Asante Magufuli. Tumesikia Barabara ya Bagamoyo Mlandizi inajengwa

Utakufa na stress tu sisi tunapiga kazi kama kawa! Mara umeshakuwa mzee na mikongojo juu mwisho tunaanza kuandika RIP. Chapa kazi mkuu!

Nichape kazi mara 2?
 
Mimi si mpumbavu maana siongelei upuuzi kama wewe kichelema
Unaonaje basi nikikupuuza?! You sound like those a bunch of minions ambao am sorry to tell you that I have little to no time to argue with minions.. sorry!!
 
Unaonaje basi nikikupuuza?! You sound like those a bunch of minions ambao am sorry to tell you that I have little to no time to argue with minions.. sorry!!
Nilikueleza kuwa wewe ni mpuuzi na wala sikuwa and this is not an argument dogo
 
Wewe utakuwa sio mwanabagamoyo
Wanabagamoyo wa ukweli hakuna hata mmoja anaweza kumshukuru huyo Shetani
Kwanza tulishuhudia jinsi mwenzetu akiwa Kama kiongozi wa nchi na chama alivyombeba huyu mtu hadi kifikia hapo alipo na tumeshuhudia baada ya kufika alipofika alianza kumkejeli na kumkashifu mtangulizi wake mwanabagamoyo mwnzetu lwa namna mbalimbali pamoja na kimuita kwamba anakimbelembele
Pili mwenzetu alikuwa na mipango ya kuindeleza sekta ya bandari kwa kubuni mradi mkubwa wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ambapo hadi alipokuwa anaondoka madarakani hatua za kuanza ujenzi zilikuwa zimeshakamilika
Ukweli mwenzetu alikuwa na maono kwamba aache alama kubwa kwetu na taifa kwani ujenzi wa bandari hiyo ungeenda sambamba na ujenzi wa miundombinu mbalimbali Kama barabara ,hotels ,maofisi nk
Cha kushangaza bwana huyu alipoingia madarakani aliutupilia mbali mradi huu kwa kisingizio kwamba eti ulikuwa sio wa kizalendo
Suala hili limemuumiza sana mwenzetu pamoja na sisi wote kwa ujumla
Kwa ujumla sisi wanabagamoyo hatuna lolote la kujivunia kutoka kwa huyu mtu aliyeamua kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake ambao tokea ukamilike hakuna ndege ya abiria iliyokwishatua hapo
Mtoa post utakuwa sio mwanabagamoyo
 
Utakufa na kiroho chako, nenda hata uwanbie familia yako wawe wanakusifu ili nawe upate faraja.
Mioyo ya hivyo huwa niya kichawi yeye wivu tupu.
Na mara nyingo watu wa aina yako hufa masikini, maana mchana na usiku wanawaza mabaya tu kwa watu.
 
jamani mbona Barabara kuu zipo zitakazounganisha Bagamoyo na Dsm,
Bagamoto Msata Chalinze, Bagamoyo Msata Segera
hiyo barabara ya kubeba mafuta ya kula ndio mpaka muwanange Marais waliopita?
huku nyuma ya Chalinze ipo nyingine ya kuunganisha Moro rd na ya Chalinze
 
Sawa
 
Mtani Magufuli, tumeona Kamji ketu ka Bagamoyo kanaimarika.
Mkuu hii siyo kweli. Mwezi wa 10 tu nilikuwa huko. Barabara za mji huo zimechoka, zimechakaa na Bagamoyo imekuwa kama Kibera.
 
Mkuu hii siyo kweli. Mwezi wa 10 tu nilikuwa huko. Barabara za mji huo zimechoka, zimechakaa na Bagamoyo imekuwa kama Kibera.
Duh.... Mnatucheka sana mkija huku nyie. Kibera vs Bagamoyo hahahaaaa
 
Duh.... Mnatucheka sana mkija huku nyie. Kibera vs Bagamoyo hahahaaaa
Kiukweli jpm hajamtendea haki mhe Kikwete. Alipaswa kumpa heshima kwa kuziweka sawa barabara za mji huo na kubariki ujenzi wa bandari ya Bagamoyo badala ya kuifuta kama alivyofanya.

Hakika Bagamoyo ya 2010 siyo Bagamoyo niliyoiona mwezi wa 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…