Asante Rais Samia kufufua utalii mahoteli, Sasa hivi yanaogelea faida. Kipindi cha Magufuli utalii ulikuwa umekufa

Asante Rais Samia kufufua utalii mahoteli, Sasa hivi yanaogelea faida. Kipindi cha Magufuli utalii ulikuwa umekufa

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Asante mama kila unachoshika kinazaa matunda bila ubabe Wala mbwembwe za eti kishindo Cha jpm tofauti mtangulizi wako ambaye kitu kidogo tu kelele nyingi.

Tumeona watalii wanavyomwagika nchini na bila shaka watanzania vinana maskini wameanza kuona umuhimu wako baada ya kilazimishwa kuwa machinga kana kwamba ulisoma kwa kujiandaa kuja kuwamachinga.

Pili uwekezaji umeongeza Sana kiasi ambacho mabank Sasa yanaajiri vijana na ajira zimeanza kumwagika Sana Tena kwa kasi.

Bado kitu kimoja tu, ajiri walimu na madactari ambao wametelekezwa miaka mitano na kuambiwa wakiajiri wakileta za kuletwa wanapotezwa na kutekwa na watu wasiojulikana.

Thank you mama.
 
Asante mama kila unachoshika kinazaa matunda bila ubabe Wala mbwembwe za eti kishindo Cha jpm tofauti mtangulizi wako ambaye kitu kidogo tu kelele nyingi.

Tumeona watalii wanavyomwagika nchini na bila shaka watanzania vinana maskini wameanza kuona umuhimu wako baada ya kilazimishwa kuwa machinga kana kwamba ulisoma kwa kujiandaa kuja kuwamachinga.

Pili uwekezaji umeongeza Sana kiasi ambacho mabank Sasa yanaajiri vijana na ajira zimeanza kumwagika Sana Tena kwa kasi.

Bado kitu kimoja tu, ajiri walimu na madactari ambao wametelekezwa miaka mitano na kuambiwa wakiajiri wakileta za kuletwa wanapotezwa na kutekwa na watu wasiojulikana.

Thank you mama.
Mbona wakati hukusema?
 
Asante mama kila unachoshika kinazaa matunda bila ubabe Wala mbwembwe za eti kishindo Cha jpm tofauti mtangulizi wako ambaye kitu kidogo tu kelele nyingi.

Tumeona watalii wanavyomwagika nchini na bila shaka watanzania vinana maskini wameanza kuona umuhimu wako baada ya kilazimishwa kuwa machinga kana kwamba ulisoma kwa kujiandaa kuja kuwamachinga.

Pili uwekezaji umeongeza Sana kiasi ambacho mabank Sasa yanaajiri vijana na ajira zimeanza kumwagika Sana Tena kwa kasi.

Bado kitu kimoja tu, ajiri walimu na madactari ambao wametelekezwa miaka mitano na kuambiwa wakiajiri wakileta za kuletwa wanapotezwa na kutekwa na watu wasiojulikana.

Thank you mama.

Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja waje watu wa utalii..hao watalii wengi wanatoka wapi hahahah
 
Asante mama kila unachoshika kinazaa matunda bila ubabe Wala mbwembwe za eti kishindo Cha jpm tofauti mtangulizi wako ambaye kitu kidogo tu kelele nyingi.

Tumeona watalii wanavyomwagika nchini na bila shaka watanzania vinana maskini wameanza kuona umuhimu wako baada ya kilazimishwa kuwa machinga kana kwamba ulisoma kwa kujiandaa kuja kuwamachinga.

Pili uwekezaji umeongeza Sana kiasi ambacho mabank Sasa yanaajiri vijana na ajira zimeanza kumwagika Sana Tena kwa kasi.

Bado kitu kimoja tu, ajiri walimu na madactari ambao wametelekezwa miaka mitano na kuambiwa wakiajiri wakileta za kuletwa wanapotezwa na kutekwa na watu wasiojulikana.

Thank you mama.
Wewe taahira kipindi cha Magufuli tumeshuhudi ndege kibao zinaleta watalii! Punguza uchawa! Utalii umeharibiwa na ugonjwa wa corona!
 
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja waje watu wa utalii..hao watalii wengi wanatoka wapi hahahah
Hana hata takwimu anapwatuka tu! Athletes hapa takwimu za utalii tokea Kikwete ,Magufuli na Samia!
 
Wewe taahira kipindi cha Magufuli tumeshuhudi ndege kibao zinaleta watalii! Punguza uchawa! Utalii umeharibiwa na ugonjwa wa corona!
Ndege siyo utalii mdogo wangu. Unaweza leta ndege just for personal glory tu. Utalii ni hospitality kipindi Cha jpm kulikuwa na kupotezwa na kutekana Sasa mtalii aje kurisk maisha yake.
 
