The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Sitaki nikupeleke Dodoma au mwanza ambako kuna miradi mikubwa hata Dar haikanyagi, we saizi yako hii hapa[emoji116][emoji116]Renders tunaonesha humalizwa kujengwa 90% of the time. Nyinyi na Bagamoyo mlitupigia kelele na hata hakuna kitu [emoji23]. PR tupu tu ndio maana Dar ndio kila kitu Tanzania. Hakuna project ya maana inje ya Dar unlike kenya hata Turukana iko na Miradi.
Mombasa haiwezani hata na ZanzibarFacts hazidanganyi. Can your second city Mwanza compete with Mombasa? [emoji23].
Simba ndio inababaikia wachezaji wakaliClub ranking simba ni ya Ngapi Afrika? Gormahia ni ya ngapi?
Unajua kabisa mlimfunga simba kombe la mbuzi.....
VPL>>>>>ligi ya Kenya.
Kila kijana huko kwenu anawaza kuja kucheza bongo.
Kahata kaja Simba tunaona maisha yake yapo juu saiv...
Ni juzi tu hapo.....katoka kugawa Lita 10000 za maji....sijui serikali yenu ilikuwa wapi?
Hahaha labda kwa mashogaMombasa haiwezani hata na Zanzibar
Wachezaji wakali?.....Simba ndio inababaikia wachezaji wakali
We mtotoHahaha labda kwa mashoga
Pima pima pima pima pima pima pima pima pima pima pima pima pima pima pimaaa tushaelewa sasa hivi inamaanisha niniMatunda ya katiba mpya na bora kushinda nyingi Africa. Mtaelewa tu endeleeni kusubiri.
County moja inajenga uwanja wa mpila,mnajisifu,Kenyan County governments are more efficient than the central government of most nations. Let`s take an example with Tanzania and Mombasa, the Magufuli government is depending on the Morrocan Government to build Dodoma stadium while Mombasa stadium is getting built without even the help of the central government. This shows how devolution has been a game-changer in Kenya. Let`s see what is cooking in county 001.
https://www.facebook.com/ https://www.facebook.com/
Magufuli aliomba msaada kutoka kwa Jacob Zuma , kabla Zuma hajatumbuliwa, sijui alipewa ule msaada.Kenyan County governments are more efficient than the central government of most nations. Let`s take an example with Tanzania and Mombasa, the Magufuli government is depending on the Morrocan Government to build Dodoma stadium while Mombasa stadium is getting built without even the help of the central government. This shows how devolution has been a game-changer in Kenya. Let`s see what is cooking in county 001.
https://www.facebook.com/ https://www.facebook.com/
Hivi Yanga na Simba bongo ndio giant club ?Teargass,
Buda, hatukumuomba Mmorocco akuje kujenga stadia. Alikuja mwenywe n akaahidi kujenga the biggest mosque in eac ambayo ameshajenga n stadia ambayo cjui progress yake.
Hii project ya Kenya kujenga stadia inaonyesha tofauti btn us. Uhuru promised 5 stadiums all over the country, amejenga ngapi so far that now he's finishing his reign? Tz iko level ya every giant club owning its own stadia. usiiitaje tz kwenye vitu vya kipumbavupumbavu pulis
Dah...Kenya huwezi linganisha na Bongo hata kidogo...iko mbele sana...Kenya linganisha na nchi za Ulaya... Kama bongo hatuna mgonjwa hata mmoja wa corona wakati Kenya ina zaidi ya wagonjwa 10K+ [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Economy
Health
Mombasa port doubles all Tanzanian ports combined
JKIA handles more passengers than all Tanzanian airports combined.
Education
Roads
Trade
Agriculture
Our cities are better than all your cities
Among many more.
Huyo simba kaenda kuzeekea hkoWachezaji wakali?.....
Kahata alikuwa big fish kwenye small pond( Gormahia).
Ila kaja huku hakuna anayemtukuza, lazima apambanie namba.
Top scorers wa ligi zote EA wamekuja bongo na kuchemsha....
Kwa miaka tofauti tofauti.
Mkuu inaonekana ww sio mtu wa mpira.....Huyo simba kaenda kuzeekea hkoView attachment 1511103
Tazama nchi ya watu wenye akili nyingi watu tushamaliza tatizo la Corona hatukumbuki hata hizo barakoa zinavaliwaje, mpaka brother wenyu kazoe maisha ya bongo anakula raha tu.Huyo simba kaenda kuzeekea hkoView attachment 1511103
Waliokufa mpka sasa hko mitaani mumewapima corona kwan. Mbna mnaweweseka sana na wakati kwenu hampimi maiti.Tazama nchi ya watu wenye akili nyingi watu tushamaliza tatizo la Corona hatukumbuki hata hizo barakoa zinavaliwaje, mpaka brother wenyu kazoe maisha ya bongo anakula raha tu
Hahahaa!!labda Bongo.Mkuu inaonekana ww sio mtu wa mpira.
Wachezaji huwa kwenye ubora wao katika miaka 25_30. Kaja simba akiwa na miaka 27 so ni kwenye peak yake.
Nadhani mkuu tusiligeuze likawa jukwaa la sport. Ronaldo na Messi peak yao ni btn 25_30 asa sijui unabisha nn.Hahahaa!!labda Bongo
We unafikiria unaweza mlinganisha ronaldo na messi enzi zao za under na sasa. Kweli wewe hujui kitu
Yani umlinganishe ronaldo wa united na wa sasa.Nadhani mkuu tusiligeuze likawa jukwaa la sport. Ronaldo na Messi peak yao ni btn 25_30 asa sijui unabisha nn.