supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]mmeanza mafataki...
looohh!!
hebu huko...!![emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Mamkwe usinifanyie hivyo, nina malengo nae mazuri tu tena utafurahi mzalia chema
Hongera sana mkuu.NIKO SERIOUS,TENA SANA.
Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.
Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)
Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,
Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau
NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]hebu huko...!!
mmeanza hapa!
Mrembo nawe si umjibu?,mbona hivyo?hebu huko...!!
mmeanza hapa!
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] tapeli weeee!!![emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Asa mamkwe mimi nimefanya nini[emoji22] .
Haya mambo madogo yanazungumzika
Nikuletee zawadi gani!! anapendelea nini vile na yeye nimletee
Kama ni kweli watoto hawa ni wako si busara kuwaanika namna hii na ni kinyume kabisa kwa watoto hao tambua kwamba picha ikisha ingia mtandaoni huna hati miliki nayo .kuna mwingine kapewa talaka huko kwa kupost pichaa za harusi kwa marafiki zake nadhan haya si matumizi sahihi ya mitandao lakin pi katika ulimwengu wa giza picha ya mtoto mchanga hutumiwa na washirikina kuchukua nyota changa ya mtoto anayo zaliwa nayo hivyo si jambo la ajabu mtoto wako kuadamwa na mikosi na kuto kufanikiwa akikuaNIKO SERIOUS,TENA SANA.
Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.
Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)
Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,
Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau
NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr
Hatutaki majina ya kizungu wala nini. Tunataka ya hapa hapa JF na kuna mapendekezo mazuri tu mf. Nyani Ngabu na Faiza Foxy, Le Mutuz na Mange Kimambi, Funza Dume na Lady Chameleon n.k. Hakukosea aliyesema JF is never boring! [emoji23][emoji23][emoji23]Hongera sana.
PARENTING / Baby Names
NEXT STORY
These boy-girl twin names have double the cuteness quotient
5 days ago
by Kim Grundy
Image: chewy/Getty Images
It's hard to pick twin boy and girl names are the perfect match — but it's not impossible
Top boy/girl twin baby names
- Madison, Mason
- Taylor, Tyler
- Addison, Aiden
- Dillan, Delanie
- Drew, Dakota
- Emily, Ethan
- Emma, Evan
- Ella, Ethan
- Emma, Ethan
- Jayda, Jayden
- Jada, Jaden
- Lennox, Layla
- Matthew, Mazie
- Quincy, Quinn
- Aidan, Nadia
- Aiden, Ava
- Emma, William
- Madison, Matthew
- Anna, William
- Emily, Evan
- Emma, Jacob
- Emma, Noah
- Isabella, Isaiah
- Madison, Michael
- Addison, Andrew
- Chloe, Connor
- Emma, Jack
- Nicholas, Sophia
- Noah, Sophia
- Olivia, Owen
- Zachary, Zoe
- Zachary, Zoey
- Brian, Brianna
- Caleb, Chloe
- Ethan, Isabella
- Grace, John
- Isabella, Michael
- Jacob, Jillian
- Jada, Jayden
- James, Julia
- Landon, London
- Lily, Luke
- Olivia, William
- Samuel, Sophia
- Sophia, William
- Abigail, Alexander
- Abigail, Benjamin
- Alexander, Ava
- Andrea, Andrew
- Andrew, Emily
- Ava, John
- Ava, Noah
- Emily, Ryan
- Emma, James
- Hannah, Noah
- Adan, Dana
- Taylor, Aaron
- Preston, Peyton
- Mia, Eli
- Parker, Harper
Aah mamii,we mrembo na haipendezi kuwa na majibu hayo mamii.[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] tapeli weeee!!!
Le mutuz na mange kimambi
NIKO SERIOUS,TENA SANA.
Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.
Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)
Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,
Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau
NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr
miss chaga na KirangaNIKO SERIOUS,TENA SANA.
Hatimaye yamekuwa baada ya miezi 9 na siku kama 3 hivi,wife kaniletea mapacha wawilim, wakike na wakiume, wenye afya nzuri.
Mara ya kwanza nilifikiria kuwapa majina ya vyama viwili vikubwa vya siasa nchini lkn nilipofikiria suala la hivi vyama viwili kukosa msimamo kwenye uchaguzi uliopita kuhusu Lowassa nimeamua kuachana na huo mpango kabisa (nataka wanangu wawe na msimamo thabiti)
Kutokana na mapenzi yangu ya dhati kwa JF nimeamua kutafuta ID mbili za kufa mtu kutoka humu ndani ili niwape hawa wanangu,
Mdau majina gani hasa yatawafaa hawa mapacha wangu,maoni yenu ni muhimu sana wadau
NB:Tafadhali jina hilo lisiwe mshana jr
Wallah La'3dwim nilitaka kusema hivi,ila nilipokumbuka fiksi za MSAGA SUMU nikaahirisha.Me: Kahtaan
Ke:Nifah