Asante Profesa Ndalichako kwa majibu yako kwa Erick Shigongo

Asante Profesa Ndalichako kwa majibu yako kwa Erick Shigongo

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Habari wakuu,

Natumaini kila mmoja anaendelea vyema. Leo nimeona nitumie haki yangu ya kikatiba ya uhuru wa kutoa maoni. Pia nina uhakika wa uhuru baada ya kutoa maoni kwa sababu huu uzi haugusi mamlaka za kidola bali viongozi wachache wanaopotosha umma.

Jana nilitazama video iliyokuwa ikimuonyesha Mh Eric Shigongo akitishia kuchomoa shilingi kwenye bajeti ya wizara ya elimu kwa hoja zilizokosa weledi. Kabla ya kuangalia hoja ya huyu mbunge tujikumbushe kwamba siku za karibuni huko bungeni kumezuka utata wa baadhi ya bunge kudai kwamba wasomi sio lolote bora walioishia darasa la saba. Hoja imetokana na wao kupata mafanikio makubwa kiuchumi na kisiasa bila kwenda shule. Ni mambo ya kushangaza sana.

Mh Shigongo ni mtu ambaye hakubahatika kupata elimu ya sekondari. Aliishia darasa la saba na kupata elimu kwenye mambo ya afya ambapo pia upataji wa hiyo nafasi ya chuo pia ilikuwa ni kama bahati. Mwenyewe mara zote amekuwa akisema umaskini ndo ulisababisha iwe hivyo kwa upande wake. Baada ya mapambano mengi sana maishani hatimaye Ndugu Shigongo akapata nafasi ya kusomea shahada ya kwanza Chuo Kikuu kupitia nafasi za watu walioshia darasa la saba ila hawakupata elimu ya sekondari. Kigezo kikuu cha nafasi hizi ni uwe umefanya vitu vikubwa vya kipekee kwenye jamii na una nia ya kuongeza elimu.

Ni utaratibu uliokuwa na baraka za tume ya vyuo vikuu (TCU). Jamaa alisomea TUDARCO. Sio vyuo vyote vilifanya huu utaratibu. Kwa mujibu wa Waziri wa elimu ni kwamba seneti za vyuo haziingiliwi kwenye kuweka vigezo vya kujiunga vyuoni ili mradi hawavunji kanuni za TCU na wizara. Tatizo la Shigongo kwa mujibu wa maelezo yake ni baada ya UDSM kumtaka aambatanishe cheti cha kidato cha nne wakati akiomba nafasi ya kusoma Masters. Hili jambo lilimkera Shigongo hadi kutaka kuchomoa shilingi kwa hoja kwamba TZ inakiuka taratibu zinazotumika nchi nyingi za kutambua vipaji na mambo makubwa yaliyofanywa na baadhi yetu ila bahati mbaya huko nyuma hawakubahatika kupata kusoma sekondari.

Mh Waziri wa elimu kwenye majibu yake kwanza alisema UDSM haiingiliwi kwenye taratibu zake. Pia huo utaratibu uliomwezesha Shigongo kupata nafasi ya kusoma Chuo Kikuu ulisitishwa baada ya kutokea janja janja nyingi. Na pia kwa sababu wabunge wengi ambao hawajasoma wamekuwa wakidai vyeti vya elimu ni makaratasi tu kwanini walilie tena kwenda chuo? Si bora wabaki kwenye ujuaji wao kuliko kulilia kitu walichosema hakina maana?

Binafsi nampongeza Mama Ndalichako kwa kutoa majibu mafupi yaliyojaa points tupu. Huo utaratibu uliotumika kumpatia shahada Mr Shigongo ni mzuri lakini kutokana na janja janja ya sisi wenyewe basi ni utaratibu hatari usio salama. Nchi yetu haina rekodi nyingi zinazowahusu wananchi mmojammoja kiasi kwamba ni ngumu kupata uhalali wa mafanikio tunaowaona nayo wengi. Utakuta mtu anaonekana genius kwenye biashara kumbe nyuma ya pazia kuna haramu za kutosha. Ushauri wangu ni hawa watu waliopata mafanikio kama wanataka vyeti waende kwenye hizi centres za mitihani ya QT ili wapate vyeti kihalali na wajue kabisa elimu haina mbadala. Bila wasomi wa kutosha ni ngumu nchi kusonga mbele. Kama mtu hana elimu na hataki kukaa darasani basi abakie tu na hela zake hakuna haja ya kusumbuana. MWISHO kabisa kuna haja ya KATIBA kubadilishwa ili kutoingiza vilaza bungeni.
 
