Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 767
- 1,272
Hawa jamaa ni wajinga sana na tukiwachekea chekea wanaweza kweli kutumia ujinga wao kutunga sheria ambazo Nchi yetu itaonekana kituko huko duniani.
Mfano
1. Mbunge anataka kianzishwe chuo cha wizi ili iweje sasa. Hii si itasaidia kuharibu jamii? Maana ya Elimu ni Kuikomboa/ kuisaidia jamii na sio Kuiangamiza jamii
2. Mbunge anataka muda wa kusoma University uwe miezi 8. Hivi anaelewa kuwa mitaala ( Curriculum) ambayo ipo recognized all over the World. Watu wamefanya utafiti na kukubaliana mtu anatakiwa asome University ( minimum 3 yrs)
3. Anaponda Elimu ya Manunuzi ( Procurement) kuwa ni kuuza tu vitu madukani!!. Hivi anajua huyo mtu wa Procurement lazima ajue flow nzima ya Order requisition, Order processing, purchasing preparation (PO), Delivery Processing (mfano issuing Delivery note), inventory control, Tenders preparation, Evaluation, Local & International Vendors Contracts, Enterprise Resource Planning, Supply Chain
4. Waone tofauti ya Mo, Bakhresa, Mengi, Rostam na Wao. Hakuna siku akina Mo walishambulia watu waliosoma
5. Rekodi za TRA zinaonyesha Leading Tax Payers ni Bakhressa , IPP, MTEL. Naomba TRA ianze kuwafuatilia hao jamaa isije kuta hata kodi za serikali hawalipi vizuri
Mfano
1. Mbunge anataka kianzishwe chuo cha wizi ili iweje sasa. Hii si itasaidia kuharibu jamii? Maana ya Elimu ni Kuikomboa/ kuisaidia jamii na sio Kuiangamiza jamii
2. Mbunge anataka muda wa kusoma University uwe miezi 8. Hivi anaelewa kuwa mitaala ( Curriculum) ambayo ipo recognized all over the World. Watu wamefanya utafiti na kukubaliana mtu anatakiwa asome University ( minimum 3 yrs)
3. Anaponda Elimu ya Manunuzi ( Procurement) kuwa ni kuuza tu vitu madukani!!. Hivi anajua huyo mtu wa Procurement lazima ajue flow nzima ya Order requisition, Order processing, purchasing preparation (PO), Delivery Processing (mfano issuing Delivery note), inventory control, Tenders preparation, Evaluation, Local & International Vendors Contracts, Enterprise Resource Planning, Supply Chain
4. Waone tofauti ya Mo, Bakhresa, Mengi, Rostam na Wao. Hakuna siku akina Mo walishambulia watu waliosoma
5. Rekodi za TRA zinaonyesha Leading Tax Payers ni Bakhressa , IPP, MTEL. Naomba TRA ianze kuwafuatilia hao jamaa isije kuta hata kodi za serikali hawalipi vizuri