Asante kwa aliyetuletea Fiston Mayele, Yanga tulikosa mshambuliaji wa aina yake kwa muda mrefu kidogo

Asante kwa aliyetuletea Fiston Mayele, Yanga tulikosa mshambuliaji wa aina yake kwa muda mrefu kidogo

mwanausangi

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2021
Posts
548
Reaction score
608
Habari wanamichezo,
Juzi niliangalia goli alilofunga Mayele, kasi yake alvyopokea mpira, utulivu wake, akili yake ya kufunga, control yake hakika niseme asante Engineer Hersi kwa kutuletea huyu mtu. Wanayanga tulimkosa huyu mtu kwa muda mrefu sana tangu Yanga ya Donald Ngoma nadhani hatujapata complete striker kama huyu.

Ananikumbusha forward za Yanga ie Makumbi Juma, Jerry Tegete, Iddi Moshi, Mmachinga, Sekilojo, Ambani, Mogella, mwamba Kizota et al!

Endelea kututetemesha Fiston Kalala Mayele, hakika ukiondoka wanayanga tutakukumbuka sana kwa kazi yako iliyotukuka na style yako unique kabisa ya kutetema ambayo naamini hata watani zangu Makolo FC wanaipenda japokua inawaumiza sana maana huwa unatetema kwa karaha zaidi hasa hasa ukiwaweka goli wao!

Refer ngao za hisani zote mbili!
 
Habari wanamichezo,
Juzi niliangalia goli alilofunga Mayele, kasi yake alvyopokea mpira, utulivu wake, akili yake ya kufunga, control yake hakika niseme asante Engineer Hersi kwa kutuletea huyu mtu. Wanayanga tulimkosa huyu mtu kwa muda mrefu sana tangu Yanga ya Donald Ngoma nadhani hatujapata complete striker kama huyu.

Ananikumbusha forward za Yanga ie Makumbi Juma, Jerry Tegete, Iddi Moshi, Mmachinga, Sekilojo, Ambani, Mogella, mwamba Kizota et al!

Endelea kututetemesha Fiston Kalala Mayele, hakika ukiondoka wanayanga tutakukumbuka sana kwa kazi yako iliyotukuka na style yako unique kabisa ya kutetema ambayo naamini hata watani zangu Makolo FC wanaipenda japokua inawaumiza sana maana huwa unatetema kwa karaha zaidi hasa hasa ukiwaweka goli wao!

Refer ngao za hisani zote mbili!
Sekilojo na Mogella hawamuwa strikers. Ila kwa Tegete hapa, very average. Ungesema Edgar Fongo, Kizota et al.
 
Jerry Tegete[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] hapo umepuyanga hajawai kuwa miongoni mwa washambulizi wakali. Kwanza hakuwahi hata kuwa kikosi cha kwanza Cha Yanga
 
Makolo wakisikia jina la Mayele nimetajwa sehemu walipo
 

Attachments

  • FWRVDfYXgAUHFl-.jpeg
    FWRVDfYXgAUHFl-.jpeg
    32.1 KB · Views: 2
Nimepita huko mtaani , nimeskia eti mijanaume ya ovyo.., inasema waziwazi Mayele ananipa Raha.
 
Back
Top Bottom