mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Pesa za magufuli au kodi zetu acha uzwazwaMatimbwa hapo nina kashamba kangu kako barabarani kabisa. Asante Magufuli![emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa za magufuli au kodi zetu acha uzwazwaMatimbwa hapo nina kashamba kangu kako barabarani kabisa. Asante Magufuli![emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Watakuja kuolewa bure hawa watu sio kusifiana hukoJiwe anazitoa wapi hela JINGA LINGINE?????
BARABARA HAIJAANZA HATA KUJENGWA USHAWEKA SHOBO KWA MWANAUME MWENZIO.
SHAME.
Wamesikia tu na kuona Tanroads wanapitapita kwenye barabara ya Mlandizi wakienda waendako na TARURA wanaimarisha mji wa Bagamoyo, yote ni kazi nzuri ya mtani wao Magufuli anayepongezwa kama imekamilika.Imeshaanza kujengwa?
Au umekuja kusifu tu hapa.
JPM ni mtu wa kazi hana porojo tutamkumbuka sana baada ya 2025.
Anajitahidi kwa namna yake Mkuu TindoNi kweli, ila Sio kwa hivyo unavyodhani.
Pumba.fu hujui hiyo ni kodi yako?Wanajanvi hii ni special thread ya pongezi kwa His Exc. Magafuli kwa udhati wa kutusaidia wanabagamoyo pamoja na kuwa Mwanawetu mwenyewe alikuwa Rais, Mwanawetu Mwenyewe alikuwa Waziri wa Ujenzi na Baadae Elimu kwa kipindi Kirefu sana.
Mtani Magufuli, tumeona Kamji ketu ka Bagamoyo kanaimarika. Asanteni Wana TARURA.
Tumeona Barabara ya Bagamoyo Mlandizi watu wa Tanroads wanapita pita . Asante sana.
Hii barabara Ya Bagamoyo Mlandizi ndo inabeba sehemu kubwa ya mafuta ya kula, sukari, electronis used, na Mambo kadhaa kwa mikoa ya Kati mashariki Kama pwani, moro, etc.
Once again. Asante Magufuli, Asante TARURA, Asante TANROADS
Kama ni ofisi bila initiative, mbona ofisi ya mfalme mbowe haijanunua hata kiwanja tu cha kujenga office ya makao makuu ya chama wakati chadema ilikuwa inapata mamilioni ya ruzuku zetu walipakodi? Changanya na zako kamanda!Shida ya madikteta ni ku-personalize kila kitu
Yeye ndio savior,yeye ndio mungu,yeye ndio masihi,yeye ndio mtume
Hapa sio kodi wala serikali kwa ujumla ni "Magufuli" as a demi God!
As if ana hela au ana chochote cha kufanya chochote dunia hii,kumbe ni ofisi ya nchi na wala sio mtu!
Kama hutaki jinyonge!!
Endelea kupiga ramli mpaka uwe unajikatakata na viwembe labada miungu yako itakusikia!Mawe akifa au akiwa anaumwa au akiwa kipofu au kibogoyo au stroked au paralyzed..ofisi haifanyi kazi zake kwendana na plan na bajeti tulizopitisha?
Pita hivi na porojo zenu, woi.Hata Manazi yanamkumbuka Hitler, so issue sio kumkumbuka bali atakumbukwa na nani!!!
Lakini kwa upande mwingine, hata terrific moment of our lives huwa tunazikumbuka, so again, issue sio kukumbuka bali kukumbuka katika mazingira gani!!!
Porojo porojo porojoAnd FYI, nilijua tu utaongea hiyo hoja!!!
Hivi Magu ni mtu wa kazi asiye na porojo au ni mtu wa kelele kwa kila anachofanya huku akiwa na praise team kubwa nyuma yake hata kama wengine pia walifanya, tena mengine zaidi ya hayo!!!
Ndo kuna member mmoja kuna uzi kanikumbusha jinsi Engineer alivyokuwa anasifia Awamu ya 5 kuhusu Rusumo Power Project wakati huu mradi ni wa tangu 2012, and by 2013 World Bank na AfDB wakawa wamesha-approve pesa!!!
Tumesikia Praise Team inavyosifia Flyovers wakati miradi yote yeye kaja kutekeleza tu!!
Tunasikia praise team inavyosifia barabara za Dar es salaam wakati pesa ilishatoka tangu 2015!!!
Nadhani Magu kama ataondoka madarakani, I bet atautangazia umma wote projects zote alizofanikisha funding lakini hazijaanza ili hata ikianza kujengwa baada ya kuwa ameondoka, watu wote wafahamu ni Magu ndie kafanikisha wakati wenzake wameondoka kimya kimya!!
Wewe lazima utakuwa muumini wa shetaniSiamini mungu wala shetani
Keep them for yourself!
una akili kiduchu, unashukuru mali yako kama kichaa!Wanajanvi hii ni special thread ya pongezi kwa His Exc. Magafuli kwa udhati wa kutusaidia wanabagamoyo pamoja na kuwa Mwanawetu mwenyewe alikuwa Rais, Mwanawetu Mwenyewe alikuwa Waziri wa Ujenzi na Baadae Elimu kwa kipindi Kirefu sana.
Mtani Magufuli, tumeona Kamji ketu ka Bagamoyo kanaimarika. Asanteni Wana TARURA.
Tumeona Barabara ya Bagamoyo Mlandizi watu wa Tanroads wanapita pita . Asante sana.
Hii barabara Ya Bagamoyo Mlandizi ndo inabeba sehemu kubwa ya mafuta ya kula, sukari, electronis used, na Mambo kadhaa kwa mikoa ya Kati mashariki Kama pwani, moro, etc.
Once again. Asante Magufuli, Asante TARURA, Asante TANROADS
Wewe ni mpuuzi tu, bishaAnd FYI, nilijua tu utaongea hiyo hoja!!!
Hivi Magu ni mtu wa kazi asiye na porojo au ni mtu wa kelele kwa kila anachofanya huku akiwa na praise team kubwa nyuma yake hata kama wengine pia walifanya, tena mengine zaidi ya hayo!!!
Ndo kuna member mmoja kuna uzi kanikumbusha jinsi Engineer alivyokuwa anasifia Awamu ya 5 kuhusu Rusumo Power Project wakati huu mradi ni wa tangu 2012, and by 2013 World Bank na AfDB wakawa wamesha-approve pesa!!!
Tumesikia Praise Team inavyosifia Flyovers wakati miradi yote yeye kaja kutekeleza tu!!
Tunasikia praise team inavyosifia barabara za Dar es salaam wakati pesa ilishatoka tangu 2015!!!
Nadhani Magu kama ataondoka madarakani, I bet atautangazia umma wote projects zote alizofanikisha funding lakini hazijaanza ili hata ikianza kujengwa baada ya kuwa ameondoka, watu wote wafahamu ni Magu ndie kafanikisha wakati wenzake wameondoka kimya kimya!!
Sibishi, na wewe ni mpumbavu; bisha!Wewe ni mpuuzi tu, bisha
Sina namna nyingine ya kukusaidia!!Porojo porojo porojo
Bado unaendelea ku-quote porojo! You must be having serious problems!!Pita hivi na porojo zenu, woi.
Wewe nilishakudharau kitambo sana, nimelazimika kukujibu only to tell you kwamba nimekupuuza!!!Mafisadi kama nyinyi lazima mpinge kila kitu lakini mtanyooka tu na bado!