GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,465
lugha ya picha tu mkuu 😀 😀 😀 😀Mkuu kweli ukigusa tu unanasa?...sio mpaka msuguane?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lugha ya picha tu mkuu 😀 😀 😀 😀Mkuu kweli ukigusa tu unanasa?...sio mpaka msuguane?
Hapo sawa mkuu .....maana[emoji848]lugha ya picha tu mkuu 😀 😀 😀 😀
Weee[emoji134][emoji134]Aisee pole sana sana
Kazi yangu ya kwanza baada ya kutoka chuo ilikuwa kupima na kutoa ARV.
Dah yani inakuja chuma namba D kabisa na imeungua.
Asee hii m mbona ni balaa[emoji848][emoji848][emoji134]Mshkaji wangu wa karibu sana alikuwa anamfukuzia Mwanafunzi tangu akiwa fm3 Mwanfunzi anamnyima
Juzi baada ya kumaliza fm4 akamsumbua sanaa mtoto akakubali jamaa akambikiri yule mwanafunzi na mwanafunzi akamwachia jamaa UKIMWI
Kumbe huyo Mwanafunzi alizaliwa nao
Sasa jamaa hajiamini tena, ana mawazo sana na hawezi kushinda mahali mwnyw bila company ikifika mida ya jioni-usiku ukimuaga unaenda kulala jamaa hataki aachwe mwenyewe
Hizi lugha hizi... "Kuungua"?!! Na wewe ni medical personnel kweli??!Aisee pole sana sana
Kazi yangu ya kwanza baada ya kutoka chuo ilikuwa kupima na kutoa ARV.
Dah yani inakuja chuma namba D kabisa na imeungua.
Alipima?Mshkaji wangu wa karibu sana alikuwa anamfukuzia Mwanafunzi tangu akiwa fm3 Mwanfunzi anamnyima
Juzi baada ya kumaliza fm4 akamsumbua sanaa mtoto akakubali jamaa akambikiri yule mwanafunzi na mwanafunzi akamwachia jamaa UKIMWI
Kumbe huyo Mwanafunzi alizaliwa nao
Sasa jamaa hajiamini tena, ana mawazo sana na hawezi kushinda mahali mwnyw bila company ikifika mida ya jioni-usiku ukimuaga unaenda kulala jamaa hataki aachwe mwenyewe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Hizi lugha hizi... "Kuungua"?!! Na wewe ni medical personnel kweli??!
Kwan hapa ni hosptl mkuu,,Hizi lugha hizi... "Kuungua"?!! Na wewe ni medical personnel kweli??!
Kama yapi ?Hivi Wale wanaopiga deki Kwanzaa halafu kwenye tendo wanavaa ndomu hii imekaaje kule kunyonya hakuwezi kusababisha maambukizi?
Ndio, alikutana na huyo Mtoto siku nyingine, huyo mtoto akamwambia Mimi nlikuambia tusifanye kwakuwa ''mimi sio mzima''....Jamaa akastuka thn baadae akaenda kupima na akakuta ana HIV positive.Alipima?
Sasa km upo Unguja 1.3% au Pemba 0.3%Unaenda kavu ,...utapata lini ngoma wakat hizo sehem maambukizi yapo chiiiiin mnoo??Kupata ngoma ni ngumu sana naendaga kavu
Mzee wa masihara winga telezaMkuu kama hutojali..
Kabla ya kugundulika una maambukizi
Je ni dalili gan za awali ulizokua nazo kiasi ukaamua kwenda kupima HIV?
Au ulikua poa tu sema ukaamua kuchek afya yako???
Visiwani wanapasuana Sana mitaro ndo maana kukuta bikra za mbele 100% japo Divorce rate Ni 95%Sasa km upo Unguja 1.3% au Pemba 0.3%Unaenda kavu ,...utapata lini ngoma wakat hizo sehem maambukizi yapo chiiiiin mnoo??
Katombee wanawake wa Njombe 6 tu ... Au Kahama 10 ,au geita 10 au Iringa 10 kavukavu
Alafu baada ya miezi mitatu Pima.
Hebu mkuu fafanua hapa...ngumu kivipKupata ngoma ni ngumu sana naendaga kavu