Asante kwa kuwaleta WASUDANI. Changanya Mbegu ni jambo jema sana

Asante kwa kuwaleta WASUDANI. Changanya Mbegu ni jambo jema sana

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Nchi ikiwa na mchanganyiko hupendeza sana, ndio maana ukifika Marekani unakutana na kila MMEA WA BINADAMU, yaani unakutana na mtu anatisha balaa, mwingine wa kawaida, mwingine mzuri balaa, halafa anakuja tena mzuriii, ukisema umemaliza unashangaa unakutana na kitu hadi unajiuliza ni cha hapahapa au kimushuka tu. Yote hii ni kwasababu ya michanganyiko ya wa latino, ulaya,Asia, Arabs, Africa na hata wandengereko.

Kwa hiyo tunaishukuru serikali hii ya Mama yetu kwa kuanza na hawa wa Sudan, japo tumechelewa sana. Niombe tu mawasiliano yafanyike pia sehemu zingine kama Ethiopia, Eritrea, Brazil. Pia tuangalie uwezekano wa kutoa scholarship kwa Rwanda .

Kama Nyerere alivyofanikiwa kuchanganya makabila yetu tukazaana vinginevyo ungekuta leo kuna jamii wote ni weusi tiiii, au jamii fulani wote ni wabishi tu
 
IMG-20230620-WA0000.jpg
 
Nchi ikiwa na mchanganyiko hupendeza sana, ndio maana ukifika Marekani unakutana na kila MMEA WA BINADAMU, yaani unakutana na mtu anatisha balaa, mwingine wa kawaida, mwingine mzuri balaa, halafa anakuja tena mzuriii, ukisema umemaliza unashangaa unakutana na kitu hadi unajiuliza ni cha hapahapa au kimushuka tu. Yote hii ni kwasababu ya michanganyiko ya wa latino, ulaya,Asia, Arabs, Africa na hata wandengereko.

Kwa hiyo tunaishukuru serikali hii ya Mama yetu kwa kuanza na hawa wa Sudan, japo tumechelewa sana. Niombe tu mawasiliano yafanyike pia sehemu zingine kama Ethiopia, Eritrea, Brazil. Pia tuangalie uwezekano wa kutoa scholarship kwa Rwanda .

Kama Nyerere alivyofanikiwa kuchanganya makabila yetu tukazaana vinginevyo ungekuta leo kuna jamii wote ni weusi tiiii, au jamii fulani wote ni wabishi tu
Tupia na picha basi
 
Wabongo si mnao kina Amber-Rutty na Amber Lulu? Waacheni watoto wa watu wasome. Sisi tuendelee na la Bandari, halijaisha bado.
Screenshot_20230620-110320_Instagram.jpg

Hawa tutapeleka mswaada bungeni kuwatungia sheria yao maalum ya kuwalinda.

Kifungu Namba 1: Ukikamatwa unamtongoza mwanafunzi wa sudani, hukumu yake miaka miwili unapelekwa Sudan ukaishi huko.

Kifungu Namba 2: Utakua unahamishwa wilaya zenye machafuko tu, zenye machafuko tu kutumikia hukumu hio!!! Machafuko yanapohama wilaya au mkoa basi unahama nayo kwa kipindi chote utakapokua katika kutumikia hukumu hio huko ughaibuni.

Zero IQ bandiko hili linakuhusu! Usije ukahamisha kiwanda chako cha kuchakata viazi na kukileta dar!
 
"Nimetoka muhimbili leo, kumbe ni wazuri wakiwa wamekaa tu"

Alisikika mlevi mmoja kwny banda la mpira
😀😃🙈
 
Nchi ikiwa na mchanganyiko hupendeza sana, ndio maana ukifika Marekani unakutana na kila MMEA WA BINADAMU, yaani unakutana na mtu anatisha balaa, mwingine wa kawaida, mwingine mzuri balaa, halafa anakuja tena mzuriii, ukisema umemaliza unashangaa unakutana na kitu hadi unajiuliza ni cha hapahapa au kimushuka tu. Yote hii ni kwasababu ya michanganyiko ya wa latino, ulaya,Asia, Arabs, Africa na hata wandengereko.

Kwa hiyo tunaishukuru serikali hii ya Mama yetu kwa kuanza na hawa wa Sudan, japo tumechelewa sana. Niombe tu mawasiliano yafanyike pia sehemu zingine kama Ethiopia, Eritrea, Brazil. Pia tuangalie uwezekano wa kutoa scholarship kwa Rwanda .

Kama Nyerere alivyofanikiwa kuchanganya nakabila yetu tukazaana vinginevyo ungekuta leo kuna jamii wote ni weusi tiiii, au jamii fulani wote ni wabishi tu
Kuna damu sio za kuchanganya waoane wenyewe

Hivi mfano mtanzania unazaa na Msomali unatarajia nini? Utaishia kuzalisha kizazi cha ajabu sana

Au unao na kuolewa na mtu wa Sumbawanga unatarajia nini? Ukilogwa mfano unashangaa nini?

Kuna watu duniani wanatakiwa waoane wao kwa wao wakae mbali na makabila mengine

Ukabila ruksa

Kuna makabila hata Tanzania yako mengine waoaji au waolewaji hawawataki kabisa akioa au kuolewa nje ni wachache mno sababu ya sifa mbaya ya kabila

Swali wewe kwa yeyote humu Jamii Forums watu wa kabila lako ni wangapi wameoa au kuolewa na makabila mengine eneo hapo ulipo iwe mtaani kijijini,mjini,kanisani au msikitini unakosali au kazini,au kwenye biashara au kwenye marafiki zako nk jipime mwenyewe ukiwaona kiduchu jua kabila lako lina shida oaneni wenyewe na shida zenu hamfai mko hovyo

Napiga Saluti kwa wachaga wanaongoza Tanzania kwa kuoa na kuolewa na kila kabila Tanzania

Wanapendeka hasa na makabila mengine awe mwanaume wa kichaga au mwanamke wa kichaga

Kwa Tanzania ndio wanashika nafasi ya kwanza kupendeka kuoa au kuolewa
 
Wabongo si mnao kina Amber-Rutty na Amber Lulu? Waacheni watoto wa watu wasome. Sisi tuendelee na la Bandari, halijaisha bado.View attachment 2663374
Hawa tutapeleka mswaada bungeni kuwatungia sheria yao maalum.

Kifungu Namba 1: Ukikamatwa unamtongoza mwanafunzi wa sudani, hukumu yake miaka miwili unapelekwa Sudan ukaishi huko.

Kifungu Namba 2: Utakua unahamishwa wilaya zenye machafuko tu, zenye machafuko tu kutumikia hukumu hio!!! Machafuko yanapohama wilaya au mkoa basi unahama nayo kwa kipindi chote utakapokua katika kutumikia hukumu hio huko ughaibuni.

Zero IQ bandiko hili linakuhusu! Usije ukahamisha kiwanda chako cha kuchakata viazi na kukileta dar!
Hapo sasa ila kuna viumbe hapa bongo acha tu na adhabu ya hvyo bado watarusha ndowano tu salut kwa wabongo
 
Back
Top Bottom