Asante mke wangu kuniletea mapacha, wadau nisaidieni kuwapa majina (yawe ya members wa JF)

Miss Natafuta na Nyani Ngabu
 

Daah Tanganyika? Uyo mtoto atakua na laana
 
Quigley na kui
 
kwanza pongezi MSAGASUMU,wewe binafsi na mwenzi wako bila shaka atakuwa MSAGACHUPA ,PONGEZI SANA .majina yao angalia jinsia ya hawa watoto iwe wa kiume au wa kike ,kwa heshima ya jukwa la jamii forum kama utapenda kumuita jina la founder wa JF ,M.MELO ,ENDAPO NI WA KIKE ,IARA ,pia HUGO CHAVES LINAFAA pia
 
kwan ww msaga sumu una asili ya asia!!!!kama ww ni m'bongo halisi hao watoto uwezekano wa kuwa wako haufiki 30% labda mkeo awe waasia!!!!,ikiwezekana anza kupunguza aibu ya baadae kwa kuacha hata majina atoe mkeo mwenyewe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…