Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Umeoa the archiveWanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.
Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
Mkuu pole lakini unao ya pata na kwetu ni hivo hivo hao wadudu hawana tofauti na hawana jema wengi wana jini visirani.........Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.
Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
๐Mimi alinizalia sabufa, kelele kila siku hakuna hata kusikilizana kila kitu ni kelele na kulalamika
Sabufa lenye Spika mbovuMimi alinizalia sabufa, kelele kila siku hakuna hata kusikilizana kila kitu ni kelele na kulalamika
Aisee, yamekuwa hayo bro?Mimi alinizalia sabufa, kelele kila siku hakuna hata kusikilizana kila kitu ni kelele na kulalamika
Mh๐น๐น๐น Hapana sio mimi
Mimi ni mama mtumishi na kelele wapi na wapi??
Mbona umeguna mkuu?
๐๐๐๐น๐น๐น Hapana sio mimi
Mimi ni mama mtumishi na kelele wapi na wapi??
Nakukubali sana mama mtumishiMbona umeguna mkuu?
Babu kumbe hii ndio siri imekufanya udumu na bibi๐Jitahidi kutokumkwaza mara kwa mara
Pia usisahau kumkaza Mkuu,
Wakati mwingine huwa ni nyege tu zinawasumbua