OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ndoto yetu ni Simba Sc iwe club yenye mapato makubwa ili iweze kufanya ushindani katika usajili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upo sahihi mkuu. Yanga na Simba Sc zinahitaji akili kubwa baada ya mkataba wa Sportpesa kuisha. Zinanyonywa thamani zao ni kubwa kuliko hiyo mikatabaBetting companies zimekuwa nyingi nchini. Kila company udhamini timu yake washindane kutoa pesa.
Kama enzi TBL kampuni ya beer. Kwa nini mmoja asidhamini Simba na mwingine Yanga kati ya TBL na Serengeti?
Natamani kujua 'Man U' watakuwa wanatangaza nini kwenye hizo jezi wakuu!
"Chevrolet" mkataba unaisha na wanaingia mkataba na "TeamViewer" kampuni ya teknolojia ya mawasiliano na mpunga watakaotoa kwa miaka mitano ndo huo Mo alioutajaNatamani kujua 'Man U' watakuwa wanatangaza nini kwenye hizo jezi wakuu!
Utopolo on pointKweli Nyani haoni kundule,yeye mbona anapiga danadana zile 20bl mpaka leo
Kweli kiingereza kigumu,sio kwamba Manchester inataka kuidhamini Simba kwenye Jezi bali Manchester imeingia mkataba wa miaka 5 na atalipwa hizo hela.Natamani kujua 'Man U' watakuwa wanatangaza nini kwenye hizo jezi wakuu!
Naona katibu mkuu mzee wa tumbo anafanya kazi!! Mwakalebela akiwa kaziniMo mjanja mjanja sana huyu..kaandika sports Pesa badala ya SportPesa ili mambo yakivurugika apate kichaka cha kutokea..
Mpaka muje kushtuka mtakuta manyoa tuuUtopolo on point
yaani nyie kunguni hata hili mnaona nogwa. hii mada ni zaidi ya ushabiki wa Simba na Yanga,punguza ujingaKweli Nyani haoni kundule,yeye mbona anapiga danadana zile 20bl mpaka leo
Kulinganisha udhamini wa Man Utd versus ule anaopata Simba kutoka kwa wadhamini ni sawa sawa na kulinganisha budget ya huduma ya Afya wanayotenga Serikali ya Marekani $4.01 trillion kwa mwaka kwa wananchi wao dhidi ya $95.6 million inayotengwa na wizara ya Afya ya serikali ya Tanzania kwa walalahoi sisi .MO hapo anakosea saana .View attachment 1731798
Ndoto yetu ni Simba Sc iwe club yenye mapato makubwa ili iweze kufanya ushindani katika usajili
Hujampa jib lake.MPEsasa,anataka kujua kwann simba ilambe hizo dola kutoka Man U.Kweli kiingereza kigumu,sio kwamba Manchester inataka kuidhamini Simba kwenye Jezi bali Manchester imeingia mkataba wa miaka 5 na atalipwa hizo hela.