Ni mtu mpuuzi tu anayeweza kumdharau mtu kama Tundu Lissu. Lissu kasema Serikali haijaaijiri walimu tangu 2014, hapo hapo serikali inaitupa bajeti ya Ndalichako na kaika hali ya kupaniki inatangaza kufungua dirisha la kuajiri walimu kwa maelfu. Katika hotuba ya waziri wa elimu, yeye aliahidi ajira hizi hapa:
1. Kuajiri watumishi wa Mamlaka ya VETA ili kuziba nafasi zilizo wazi; (Uk.77.)
2. Kuajiri jumla ya wafanyakazi 164 kati yao wanataaluma ni 45 na waendeshaji ni 119; katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (uk 86).
Hotuba nzima sioni ajira za walimu wa Shule za Msingi wala Sekondari. Hotuba ya bajeti nimeiambatanisha hapa.
KAMA SI CHANGA LA MACHO, BASI HII NI KALI YA KARNE, TUNDU LISSU KAIFUMUA BAJETI YA SERIKALI. Kifupi ni kwamba TUNDU LISSU ameanza kuwatumikia Watanzania. WANAOEMA VYAMA VYA UPINZANI VIFE HAWAJUI WANACHOSEMA.
1. Kuajiri watumishi wa Mamlaka ya VETA ili kuziba nafasi zilizo wazi; (Uk.77.)
2. Kuajiri jumla ya wafanyakazi 164 kati yao wanataaluma ni 45 na waendeshaji ni 119; katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (uk 86).
Hotuba nzima sioni ajira za walimu wa Shule za Msingi wala Sekondari. Hotuba ya bajeti nimeiambatanisha hapa.
KAMA SI CHANGA LA MACHO, BASI HII NI KALI YA KARNE, TUNDU LISSU KAIFUMUA BAJETI YA SERIKALI. Kifupi ni kwamba TUNDU LISSU ameanza kuwatumikia Watanzania. WANAOEMA VYAMA VYA UPINZANI VIFE HAWAJUI WANACHOSEMA.