Habari wakuu,

Natumaini kila mmoja anaendelea vyema. Leo nimeona nitumie haki yangu ya kikatiba ya uhuru wa kutoa maoni. Pia nina uhakika wa uhuru baada ya kutoa maoni kwa sababu huu uzi haugusi mamlaka za kidola bali viongozi wachache wanaopotosha umma.

Jana nilitazama video iliyokuwa ikimuonyesha Mh Eric Shigongo akitishia kuchomoa shilingi kwenye bajeti ya wizara ya elimu kwa hoja zilizokosa weledi. Kabla ya kuangalia hoja ya huyu mbunge tujikumbushe kwamba siku za karibuni huko bungeni kumezuka utata wa baadhi ya bunge kudai kwamba wasomi sio lolote bora walioishia darasa la saba. Hoja imetokana na wao kupata mafanikio makubwa kiuchumi na kisiasa bila kwenda shule. Ni mambo ya kushangaza sana.

Mh Shigongo ni mtu ambaye hakubahatika kupata elimu ya sekondari. Aliishia darasa la saba na kupata elimu kwenye mambo ya afya ambapo pia upataji wa hiyo nafasi ya chuo pia ilikuwa ni kama bahati. Mwenyewe mara zote amekuwa akisema umaskini ndo ulisababisha iwe hivyo kwa upande wake. Baada ya mapambano mengi sana maishani hatimaye Ndugu Shigongo akapata nafasi ya kusomea shahada ya kwanza Chuo Kikuu kupitia nafasi za watu walioshia darasa la saba ila hawakupata elimu ya sekondari. Kigezo kikuu cha nafasi hizi ni uwe umefanya vitu vikubwa vya kipekee kwenye jamii na una nia ya kuongeza elimu. Ni utaratibu uliokuwa na baraka za tume ya vyuo vikuu (TCU). Jamaa alisomea TUDARCO. Sio vyuo vyote vilifanya huu utaratibu. Kwa mujibu wa Waziri wa elimu ni kwamba seneti za vyuo haziingiliwi kwenye kuweka vigezo vya kujiunga vyuoni ili mradi hawavunji kanuni za TCU na wizara. Tatizo la Shigongo kwa mujibu wa maelezo yake ni baada ya UDSM kumtaka aambatanishe cheti cha kidato cha nne wakati akiomba nafasi ya kusoma Masters. Hili jambo lilimkera Shigongo hadi kutaka kuchomoa shilingi kwa hoja kwamba TZ inakiuka taratibu zinazotumika nchi nyingi za kutambua vipaji na mambo makubwa yaliyofanywa na baadhi yetu ila bahati mbaya huko nyuma hawakubahatika kupata kusoma sekondari.

Mh Waziri wa elimu kwenye majibu yake kwanza alisema UDSM haiingiliwi kwenye taratibu zake. Pia huo utaratibu uliomwezesha Shigongo kupata nafasi ya kusoma Chuo Kikuu ulisitishwa baada ya kutokea janja janja nyingi. Na pia kwa sababu wabunge wengi ambao hawajasoma wamekuwa wakidai vyeti vya elimu ni makaratasi tu kwanini walilie tena kwenda chuo? Si bora wabaki kwenye ujuaji wao kuliko kulilia kitu walichosema hakina maana?

Binafsi nampongeza Mama Ndalichako kwa kutoa majibu mafupi yaliyojaa points tupu. Huo utaratibu uliotumika kumpatia shahada Mr Shigongo ni mzuri lakini kutokana na janja janja ya sisi wenyewe basi ni utaratibu hatari usio salama. Nchi yetu haina rekodi nyingi zinazowahusu wananchi mmojammoja kiasi kwamba ni ngumu kupata uhalali wa mafanikio tunaowaona nayo wengi. Utakuta mtu anaonekana genius kwenye biashara kumbe nyuma ya pazia kuna haramu za kutosha. Ushauri wangu ni hawa watu waliopata mafanikio kama wanataka vyeti waende kwenye hizi centres za mitihani ya QT ili wapate vyeti kihalali na wajue kabisa elimu haina mbadala. Bila wasomi wa kutosha ni ngumu nchi kusonga mbele. Kama mtu hana elimu na hataki kukaa darasani basi abakie tu na hela zake hakuna haja ya kusumbuana. MWISHO kabisa kuna haja ya KATIBA kubadilishwa ili kutoingiza vilaza bungeni.
hii lugha Yao ntachomoa shilling ni upuuzi first class. Uchomoe shilling my A$$. Wakati tunaona bugdets zinapitishwa tu na shilling zenu mlizochomoa mkaweka matracoin mwenyu. Shen,¥ typ
 
