Asante mke wangu kuniletea mapacha, wadau nisaidieni kuwapa majina (yawe ya members wa JF)

Mkuu mtoto wa kiume mpe jina la Yeezus au HR666 atakuwa genius balaa
 
Wa kiume mpe jina la Mafia
 
Shilole na Nuh au wakilia kuonesha hawayataki basi jaribu Man Fongo na Chiku K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…