Asante Profesa Ndalichako kwa majibu yako kwa Erick Shigongo

Musukuma, Shigongo, Lusinde na Kishimba hawana hata hadhi ya kuwa wafagiaji wa barabara za vumbi. Ujambazi Uzandiki na pengine kupora haki za wengine kuishi ndio zimewafikisha hapo wala sio akili. Ndakichako wambie hao wabakie na ujuaji wao
... hilo eneo linaonekana lina ushirikina balaa! Watu kama hawa walipenyaje wakati wasomi wapo?
 
Tatizo ni kubwa zaidi hilo la darasa la 7 kusoma chuo! Mfumo wetu wa elimu, unazuia watu kuwa wabunifu! Hao wabunge ‘mkumbaro’ wanapoponda wasomi, kuna wakati wanakuwa sahihi! Kuna wasomi ambao wamepita madarasa, wamekariri tu, lakini hawajaelimika! Pia kuna ma-PHD na masters fake kibao!
 
Kwanini hao darasa la 7 wanawatukana na kuwadharirisha wasomi.
 
Ujinga wake aupeleke huko huko Open. Nawapongeza UDSM. Jitu halijui hata Quadratic Equation linataka kufanya Masters.
Litawezaje ku analyze Data kama sio kununua watu walifanyie. Hata hivyo ku defend lingeshindwa tu
 
Na huyo Kishimba na yeye baada kuwatetea Wananchi wake amekalia ku challenge wasomi. Kisa kapata pesa.
Watu wanapaswa watofautishe Utajiri na Elimu. Huwezi kutukana wasomi wakati hicho kipaza sauti unachotumia bungeni kimevumbuliwa na wasomi. Kazi ya msomi ni kutatua changamato za jamii. Utajiri ni matokeo tu.
 
Musukuma, Shigongo, Lusinde na Kishimba hawana hata hadhi ya kuwa wafagiaji wa barabara za vumbi. Ujambazi Uzandiki na pengine kupora haki za wengine kuishi ndio zimewafikisha hapo wala sio akili. Ndakichako wambie hao wabakie na ujuaji wao
Mkuu, kufanya ujambazi ukatajirika na uko huru hujafungwa gerezani hiyo sio akili?!
 
Ujinga wake aupeleke huko huko Open. Nawapongeza UDSM. Jitu halijui hata Quadratic Equation linataka kufanya Masters.
Litawezaje ku analyze Data kama sio kununua watu walifanyie. Hata hivyo ku defend lingeshindwa tu
Kwanza chuo chenyewe anachokitaka kinachukua vipanga tupu. Enzi zetu hadi div III ya mwanzo walikuwa wanachukua COET... Ila kwa sasa watoto wanapelekeana moto kiasi kwamba div II ni mbinde kupata nafasi. Shigongo akajiunge hata na chuo cha nyuki tabora au chuo cha ufundi stadi VETA Oljoro campus.
 
Kwaiyo watafutilia mbali hicho certificate ya Shigongo?
 
Akiumwa anapelekwa hospitali...anatibiwa na msomi....


Anasahau pia msomi huyo Ni tunda la mwalimu wake profesa.....
 
Hatuwezi kuwakataa hivi hivi. Lazima kwanza yafanyike mabadiliko kuhusu sifa za kugombea Ubunge. Hilo la kujua kusoma na kuandika ama Kiwashili ama Kiingereza lisiwe kigezo muhimu katika kugombea Ubunge. Sifa nyingine ziongezwe ili kukidhi mahitaji ya dunia ya sasa na mazingira yaliyopo sasa.
 
Musukuma, Shigongo, Lusinde na Kishimba hawana hata hadhi ya kuwa wafagiaji wa barabara za vumbi. Ujambazi Uzandiki na pengine kupora haki za wengine kuishi ndio zimewafikisha hapo wala sio akili. Ndakichako wambie hao wabakie na ujuaji wao
Hizo ni chuki binafsi.Na kama hutaziacha basi tegemea kuwa masikini kabisa na usiyena maana katika jamii
 
Yaan ww ni mpuuzi ambao wapuuzi wanakukanyaga juu,wanaenda kwa wapuuzi wengine.Yaan umejaza page na page kumbe unashabikia majibu ya kijinga kabisa.Yaan ww unatabia za kike.Unapenda ushindani na kushabikia utopolo tu.
 
Yaan ww ni mpuuzi ambao wapuuzi wanakukanyaga juu,wanaenda kwa wapuuzi wengine.Yaan umejaza page na page kumbe unashabikia majibu ya kijinga kabisa.Yaan ww unatabia za kike.Unapenda ushindani na kushabikia utopolo tu.
Kwanini umekosa ubunifu kwenye matusi yako? Una cheti cha kidato cha nne?
 
Musukuma, Shigongo, Lusinde na Kishimba hawana hata hadhi ya kuwa wafagiaji wa barabara za vumbi. Ujambazi Uzandiki na pengine kupora haki za wengine kuishi ndio zimewafikisha hapo wala sio akili. Ndakichako wambie hao wabakie na ujuaji wao
Utakufa kwa wivu bwege wewe, tuonyeshe mali zako zilizo halali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…