dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... hilo eneo linaonekana lina ushirikina balaa! Watu kama hawa walipenyaje wakati wasomi wapo?Musukuma, Shigongo, Lusinde na Kishimba hawana hata hadhi ya kuwa wafagiaji wa barabara za vumbi. Ujambazi Uzandiki na pengine kupora haki za wengine kuishi ndio zimewafikisha hapo wala sio akili. Ndakichako wambie hao wabakie na ujuaji wao