Asante Argentina kwa kuwafunga hawa wazungu pori

Wote pua zimegeukia chini.....isikusumbue mkuu
 
Dhamira iendane na matendo lakini kwa namna mpira wetu unavyoendeshwa ni ngumu sana kufikia hatua hiyo ndani ya miongo mitatu ijayo.
Tupigane kuiondoa CCM bila hivyo hata miaka elfu hapawi kitu
 
World Cup yetu imeanza hapa waafrika tutachukuwa kombe tu
 

Attachments

  • VID-20221221-WA0026.mp4
    15.8 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…