Hivi
Habari wakuu,

Natumaini kila mmoja anaendelea vyema. Leo nimeona nitumie haki yangu ya kikatiba ya uhuru wa kutoa maoni. Pia nina uhakika wa uhuru baada ya kutoa maoni kwa sababu huu uzi haugusi mamlaka za kidola bali viongozi wachache wanaopotosha umma.

Jana nilitazama video iliyokuwa ikimuonyesha Mh Eric Shigongo akitishia kuchomoa shilingi kwenye bajeti ya wizara ya elimu kwa hoja zilizokosa weledi. Kabla ya kuangalia hoja ya huyu mbunge tujikumbushe kwamba siku za karibuni huko bungeni kumezuka utata wa baadhi ya bunge kudai kwamba wasomi sio lolote bora walioishia darasa la saba. Hoja imetokana na wao kupata mafanikio makubwa kiuchumi na kisiasa bila kwenda shule. Ni mambo ya kushangaza sana.

Mh Shigongo ni mtu ambaye hakubahatika kupata elimu ya sekondari. Aliishia darasa la saba na kupata elimu kwenye mambo ya afya ambapo pia upataji wa hiyo nafasi ya chuo pia ilikuwa ni kama bahati. Mwenyewe mara zote amekuwa akisema umaskini ndo ulisababisha iwe hivyo kwa upande wake. Baada ya mapambano mengi sana maishani hatimaye Ndugu Shigongo akapata nafasi ya kusomea shahada ya kwanza Chuo Kikuu kupitia nafasi za watu walioshia darasa la saba ila hawakupata elimu ya sekondari. Kigezo kikuu cha nafasi hizi ni uwe umefanya vitu vikubwa vya kipekee kwenye jamii na una nia ya kuongeza elimu. Ni utaratibu uliokuwa na baraka za tume ya vyuo vikuu (TCU). Jamaa alisomea TUDARCO. Sio vyuo vyote vilifanya huu utaratibu. Kwa mujibu wa Waziri wa elimu ni kwamba seneti za vyuo haziingiliwi kwenye kuweka vigezo vya kujiunga vyuoni ili mradi hawavunji kanuni za TCU na wizara. Tatizo la Shigongo kwa mujibu wa maelezo yake ni baada ya UDSM kumtaka aambatanishe cheti cha kidato cha nne wakati akiomba nafasi ya kusoma Masters. Hili jambo lilimkera Shigongo hadi kutaka kuchomoa shilingi kwa hoja kwamba TZ inakiuka taratibu zinazotumika nchi nyingi za kutambua vipaji na mambo makubwa yaliyofanywa na baadhi yetu ila bahati mbaya huko nyuma hawakubahatika kupata kusoma sekondari.

Mh Waziri wa elimu kwenye majibu yake kwanza alisema UDSM haiingiliwi kwenye taratibu zake. Pia huo utaratibu uliomwezesha Shigongo kupata nafasi ya kusoma Chuo Kikuu ulisitishwa baada ya kutokea janja janja nyingi. Na pia kwa sababu wabunge wengi ambao hawajasoma wamekuwa wakidai vyeti vya elimu ni makaratasi tu kwanini walilie tena kwenda chuo? Si bora wabaki kwenye ujuaji wao kuliko kulilia kitu walichosema hakina maana?

