peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nipenda kutuma Salamu zangu kwa mwanzilishi wa JF, watumishi wa JF na watumiaji wa JF. Ni mtandao unaofuatiliwa na kusomwa na wengi.
Napenda kuwashukuru kwa kuusimamia Uzi uliokuwa unaelezea kulipwa mishahara ya watumishi Umma, June 2024.
Watumishi wamelipwa baada ya kelele kuwa nyingi, hatimaye chura kiziwi kasisikia, watumishi sasa wamepokea chao.
Asanteni sana JF kuwapigania watumishi wa Umma.
Pia soma:
Napenda kuwashukuru kwa kuusimamia Uzi uliokuwa unaelezea kulipwa mishahara ya watumishi Umma, June 2024.
Watumishi wamelipwa baada ya kelele kuwa nyingi, hatimaye chura kiziwi kasisikia, watumishi sasa wamepokea chao.
Asanteni sana JF kuwapigania watumishi wa Umma.
Pia soma: