Asante Magufuli: MV Amani yaanza majaribio ziwa Tanganyika

Asante Magufuli: MV Amani yaanza majaribio ziwa Tanganyika

Hatutakubali mlete figusi zenu za kunyonga wagombea waliopita katika chaguzi zenu mlete figusi za kunyonga uchaguzi mkuu ujao, kitanuka.--- ala ala mti na jicho, ala ala uchaguzi na amani yetu, hii nchi sio ya CCM, ni nchi ya watz wote 55 million na wengi wao hawana vyama. Kumbukeni hilo, atakaye shinda kihalali "principle" inataka atangazwe na apewe haki ya kuongoza, vinginevyo uchaguzi hautakuwa na maana yoyote na ni hadaa, kupoteza fedha na muda bure.
Hakika, atakayeshinda ndie atakayetangazwa. Poa moyo kiongozi
 
Sio vizuri kuidanganya nafsi yako

Wtz, wengi tumechoka na machungu ya miaka 5 ya Mzee Magu. Maisha ni shida kila kona, leo huku kwetu viwanda vitatu muhimu vilivyokuwa vikitoa ajira kwa watu wengi vimefungwa, TTPL, Mazava, Magunia nk, wewe unadhani hao mamia ya wafanyakazi "lay offs" na ndugu zao are they going to Vote for Magu?
 
Wtz, wengi tumechoka na machungu ya miaka 5 ya Mzee Magu. Maisha ni shida kila kona, leo huku kwetu viwanda vitatu muhimu vilivyokuwa vikitoa ajira kwa watu wengi vimefungwa, TTPL, Mazava, Magunia nk, wewe unadhani hao mamia ya wafanyakazi "lay offs" na ndugu zao are they going to Vote for Magu???
Kama ni Tanga itakuwa unaongelea PPTL ambao wanafanya vizuri sana na sasa hivi ukipita pale utaona wanaongeza warehouse kubwa sana. By the way, PPTL ni muajiri mkubwa sana kwa wakazi wengi wa Tanga mjini.
 
Wtz, wengi tumechoka na machungu ya miaka 5 ya Mzee Magu. Maisha ni shida kila kona, leo huku kwetu viwanda vitatu muhimu vilivyokuwa vikitoa ajira kwa watu wengi vimefungwa, TTPL, Mazava, Magunia nk, wewe unadhani hao mamia ya wafanyakazi "lay offs" na ndugu zao are they going to Vote for Magu???
Sababu za kufungwa n zipi? Maana isije kuwa mis management ndio chanzo halafu utake kuilaumu serikali
 
Kama ni Tanga itakuwa unaongelea PPTL ambao wanafanya vizuri sana na sasa hivi ukipita pale utaona wanaongeza warehouse kubwa sana. By the way, PPTL ni muajiri mkubwa sana kwa wakazi wengi wa Tanga mjini


1----Tanzania Tobacco processers Ltd TTPL .
2--- Mazava.
3--- Tanzania packages (Magunia).
Vyote hivyo viwanda ni closed down.

Ni Moro kasoro bahari hapo.
 
Wtz, wengi tumechoka na machungu ya miaka 5 ya Mzee Magu. Maisha ni shida kila kona, leo huku kwetu viwanda vitatu muhimu vilivyokuwa vikitoa ajira kwa watu wengi vimefungwa, TTPL, Mazava, Magunia nk, wewe unadhani hao mamia ya wafanyakazi "lay offs" na ndugu zao are they going to Vote for Magu???
Noma mkuu,pisi za mazava utazionea huruma kitaa,wa TPPL vitambi kwishaaa.kwa hili la morogoro mzee magu simuungi mkono.
 
Kama ni Tanga itakuwa unaongelea PPTL ambao wanafanya vizuri sana na sasa hivi ukipita pale utaona wanaongeza warehouse kubwa sana. By the way, PPTL ni muajiri mkubwa sana kwa wakazi wengi wa Tanga mjini
We nae TTPL na PPTL wapi na wapi? TTPL ni kiwanda cha tumbaku morogoro
 
Hilo tuu?

Kwani hizo Kodi za kukamua zinafanywa Moro peke yake? Vipi sehemu nyingine viwanda vina flourish?


Ni watu wangapi wamefunga biashara??, ni ajira ngapi zimepotea??-- hivyo viwanda vinavyoonekana kuendelea unajua hali zao za biashara katika miaka hii 5 comparatively??? --- biashara zipo ICU.
 
Noma mkuu,pisi za mazava utazionea huruma kitaa,wa TPPL vitambi kwishaaa.kwa hili la morogoro mzee magu simuungi mkono.


Tena hao akina dada zetu wasiokuwa na waume waliokuwa waajiriwa hali ndiyo mbaya zaidi, wanadhalikalika utu wao, sasa wafanyeje na wapo mjini katika nyumba za kupanga, hapo bado hajala na hajavaa au bahati mbaya augue. Sukari kilo sh 2500/= kutoka sh 1800/= ya Jk.

Halafu mtu mishipa ya shingo na povu linamtoka kama mjusi aliyebanwa na mlango eti; Magu mitano tena!!🤣🤣
 
Tena hao akina dada zetu wasiokuwa na waume waliokuwa waajiriwa hali ndiyo mbaya zaidi, wanadhalikalika utu wao, sasa wafanyeje na wapo mjini katika nyumba za kupanga, hapo bado hajala na hajavaa au bahati mbaya augue. Sukari kilo sh 2500/= kutoka sh 1800/= ya Jk.

Halafu mtu mishipa ya shingo na povu linamtoka kama mjusi aliyebanwa na mlango eti; Magu mitano tena!![emoji1787][emoji1787]
Acha tu mzee baba,kuna waliopanga vyumba na walitokea singida,kule kiwanda kilipoanzia kabla ya kuhamishiwa moro,dah wengi wamerudi kwao,moro pamewashinda,na maisha yalikuwa yanakwenda poa sana kabla ajira kusitishwa.
 
Back
Top Bottom