Binafsi nampongeza Mama Ndalichako kwa kutoa majibu mafupi yaliyojaa points tupu. Huo utaratibu uliotumika kumpatia shahada Mr Shigongo ni mzuri lakini kutokana na janja janja ya sisi wenyewe basi ni utaratibu hatari usio salama. Nchi yetu haina rekodi nyingi zinazowahusu wananchi mmojammoja kiasi kwamba ni ngumu kupata uhalali wa mafanikio tunaowaona nayo wengi. Utakuta mtu anaonekana genius kwenye biashara kumbe nyuma ya pazia kuna haramu za kutosha. Ushauri wangu ni hawa watu waliopata mafanikio kama wanataka vyeti waende kwenye hizi centres za mitihani ya QT ili wapate vyeti kihalali na wajue kabisa elimu haina mbadala. Bila wasomi wa kutosha ni ngumu nchi kusonga mbele. Kama mtu hana elimu na hataki kukaa darasani basi abakie tu na hela zake hakuna haja ya kusumbuana. MWISHO kabisa kuna haja ya KATIBA kubadilishwa ili kutoingiza vilaza bungeni.
Hivi ni kweli, kwamba kuna kipindi serikali ilibadili vigezo vya kuingia na kusoma vyuo vikuu,na kuruhusu darasa la saba?? Kama ni hivyo sishangai ndo maana siku hizi tuna wasomi wengine hata wakijadili issues, wanakuwa hawana tofauti sana na wakati mwingine afadhali na darasa la 7.... kazi iendelee.
 
Musukuma, Shigongo, Lusinde na Kishimba hawana hata hadhi ya kuwa wafagiaji wa barabara za vumbi. Ujambazi Uzandiki na pengine kupora haki za wengine kuishi ndio zimewafikisha hapo wala sio akili. Ndakichako wambie hao wabakie na ujuaji wao
Kweli ndugu. Watu wengi wanaoonekana wako vizuri nyuma ya pazia kuna haramu nyingi wanafanya. Tajiri wa kitanzania ndo waliotajwa na Yesu kuwa ni ngumu kuingia peponi kwa sababu ya janjajanja.
 
Habari wakuu,

Natumaini kila mmoja anaendelea vyema. Leo nimeona nitumie haki yangu ya kikatiba ya uhuru wa kutoa maoni. Pia nina uhakika wa uhuru baada ya kutoa maoni kwa sababu huu uzi haugusi mamlaka za kidola bali viongozi wachache wanaopotosha umma.

Jana nilitazama video iliyokuwa ikimuonyesha Mh Eric Shigongo akitishia kuchomoa shilingi kwenye bajeti ya wizara ya elimu kwa hoja zilizokosa weledi. Kabla ya kuangalia hoja ya huyu mbunge tujikumbushe kwamba siku za karibuni huko bungeni kumezuka utata wa baadhi ya bunge kudai kwamba wasomi sio lolote bora walioishia darasa la saba. Hoja imetokana na wao kupata mafanikio makubwa kiuchumi na kisiasa bila kwenda shule. Ni mambo ya kushangaza sana.

Mh Shigongo ni mtu ambaye hakubahatika kupata elimu ya sekondari. Aliishia darasa la saba na kupata elimu kwenye mambo ya afya ambapo pia upataji wa hiyo nafasi ya chuo pia ilikuwa ni kama bahati. Mwenyewe mara zote amekuwa akisema umaskini ndo ulisababisha iwe hivyo kwa upande wake. Baada ya mapambano mengi sana maishani hatimaye Ndugu Shigongo akapata nafasi ya kusomea shahada ya kwanza Chuo Kikuu kupitia nafasi za watu walioshia darasa la saba ila hawakupata elimu ya sekondari. Kigezo kikuu cha nafasi hizi ni uwe umefanya vitu vikubwa vya kipekee kwenye jamii na una nia ya kuongeza elimu. Ni utaratibu uliokuwa na baraka za tume ya vyuo vikuu (TCU). Jamaa alisomea TUDARCO. Sio vyuo vyote vilifanya huu utaratibu. Kwa mujibu wa Waziri wa elimu ni kwamba seneti za vyuo haziingiliwi kwenye kuweka vigezo vya kujiunga vyuoni ili mradi hawavunji kanuni za TCU na wizara. Tatizo la Shigongo kwa mujibu wa maelezo yake ni baada ya UDSM kumtaka aambatanishe cheti cha kidato cha nne wakati akiomba nafasi ya kusoma Masters. Hili jambo lilimkera Shigongo hadi kutaka kuchomoa shilingi kwa hoja kwamba TZ inakiuka taratibu zinazotumika nchi nyingi za kutambua vipaji na mambo makubwa yaliyofanywa na baadhi yetu ila bahati mbaya huko nyuma hawakubahatika kupata kusoma sekondari.

Mh Waziri wa elimu kwenye majibu yake kwanza alisema UDSM haiingiliwi kwenye taratibu zake. Pia huo utaratibu uliomwezesha Shigongo kupata nafasi ya kusoma Chuo Kikuu ulisitishwa baada ya kutokea janja janja nyingi. Na pia kwa sababu wabunge wengi ambao hawajasoma wamekuwa wakidai vyeti vya elimu ni makaratasi tu kwanini walilie tena kwenda chuo? Si bora wabaki kwenye ujuaji wao kuliko kulilia kitu walichosema hakina maana?

Binafsi nampongeza Mama Ndalichako kwa kutoa majibu mafupi yaliyojaa points tupu. Huo utaratibu uliotumika kumpatia shahada Mr Shigongo ni mzuri lakini kutokana na janja janja ya sisi wenyewe basi ni utaratibu hatari usio salama. Nchi yetu haina rekodi nyingi zinazowahusu wananchi mmojammoja kiasi kwamba ni ngumu kupata uhalali wa mafanikio tunaowaona nayo wengi. Utakuta mtu anaonekana genius kwenye biashara kumbe nyuma ya pazia kuna haramu za kutosha. Ushauri wangu ni hawa watu waliopata mafanikio kama wanataka vyeti waende kwenye hizi centres za mitihani ya QT ili wapate vyeti kihalali na wajue kabisa elimu haina mbadala. Bila wasomi wa kutosha ni ngumu nchi kusonga mbele. Kama mtu hana elimu na hataki kukaa darasani basi abakie tu na hela zake hakuna haja ya kusumbuana. MWISHO kabisa kuna haja ya KATIBA kubadilishwa ili kutoingiza vilaza bungeni.
Hayo ni majibu ya profesa wa kweli.Unajua watu wanatutishianna vihela vyao halamu,vya kishrikina na utajiri uliojaa damu za watu.

Tutafika mahali tutathimini usafi na uhalali wa hizo biashara
 
Hao darasa LA Saba mna takiwa muwakatae kwa ninyi wenye digree na masters sijuh kutumia hizo nafasi za kugombea huo uwakilishi. Vinginevyo acheni chuki na wivu dhidi yao, ikiwa wao wameiona fulsa na kutumia that means Wana uelewa.
Jamii kama kwel hatuwataki hao watu kwenda kuchambua na kuchangia mijadara mikubwa yenye kuhitaji elimu kubwa basi tuwakatae kwenye chaguzi kwa kuonesha wanao faa kutumia fulsa hiyo kuchukua hatam.
 
Ifike wakati,elimu iheshimiwe.Hatuwezi kama taifa kuwapongeza watu kama akina Musukuma kwa kejeli zao juu ya elimu.Elimu haichezewi kokote duniani.Wana hela ndio,lakini isiwe sababu ya wao kukejeli elimu na kuuona uprofesa hauna maana.
 
Mbaya zaidi mtu kama Ndugai naye ameanza kuucheza mziki wa akina Musukuma,stupid.Kila mtu anakosolewa pindi atendapo makosa fulani.Makosa hayo yapo kwa wasomi tu hata wanangwe vile?Ndugai naye yupo yupo tu kama msukule akishadadia kauli za akina Musukuma.
 
Madhara ya qualification kuwa kujua kusoma na kuandika hayo. Mtu anaikandia elimu alafu analialia kuwa chuo kimembania admission, pumbavu kabisa.
 
Hahahahahahahahahahahahaha, anataka lifti ya hisani Tena. Jibu mujarabu Sana hii kabisa kiongozi wangu wa karne
Kumbe Shigongo alipata elimu ya chuo kwa bahati akapata tena na ubunge kwa bahati kwa kubebwa na jiwe, bado tena anataka apate masters kwa bahati aache ujinga.
 
Tanzania wenye elimu wamesoma ila hawajaelimika ndio issue kubwa inayosumbua Taifa so wote wanaonekana sawa... na waliosoma hawana la kusaidia Taifa zaidi ya blah blah tu na wizi na upendeleo na majivuno fake
 
Sasa huyu anaitaka hiyo elimu ? Hata iwavyo elimu ni kitu Cha msingi sana
Tanzania wenye elimu wamesoma ila hawajaelimika ndio issue kubwa inayosumbua Taifa so wote wanaonekana sawa... na waliosoma hawana la kusaidia Taifa zaidi ya blah blah tu na wizi na upendeleo na majivuno fake
 
Ni kweli utajiri wao misukule usotuyumbishe kama Taifa...waendelee kufuga misukule uao waache ekimu itamalaki wakomae wasomeshe watoto wao....period shame on them
Wote Wameoza Na Kupungukiwa Utukufu Wa Mungu
 
Back
Top Bottom