Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kweli kabisa kaka nilikuwa sijui kabisa Kama n meli ya RDC huko ulikoipandia. Hivi Rais wa huko RDC n nan? Savimbi beib au?Kwani nimekataa?!! Tatizo lenu empty sets fc, huwa mnashindwa kutofautisha jf na fb!! Humu jf kuna watu wenye kuhoji na kujua mambo mengi, hivyo ukileta propaganda, una kula za uso, unazimia, ukipata ufahamu akili imekujia,na wewe unakuwa umejua kumbe ulikuwa hujui!!! Una ona sasa mbwembwe zote kumbe ulikuwa hujui, kuwa ni meli ya RDC, Na kuna watu tumeshaipanda, umekuwa mpoleee!!! TOKA SIZE YA SIMTANK, HADI SIZE YA KIKOMBE CHA KAHAWA!!! ni hatari sanaaa shehee
Angalia picha kubwa. Hapa tunaongelea fursa zabkiuchumi na jinsi ujio wa meli hiyo utakavyobadilisha maishaMeli ya Kongo , lakini anasifiwa magufuli jamani this is too much
Meli ya Kongo , lakini anasifiwa magufuli jamani this is too much
Na wengine tunakumbuka hii...Haya wale wenye imani haba, kwao ni mpaka kuona ni kuamini, oneni, na October 28, fanyeni mambo by doing the right thing!
Uchaguzi 2020 - Kuona ni Kuamini: Je, Oktoba 28, utachagua nini kati ya unachoona kwa macho kitu cha ukweli kilichopo vs ahadi tupu? Msikilize Masanja Mkandamizaji...
Wanabodi, Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha...www.jamiiforums.com
P
Merci mingi Mukulu...baambiye hao mambogambonga...Meli ya congo hio itashawishi vipi kuongeza kura za CCM
Ujue mwanzo tulikua na meli zetu zilikua zikifanya kazi katika ziwa Tanganyika ambayo ni MV liemba na MV muongozo, sasa hivi meli zetu zote zimepaki ni Mbovu hazifanyi kazi , kwa hiyo Congo wameona watumie fursa iliyopo kuleta meli ili waongeze kipato chao, sisi acha tuendelee kulala ,Kwanini hapo mwanzo ilikuwa haiji?
Usione vyaelea, vimeundwa
Kwahiyo unataka tulaumu kwa ujio wa MV. Amani?Ujue mwanzo tulikua na meli zetu zilikua zikifanya kazi katika ziwa Tanganyika ambayo ni MV liemba na MV muongozo, sasa hivi meli zetu zote zimepaki ni Mbovu hazifanyi kazi , kwa hiyo Congo wameona watumie fursa iliyopo kuleta meli ili waongeze kipato chao, sisi acha tuendelee kulala ,
Sio kila kitu chakusifia tu pasipo kufikiria
Haki utolewa na mungu tu duniani kuna kuleta usawa,ndio maana mtu anaweza kuua kweli na anashinda kesiPamoja na yote hayo ccm hawawezi kutamka neno 'HAKI'
Sasa kipi cha kufurahisha hapo , mue mnajielewa basi , iambie serekali yako ifufue meli zake zilizokufa zile ndio zenye manufaa makubwa kwetu , acha uzwazwaKwahiyo unataka tulaumu kwa ujio wa MV. Amani?
Kuna ujenzi wa meli mpya soon utaanzaUjue mwanzo tulikua na meli zetu zilikua zikifanya kazi katika ziwa Tanganyika ambayo ni MV liemba na MV muongozo, sasa hivi meli zetu zote zimepaki ni Mbovu hazifanyi kazi , kwa hiyo Congo wameona watumie fursa iliyopo kuleta meli ili waongeze kipato chao, sisi acha tuendelee kulala ,
Sio kila kitu chakusifia tu pasipo kufikiria
Ikianza kufanya kazi hiyo ndio tusifie sasa ,Kuna ujenzi wa meli mpya soon utaanza
Inapitia wapi mkuu?Meli inayokuja Lake Tanganyika ni hii hapa:-
View attachment 1611788
Unajua ndio maana mnafeli sana na mwaka huu sidhani Kama Zitto atapita. Kuna vitu sio vya kupinga, ukipinga wananchi ambao ndio wanufaika, kamwe hawawezi kukuelewa.Sasa kipi cha kufurahisha hapo , mue mnajielewa basi , iambie serekali yako ifufue meli zake zilizokufa zile ndio zenye manufaa makubwa kwetu , acha uzwazwa
Meli sio yetu mkuu ni ya Congo , mleta mada ni kichwa kibovuhuyo Magufuli unayempongeza amenunua hiyo meli kwa pesa zake mfukoni?!.
mleta mada huna akili
Awachelewi kuishukuru awamu hii ya kusadikika imetuletea mafurikoMerci mingi Mukulu...baambiye hao mambogambonga...
Unajua ndio maana mnafeli ssna na mwaka huu sidhani Kama Zitto atapita. Kuna vitu sio vya kupinga, ukipinga wananchi ambao ndio wanufaika, kamwe hawawezu kukuelewa.
MV Liemba ni Meli ya muda mrefu Sana, toka mjerumani. Meli hii inahitaji matengenezo makubwa Sana na ambayo Ni afadhali ununue meli mpya ya kisasa.
Sasa hivu wananchi wa Kigoma wanateseka na serikali ukaona ilitatue kwanza tatizo Hilo mengine yatafuata. Nyie mnapinga.
Sikiliza, mlitakiwa msgukuru kwa ufumvuzi uliopatikana halafu mshauri serikali inunue meli make au ikarabati zilizopo lakini sio kupinga.
Wananchi watawaadgibu keshokutwa jumatano