, tutumie condom

Nchi hii kila mtu anajidai Hana Ngwengwe na ARV hazijui. Bongo raha. Mpaka abanwe mbavu na kuharisha kwenye diapers "pampers" ndo mtu anakubali matokeo
Ha ha ha, ila ngwenge ya miaka ya 90 ndiyo ilikuwa kiboko - yaani ukimgeuza mgonjwa ngozi inabakia kwenye shuka....mtu aliyekuwa na kilo 80 anabakia na kilo 9 aisee !! mifupa mitupu !!

Hii ya sasa hivi ukipiga ARV zako fresh aaaa akujue nani hapa mjini ndugu!!
 
Nimewahi kutumia PEP siku 30 na zenyewe zina maluweluwe kama hizo ARV sina hamu, yaani mtihani. Nilibanduaga kavu kavu malaya aliyekubuhu bila kujua. Sema nilimfaidi sana maana alikuwa fundi kweli kweli.
Hivi huwa zinasaidia Zile mambo....???
 
Nimewahi kutumia PEP siku 30 na zenyewe zina maluweluwe kama hizo ARV sina hamu, yaani mtihani. Nilibanduaga kavu kavu malaya aliyekubuhu bila kujua. Sema nilimfaidi sana maana alikuwa fundi kweli kweli.
Ndo izo izo ARV mkuu
 
Hivi huwa zinasaidia Zile mambo....???
Zinasaidia kwa zaidi ya 80% endapo utawahi kabla ya masaa 72 baada kumbandua mwenye ngoma, pia ufate masharti ya kunywa vidonge vyote kwa muda sahihi kwa mwezi mzima.
Sema sasa ndio uwe mvumilivu maana vinalewesha na unakuwa kama unaumwa hivi.
 
Una tatizo la Pumu? Ili usiupate UKIMWI ( Dally Kimoko ) unatakiwa uwe na Mambo mawili kwa wakati Mmoja yaani uwe na Pumu ile ya Kurithi na Damu ya Group O+ ila kama una Kimojawapo tu tafadhali Acha Umalaya ( Uhuni ) na ukienda ' Kutiana ' tumia Condoms usije ' Kuukwaa ' huo Ugonjwa, Ukafa na JamiiForums hadi Tanzania ikakukosa.

Msiniige Kizembe mtakufa shauri zenu.
Pumu na umalaya pia ni maadui. Unaweza fia kifuani. Na ww acha tu umalaya yaani.
 
Shida ndom inaondoka na utamu
Hapana Baby, ndom km ya Rough rider mbona iko vzuri unajihisi ni nyamanyama kabisaa.

Alafu inshu ninamna ya kusuguliwa hizo kuta za K, na kuandaliwaaa.

Unaandaliwa hata katkat ya gem inaendelea, mtu anakuandaaa

K inaloana muda woteee, K inasuguliwaa, lazima ukojoeee, lazima ufurahie utamuuu



Baby, niko Hosp , Aloyaandika mtoa mada, yazingatie, hawa watu wanapata shida sanaa kwenye kuchukua dawa.

Ingewezekana wangekua wanakuja kama wagonjwa wa kawaida ,ingekua nafuu kwao..ila sasa MFUMO UTALEMEWA SANA ..wagonjwa wa kawaida hawatopata huduma kwa wakati sahihi.

Ndio maana kikaanzishwa Dirisha kwaajili yao.

Sasa ile foleni


Ila watu hawa wanapaswa kuonyeshwa upendo, washauriwe, wasinyanyapaliwe, kinyume nahapo wataambukiza Maelf kwa maelfu.
 
"Kujiuza" its just a term, issue ni matendo yako. Mahusiano yapoje na hao ulionao kwenye Mahusiano yako au huyo ulienae kwenye Mahusiano yako Mahusiano yake yapoje? Ukimwi ni mgumu sana kupata na ni rahisi sana kuupata vilevile. Kikubwa ni kumuomba Allah tu.
Matendo kivipi mkuu Kuna ngono hatarishi kukwepa ni ngumu ukiwa makini hupati sasa imagine wafukua tope 95% chance ya kuukwaa ni kubwa mno au ukiwa mlevi ni kuparamiana na kuchubuana had damu unategemea Nini?
 
