greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Acha wivu mtoto wakike.Meli ya congo hio itashawishi vipi kuongeza kura za ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu mtoto wakike.Meli ya congo hio itashawishi vipi kuongeza kura za ccm
Thibitisha. Vinginevyo utapuuzwa wewe pamoja na hoja yako.Kibaraka wenu juzi ukerewe alipanda ngalawa almanusura limbwage chini akaanza kulia nakusema akipewa urais nayeye ata jenga kivuko uk.
Magufuli anahangaika sana na matatizo ya watanzania. Inashangaza kuna watu wanambezaMitano tena, viva magufuli
Acha mbwembwe mkuu. Tarehe 28 kamchague mzalendo namba moja na wagombea wa CCM kazi iendelee
Hatutaki Ndege, Barabara, flyovers, stiegller gorge nk vya masimango huku tukizibwa midomo na kubambikiziwa kesi tukiuliza wapi sh trilioni 1.5 zetu zilipelekwa, tukiuliza uwanja wa chato ulijengwa kwa idhini ya nani na kwa sh ngapi isiwe ni hatia, tunataka kwanza haki, uhuru ndipo maendeleo (majority people centred developments) na sio minority au individual centred developments kama kununua ndege na kujenga uwanja wa ndege wa Chato.
Hizo ndege za Magu zinatakiwa ziuzwa na pesa yake itumike kujenga miradi ya maji nchi nzima hadi huko chato ambapo leo hii hakuna maji ya bomba lakini kuna uwanja wa ndege wa kumpeleka Magu kula Chrismass na Mkewe.
Wivu ni kidonda ukiushiriki utakondaHilo ni boat sio meli.
Once you stop from being less you will start to understand and eventually u will impressHatutaki Maendeleo ya vitu. Tunataka Maendeleo ya watu...! Mbona hamsikii???
Very beautiful indeedAisee she's very beautiful !! inataka kufanana na ile ya abramovich yule tajiri wa chelsea.
Pamoja na yote hayo ccm hawawezi kutamka neno 'HAKI'
Ndio zilikuwa kura za maoni lakini kuna mfanano na uchaguzi huuLazima ujue hizo zilikuwa ni Kura za maoni za CCM na sio kura za uchaguzi mkuu. Ndani ya CCM yenyewe kuna figusi kibao katika kura zenu za maoni, msilogwe figusi hizo kuzileta katika uchaguzi mkuu, Mind you, The hague is awaiting for the would be election Culprits.
Msisahau kumpa kura apite kwa kishindo
Day dreamersTundu Lissu atapata a land slide victory whether comes rain or shine .
Sio vizuri kuidanganya nafsi yakoTundu Lissu atapata a land slide victory whether comes rain or shine .
Muda wa kupekua ma file ndo hakuna ila kumbuka juzi kibaraka lissu alienda ukerewe na usafiri gani ndo utapata jibu.Thibitisha. Vinginevyo utapuuzwa wewe pamoja na hoja yako.
Ndio zilikuwa kura za maoni lakini kuna mfanano na uchaguzi huu
Kigoma leka tudigiteWaha!!!