Asante Magufuli: MV Amani yaanza majaribio ziwa Tanganyika

Asante Magufuli: MV Amani yaanza majaribio ziwa Tanganyika

Amani Msumari

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2016
Posts
1,830
Reaction score
972
Mtanzania, ungana nami kusherehekea mafanikio katika sekta ya usafiririshaji ambayo haya ni maendeleo ya vitu yanayochochea maendeleo ya watu.

Serikali ya awamu ya tano inaleta meli kubwa ya kisasa iitwayo Mv Amani ambayo itafanya safari zake katika ziwa Tanganyika na hivyo kuwa msaada mkubwa kwa ndugu zetu wa Kigoma.

Meli hiyo inauwezo wa kubeba abiria 600, magari 50 na mizigo tani 3500. Hongera Sana serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli.

#maendeleohayanavyama



IMG_20201025_163643.jpg
 
Hongera sana JPM na serikali awamu ya tano kwa miundombinu hii ya uhakika.
 
hii habari niliisoma huko mitandaoni na wamesema hiyo meli inatokea Congo kuja kigoma na itapokelewa na mkuu wa mkoa wa kigoma lakini hawakusema imenunuliwa
Lengo na kazi ya serikali ni kufanya kila jambo kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na zenye uhakika. Haijalishi serikali imenunua au laa
 
Haya wale wenye imani haba, kwao ni mpaka kuona ni kuamini, oneni, na October 28, fanyeni mambo by doing the right thing!


P
 
Meli inayokuja Lake Tanganyika ni hii hapa:-
Screenshot_20201025-194536.png
 
hii habari niliisoma huko mitandaoni na wamesema hiyo meli inatokea Congo kuja kigoma na itapokelewa na mkuu wa mkoa wa kigoma lakini hawakusema imenunuliwa
Meli ya DRC hiyo ujinga mzigo mkuu. Wanajichekeleaha wamezoea uongo sana kila kitu kudanganya watu. Wanatafuta kura za waha. CCM na Uongo ni kama mpira na upepo.
 
Aisee she's very beautiful !! inataka kufanana na ile ya abramovich yule tajiri wa chelsea.
 
Back
Top Bottom