[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ee bwana! Nilibanduaga malaya kabisa mwenye kiwango halafu mbichi mbichi bila kujua kama ni malaya. Hiyo siku nilikuwa nimebet nikala, so hela niliyompa aliifurahia akanipa mastaili yote ya town.
Asubuhi nikawa nahisi maumivu, kujicheki ndudu imechubuka upande mmoja kama gari iliyopigwa pasi.
Nilikunywa hayo madonge mwezi mzima bila kukosa sina hamu na sitarudia tena kuuza mechi.
Yaani unakuwa unaota kama maluweluwe hivi! mara kama njaa inauma! mara kama homa hivi!
Aaah mkuu! Unataka kusema mtu akianza kuzitumia...huwa anajisikia mwili wake normal compared na kabla hajaanza kuzinywa?!?Huu uzi watu wanajadili ki-layman sana... Badala ya kujadili kwa mapana na marefu ili ufaidishe jamii iliyomo humu. Na yote imechangiwa na mleta uzi kuugeuza kuwa wa "kimipasho" sana...
Kwa sisi watu wa medical field mngeweza ku-benefit masuala juu ya uhalisia... Mjue watu humu JF, tuna-type, na tuna-enjoy maisha humu, lakini tunadanganyana sana... Wengi tunajifanya tuna maisha mazuri, kama hivi tunajifanya hatuumwi(as if wanaoumwa, huo ugonjwa waliuleta wao, wakati wao wenyewe wameambukizwa), na mengine kama hayo. Tunaishi maisha ya mtandaoni ambayo si uhalisia wetu.
Sasa na wao wapo humu na wamekuwa "carried away" na mkondo mbaya wa mjadala.. Wakati wana uelewa zaidi ya mtunga uzi.
Kifupi napinga na ni uongo mkubwa kuwa ARV zina shida katika matumizi. Labda mtoa uzi arudi aseme, hiyo taarifa aliipata wapi, kwa nani, na lini.
Akija mgeni anakimbilia fridge kumtole kinywaji.Tuliza mshono. Yule mwanao anaetukana wageni anaendeleaje?
kama unapima mara kwa mara kipo unachotafuta.Mimi sijiuzi na Nina check afya yangu Mara nyingi, na mhurumia mkeo
Dah kwa mwaka napima Mara Moja and I always play safe kabisakama unapima mara kwa mara kipo unachotafuta.
sitaki ukipate,ni mbaya.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Mzee wetu ni muwazi sana! Yaani alikua hafichi mambo!Ugonjwa umekaa pabaya sana....
Hatari na nusu una roho ngumu, ila hayo mauza uza ya dawa duhEe bwana! Nilibanduaga malaya kabisa mwenye kiwango halafu mbichi mbichi bila kujua kama ni malaya. Hiyo siku nilikuwa nimebet nikala, so hela niliyompa aliifurahia akanipa mastaili yote ya town.
Asubuhi nikawa nahisi maumivu, kujicheki ndudu imechubuka upande mmoja kama gari iliyopigwa pasi.
Nilikunywa hayo madonge mwezi mzima bila kukosa sina hamu na sitarudia tena kuuza mechi.
Yaani unakuwa unaota kama maluweluwe hivi! mara kama njaa inauma! mara kama homa hivi!
[emoji3][emoji3][emoji3] trueKondomu Iwe Lazima Kama bima ya Gari. Watu walazimishwe kuvaa kondomu Watake-wasitake.
Una umri gani wewe? Temea mate pembeni na mshukuru Mungu kwa uzima wako.Komaaa wamesema wenyewe utaisha 2030, kwa hiyo sasa hivi unaishi kwa bwana matumaini?
Ila mkuu pamoja na elimu yote hii bado unapata moto!!?
hahahaha we jamaa phala sanaTuliza mshono. Yule mwanao anaetukana wageni anaendeleaje?
Tena nilimaliza kopo zima na vingine viwili vya ziada.Hatari na nusu una roho ngumu, ila hayo mauza uza ya dawa duh
J3 ikawaje?Tena nilimaliza kopo zima na vingine viwili vya ziada.
Maana nilienda siku ya ijuma wakati ambao wale wahudumu wa hospitali ndio wanaondoka na wengine wameshatoka. Jamaa niliyemkuta akaniambia nije jumatatu, ukipiga hesabu nimebandua demu alhamisi, nikipiga hesabu hadi jumatatu yatakuwa yamepita masaa 72.
Jamaa ndio akaniambia nakupa vidonge viwili ila hatuandikiani sehemu yoyote, ila jumatatu uje uchukue kopo zima kwenye chumba kilee!
Hongera. Kazi iendeleeNow mgeni akija anawahi kwenye fridge kutoa kinywqji kumpa mgeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena sikupewa vidonge viwili nimechanganya, nilipewa vitatu ile ijumaa yaani cha kunywa ile ijumaa, jumamosi na jumapili then jumatatu ndio nikachukue kopo zima.J3 ikawaje?