Bila kuchakata pisi hiyo furaha utaisikia kwa jirani.Code ni simple tu Love yourself first afu mengine yafuate.
1. Kula vizuri
2. Vaa vizuri
3. Fanya mazoezi
4. Tafuta pesa
Wazinzi ndo watu wanaongoza kuwa depressed duniani kote .Bila kuchakata pisi hiyo furaha utaisikia kwa jirani.
Kutafuta pesa hakukupi furaha zaidi ya huzuni maana kumejaa na misukosuku na bahati mbaya
Ni kipi kitamtenganisha mwanaume na pisi hiyo ni sehemu ya basic needs but remember to practice safe sex maana watoto wanatembeza umeme makusidically Mimi mwenyewe ni victim kwenye hiloBila kuchakata pisi hiyo furaha utaisikia kwa jirani.
Kutafuta pesa hakukupi furaha zaidi ya huzuni maana kumejaa na misukosuku na bahati mbaya
True, sex ni pleasure ya muda mfupi tu ,hata mtu akifanya shida na changamoto bado zinabaki palepaleWazinzi ndo watu wanaongoza kuwa depressed duniani kote .
Sex haitoi wala kumpa furaha . unauwezo wa kuachilia dopamine Kwa njia nyingi Sana without having sex
Kufurahia maisha sio mpaka uwe na kipato kikubwa as long una pesa ya kumeet basic needs zako na una afya inabidi ufurahie maisha mungu akupe Nini MacmugaHapo umezungumzia wanaume wasiokuwa na majukumu mazito mkuu km mm ,ilaa ss wale wenye majukumu mazito hapo hakuna hata kimoja atawezaa fanya na kama kipato ndio Cha kuunga unga aiseee kuvaa vzr,kula vzr,cjui mazoezi ataishia kuona tu watu wakiwa wanafanya🥂
Mpaka ububujikwe na machoziLakini pia hakikisha unakuwa mwanachama hai wa CCM na Mwenye kadi ya CCM.kwa hakika utafurahi Mwenyewe na kububujikwa Machozi ya Furaha muda wote.
Pia usiwe kilaza kama Lucas MwashambwaCode ni simple tu Love yourself first afu mengine yafuate.
1. Kula vizuri
2. Vaa vizuri
3. Fanya mazoezi
4. Tafuta pesa
Kweli tupu mkuuCode ni simple tu Love yourself first afu mengine yafuate.
1. Kula vizuri
2. Vaa vizuri
3. Fanya mazoezi
4. Tafuta pesa
Pia Tuwe na mda na MUNGU.Code ni simple tu Love yourself first afu mengine yafuate.
1. Kula vizuri
2. Vaa vizuri
3. Fanya mazoezi
4. Tafuta pesa
Kububujikwa na machozi ya furahaPia usiwe kilaza kama Lucas Mwashambwa
Mwashambwa kama mwashambwaKububujikwa na machozi ya furaha
7. Usiruhusu Mambo yako yatokee kwa Bahati Nasibu5. Jali wanaokujali
6. Usiwasahau wazazi.
Mkuu ukipata muda utoe elimu zaidi kwenye hili5. fanya ngono
ngono inahuisha afya ya akili ya mwanaume
ndo maana wanaume wanaokosa ngono kwa muda mrefu(Involuntary Celibates(INCELs)) wanapata changamoto za akili na mwishowe wanafanya self destructive behaviours.
fanya kistaarabu, hairuhusiwi kwa watu chini ya miaka 18, vigezo na masharti kuzingatiwa.
hivi na nyie wanawake huwa mnazungumzia suala la celibacy?5. Be a CELIBATE
Baadhi wanalizungumzia ..hivi na nyie wanawake huwa mnazungumzia suala la celibacy?
mnalichukuliaje?
how?..ila kuna amani ya moyo unapata ... You become real to oneself