Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Kwani vitu vikubwa alivofanya Shigongo kwenye jamii ni vipi?...kuuza magazeti na kuandika vitabu ndo vitu vikubwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana lolote, wangekuwa na hela na wanakazi za kufanya wasingeangaika na viposho vya laki 2 kutwa,wako bungeni kwa lengo la kuendeleza haramu zao.Ifike wakati,elimu iheshimiwe.Hatuwezi kama taifa kuwapongeza watu kama akina Musukuma kwa kejeli zao juu ya elimu.Elimu haichezewi kokote duniani.Wana hela ndio,lakini isiwe sababu ya wao kukejeli elimu na kuuona uprofesa hauna maana.
Wavumbuzi wengi hawakuwahi kwenda shule za maana.Na huyo Kishimba na yeye baada kuwatetea Wananchi wake amekalia ku challenge wasomi. Kisa kapata pesa.
Watu wanapaswa watofautishe Utajiri na Elimu. Huwezi kutukana wasomi wakati hicho kipaza sauti unachotumia bungeni kimevumbuliwa na wasomi. Kazi ya msomi ni kutatua changamato za jamii. Utajiri ni matokeo tu.
Very trueTanzania wenye elimu wamesoma ila hawajaelimika ndio issue kubwa inayosumbua Taifa so wote wanaonekana sawa... na waliosoma hawana la kusaidia Taifa zaidi ya blah blah tu na wizi na upendeleo na majivuno fake
SafiTatizo ni kubwa zaidi hilo la darasa la 7 kusoma chuo! Mfumo wetu wa elimu, unazuia watu kuwa wabunifu! Hao wabunge ‘mkumbaro’ wanapoponda wasomi, kuna wakati wanakuwa sahihi! Kuna wasomi ambao wamepita madarasa, wamekariri tu, lakini hawajaelimika! Pia kuna ma-PHD na masters fake kibao!
Je hao wasomi Wana mchango gani WA maana bungeni , if that caseHatuwezi kuwakataa hivi hivi. Lazima kwanza yafanyike mabadiliko kuhusu sifa za kugombea Ubunge. Hilo la kujua kusoma na kuandika ama Kiwashili ama Kiingereza lisiwe kigezo muhimu katika kugombea Ubunge. Sifa nyingine ziongezwe ili kukidhi mahitaji ya dunia ya sasa na mazingira yaliyopo sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza chuo chenyewe anachokitaka kinachukua vipanga tupu. Enzi zetu hadi div III ya mwanzo walikuwa wanachukua COET... Ila kwa sasa watoto wanapelekeana moto kiasi kwamba div II ni mbinde kupata nafasi. Shigongo akajiunge hata na chuo cha nyuki tabora au chuo cha ufundi stadi VETA Oljoro campus.
Hayo matukio uliyo yaainisha yanahusiana vipi na shigongo kutaka kupewa Masters ya buree? Wee vipi khaaaahUdsm haiingiliwi kwenye taratibu zake? huyu mama vipi.. mwaka jana kuna viongozi wa Daruso walisimamishwa masomo kwa maelekezo ya Ndalichako. Mwaka 2016 kuna vijana wao wa DUCE walimpa kipigo cha mbwa koko bwana mdogo huko Mbeya wakafukuzwa kwa maelekezo ya serikali.
Hujasoma ukaelewa! wanasema UDSM Haiingiliwi kwenye taratibu zake, vp mbona kipindi cha jiwe imeyumbishwa mpaka ikawa utopolo.Hayo matukio uliyo yaainisha yanahusiana vipi na shigongo kutaka kupewa Masters ya buree? Wee vipi khaaaah
Kwani kila kitu sini pesa sikuhizi! Mtapiga sana porojo ila kati ya hard paper unayopewa baada ya kuspend million 7 kwa miaka mitatu na kumiliki billion 3 benki kipi ni bora?Ujinga wake aupeleke huko huko Open. Nawapongeza UDSM. Jitu halijui hata Quadratic Equation linataka kufanya Masters.
Litawezaje ku analyze Data kama sio kununua watu walifanyie. Hata hivyo ku defend lingeshindwa tu
Hivi tangu usome quadratic equation na log umesha apply kwenye kazi au maisha?Ujinga wake aupeleke huko huko Open. Nawapongeza UDSM. Jitu halijui hata Quadratic Equation linataka kufanya Masters.
Litawezaje ku analyze Data kama sio kununua watu walifanyie. Hata hivyo ku defend lingeshindwa tu
Matra-coinhii lugha Yao ntachomoa shilling ni upuuzi first class. Uchomoe shilling my A$$. Wakati tunaona bugdets zinapitishwa tu na shilling zenu mlizochomoa mkaweka matracoin mwenyu. Shen,¥ typ
Kuna mambo baadhi inaweza kuingiliwa, ila sio hili la shigongo khaaaahHujasoma ukaelewa! wanasema UDSM Haiingiliwi kwenye taratibu zake, vp mbona kipindi cha jiwe imeyumbishwa mpaka ikawa utopolo.
Maelezo mazuri halafu katikati umejaribu kwa kumshambulia mtu binafsi badala ya hojaSi bora wabaki kwenye ujuaji wao kuliko kulilia kitu walichosema hakina maana?
hii lugha Yao ntachomoa shilling ni upuuzi first class. Uchomoe shilling my A$$. Wakati tunaona bugdets zinapitishwa tu na shilling zenu mlizochomoa mkaweka matracoin mwenyu. Shen,¥ typ
Hoja hapa ni moja Mkuu yeye amechaguliwa na wananchi wa jimbo lake kwenda bungeni kuwasemea shida, kutetea masrahi ya wana Geita vijijini na kero mbalimbali za Geita vijijini ili zifike serikalini wala hakuchaguliwa kwa lengo la kuponda wasomi wa nchi hii. Ikiwa wasomi hasa maprofessor wa nchi hii ni moja ya kero jimboni kwake basi yuko sawa.Elimu bila pesa ni ujinga tu, kuelimika ni uwezo wa kugeuza Elimu kuwa pesa kama hilo haliwezekani basi hata ukiwa na elimu unaonekana Mburula tu!