Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM

Nashindwa kuona walikaa vipi watu 20 kwenye V8.πŸ˜‚πŸ€£
 
Sasa kwani wahamiaji si wanaweza kujitambulisha kama wakimbizi ili kukwepa kesi ya uhamiaji haram
Mhamiaji ni yule anaeingia kwenye nchi kama walivyoingia Wahindi na waarabu na mataifa mengi ili kuja kuishi na kuomba resident permit

Hapo kwenye ukimbizi ni mtu alieingia aidha kinyemela au kujilipua borders na kusema yeye ni mkimbizi kutoka nchi fulani na anahitaji hifadhi
Kama ukisema wewe ni mhamiaji utaulizwa maswali na hapo kama una passport maana wengine hawana passport kabisa wakiogopa kurudishwa walikotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…