Kwa Sisi wenye Pumu za Kurithi na Damu zetu ni Group O+ huu Uzi na Ushauri wako wala hautuhusu kwani Sisi ' Kitabibu ' ni kwamba hatuwezi kamwe Kuambukizwa huo UKIMWI na Binafsi nimeshalifanyia Majaribio mwaka 2008 tena mwaka 2011 na mwaka 2014 kwa Makusudi na kujua kabisa ' ninaowabandua ' wameshaathirika ( tena niliuza Mechi namaanisha sikutumia kabisa Condom ) ila sijaipata na kupima Hospitali zote Kubwa zenye Wataalam na Madaktari Bingwa sijakutwa nao.

Sasa msio na Pumu za Kurithi na Damu Group O+ niigeni GENTAMYCINE muanze Kulipiga vizuri Gitaa la Solo la Dally Kimoko na ' mpukutike ' mkayaanze Maisha yenu mapya Udongoni hapa Mjini au huko Vijijini Kwenu ( Mwenu )
Hahaha sisi wenye group 0+ tunatesa tuuu.hivi ni kweli hatupati magonjwa kirahisi? Ila kama kuna ukweli hivi ....nilitembeaga na mdada mmoja hivi kavukavu na nikaja kusikia ameungua hahaha nilikonda ndani ya week tu. Nilikuja kupima baadaya wife kushika mimba hiyo siku nusura nikimbie majibu yangu nilitoka jasho mpaka pumbuuuuu zikalowa.toka hapo nimejiapiza sitouza match tenaaa
 
Hapana Baby, ndom km ya Rough rider mbona iko vzuri unajihisi ni nyamanyama kabisaa.

Alafu inshu ninamna ya kusuguliwa hizo kuta za K, na kuandaliwaaa.

Unaandaliwa hata katkat ya gem inaendelea, mtu anakuandaaa

K inaloana muda woteee, K inasuguliwaa, lazima ukojoeee, lazima ufurahie utamuuu



Baby, niko Hosp , Aloyaandika mtoa mada, yazingatie, hawa watu wanapata shida sanaa kwenye kuchukua dawa.

Ingewezekana wangekua wanakuja kama wagonjwa wa kawaida ,ingekua nafuu kwao..ila sasa MFUMO UTALEMEWA SANA ..wagonjwa wa kawaida hawatopata huduma kwa wakati sahihi.

Ndio maana kikaanzishwa Dirisha kwaajili yao.

Sasa ile foleni


Ila watu hawa wanapaswa kuonyeshwa upendo, washauriwe, wasinyanyapaliwe, kinyume nahapo wataambukiza Maelf kwa maelfu.
Hivi kwenye hayo madirisha huwa Kuna watu wengi kiasi hicho aisee hadi watengewe sehemu, dah ndio maana Mimi nyegezi sina kabisa kwa mtindo huo wallah
 
Hahaha sisi wenye group 0+ tunatesa tuuu.hivi ni kweli hatupati magonjwa kirahisi? Ila kama kuna ukweli hivi ....nilitembeaga na mdada mmoja hivi kavukavu na nikaja kusikia ameungua hahaha nilikonda ndani ya week tu. Nilikuja kupima baadaya wife kushika mimba hiyo siku nusura nikimbie majibu yangu nilitoka jasho mpaka pumbuuuuu zikalowa.toka hapo nimejiapiza sitouza match tenaaa
[emoji3][emoji3][emoji3]harooo ya jasho la pumbu vepeee
 
Wakuu suala la kumeza ARV kwa maisha yako yote toka kugundulika umeathirika usikie tu kwa jirani. Siku za mwanzo maluwe-luwe Kama yote. Tuache ngono zembe. Vaa kondomu ndugu.
UPDATE
Kama umeoa Bora kumtaarifu mapema mwenzio maana siku ukibumbuluka aibu yake unaweza kujaza shazi mtaani.
Pole sana kiongozi
 
Back
Top Bottom