Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwamba mnakuwa carriers mnatransmit kwa wengine.Kuna sehemu yoyote ile nimekulazimisha unikubalie? Unateseka nini na Sisi wenye Damu ya O+? Nitafutie Demu mwenye UKIMWI kisha ' nimbandue ' kavu kavu Bao zangu za ' Hat trick ' kisha baada ya Miezi Mitatu Kanipime kokote ili Uamini kuwa Sisi ' hatuathiriki ' ng'o.
PoleMixed feelings
nyeto haijawahi kumuacha mtu salamaKwann ujute mzee, ipi bora kati ya kupata ukimwi na kupiga nyeto
Pole mkuu,Mixed feelings
watakuuwa mdogo wangu..hawa majimama hawana maana...Aliniambia kuwa yeye pale kriniki ana dada yake( ninamfahamu), alimseti kwenye makadi ya dawa ,huwa kuna pesa zikiingia kwa ajili ya kuwagawia wagonjwa,sasa wahusika huwa na wagonjwa wengi hewa,kwa hiyo huwa kuna upigaji,yeye alikuwa mgonjwa feki,
Hivyo nikamwambia ili kuondoa utata tukapime, akakataa, nikamuacha,ila kwa mbinde, maana alikuwa ananiendea mpaka kwa waganga,bi mkubwa akaingilia kati mpambano,nikafanikiwa kuchomoka salama.
Dah mkuu mimi niliuza mechi moja hatri sana seven years passed ila kila nkikumbuka tumbo linaumaNIMEUZA mechi kwa Watu 3 tofauti nasubiri nimpime mmoja wao, hao wengine siwezi kuambukizwa ila huyu fala mmoja kama atakuwa nao ninao
Seven years mpaka leo hujapima?Dah mkuu mimi niliuza mechi moja hatri sana seven years passed ila kila nkikumbuka tumbo linauma
Skuwahi kuuza mechi tena tangu skuile,,
Na wala skuwahi pima.
Sijapima mkuu kila nkikumbuka ile sku roho inagoma..Seven years mpaka leo hujapima?
Seven years mpaka leo hujapima?
Kapime mkuu ujihakikishieSijapima mkuu kila nkikumbuka ile sku roho inagoma..
Mkuu nazidi kuvuta vuta nguvu sku moja haina jina ntapitiliza t ad ndani nijilipue,,Kapime mkuu ujihakikishie
tatizo vijana wanapenda vitonga....Majimama yameungua pia hayana pesa (full mizinga)
Ndo hao hao "Strong women"tatizo vijana wanapenda vitonga....
ujue jimama la leo ..juzi yake yalikuwa ni maslay queen au malaya....
hamna jimama lisilopia ujana.....
sasa tadhimini vikwazo waliyopitia...halafu na wewe unataka kupita humo humo
Shame on you....Mim mwenyewe mwanzoni nilisumbuka sana kumeza lakini baada ya wiki mbili nikazoea saiv nazimeza na ninadunda nateleza na mabinti tu ...kina muhimu sana