Kipindi cha mwendakuzimu watalii walikuwa wanaogopa kuja TZ maana jamaa angeweza kuwateka halafu akataka serikali zao zitoe ransom ili awaachie kama alivyofanya kwa wafanyabiashara wakubwa akiwemo Mo.
 
Asante mama kila unachoshika kinazaa matunda bila ubabe Wala mbwembwe za eti kishindo Cha jpm tofauti mtangulizi wako ambaye kitu kidogo tu kelele nyingi.

Tumeona watalii wanavyomwagika nchini na bila shaka watanzania vinana maskini wameanza kuona umuhimu wako baada ya kilazimishwa kuwa machinga kana kwamba ulisoma kwa kujiandaa kuja kuwamachinga.

Pili uwekezaji umeongeza Sana kiasi ambacho mabank Sasa yanaajiri vijana na ajira zimeanza kumwagika Sana Tena kwa kasi.

Bado kitu kimoja tu, ajiri walimu na madactari ambao wametelekezwa miaka mitano na kuambiwa wakiajiri wakileta za kuletwa wanapotezwa na kutekwa na watu wasiojulikana.

Thank you mama.
Ebu acha ujinga Ikitotanzila.

Umeandika ki chawa kuliko maelezo.

Ebu tupe takwimu za kuthibitisha kupanda au kufurika kwa idadi ya watalii nchini.
Kama unavyodai wewe kwenye pambio lako.

Kampuni ngapi za ndege zimeanza kuleta wageni mfululizo nchini.

Taja kama ni Emirates,KLM,Air France [emoji632], Lufthansa,Ethiopian Airlines,Kenya Airways [emoji1139] au ATCL?

Unapoandika haya mapambio yako.

Je unajua kwamba kuna maudhi unawafanyia watumishi wa sekta hiyo ambao wako majumbani kwao,wakigugumia ugumu wa maisha.
kwa kupunguzwa au kusimamishwa kazi kutokana na kuyumba kwa sekta ya utalii kutokana na janga la Covid19.

Ebu tutajie hata hotel moja ya kitalii huko mbugani unayoijua wewe.
Ambayo imetangaza kuwa overbooked kwa season hii ya 2022.

Kwa nchi yenye vivutio vya utalii kama Tanzania.
Huwezi kujivunia kupata watalii wasiozidi 700,000 kwa mwaka? (kwa takwimu rasmi za wizara).

Pia kwenye utalii sioni mchango wa Samia au CCM.
sababu wao sio walioleta au kuondoa janga la Covid19 Duniani.

Na pia uelewe kwamba hata hao kiduchu wanaoingia nchini, ni kutokana na jitihada binafsi za makampuni mbalimbali ya uwakala wa utalii nchini kwa ushirikiano na mawakala wao huko ughaibuni.

Mchango wa serikali ni mdogo na kama ungekuwepo kwa kiwango stahiki,basi tusinheshindwa na majirani zetu kama Kenya[emoji1139] na Rwanda [emoji1206].

Wanachofanya serikali zaidi huwa ni kuongeza Tozo za viingilio kwenye hifadhi zetu(Park fees naconcessions fees).

Pia nikukumbushe kuwa ile Documentary ya Bi SSH, maarufu kama THE ROYAL TOUR bado haijatoka,hivyo Samia kama yeye bado hajafanya chochote kuupaisha utalii nchini.

Muwe mnaandika huku mkikumbuka kwamba hamko wenyewe mnaoona kinachoendelea nchini.

Na wengine pia wanaona ingawa sio kwa jicho la kichawa kama wewe Ikitotanzila
 
Hizi stori za kufurika watalii kila awamu tumeshazizoea.

Hii ilikua 2020 KIA. Awamu ya 5.

 
Kwenye last paragraph ya ujumbe wako ndio nia yako ilipo.

Wewe ni mwalimu ama daktari, umeanza kusifia lakini hoja yako ni kwamba mama awakumbuke.

Nakushauri tafta kazi nyingine ya kufanya, hizi kelele hazitakusaidia kitu.
 
Kipindi cha mwendakuzimu watalii walikuwa wanaogopa kuja TZ maana jamaa angeweza kuwateka halafu akataka serikali zao zitoe ransom ili awaachie kama alivyofanya kwa wafanyabiashara wakubwa akiwemo Mo.
Umeandika kwa kuwaza kupitia makalio,huku Bhange ikiwa mdomoni
20220113_114031.jpg
 
Wewe taahira kipindi cha Magufuli tumeshuhudi ndege kibao zinaleta watalii! Punguza uchawa! Utalii umeharibiwa na ugonjwa wa corona!
Ndege gani ,,utalii ulikufa ikabaki propaganda za uzalendo 😁😁.

Samia ni Rais wa vitendo na sio blaaa blaaa za kujisifia na kusifiwa ujinga👇

Screenshot_20220107-064427.png
 
Sikui akitoka madarakani utamponda tu sababu unaishi kinafiki
 
Nami nasema mama apewe mitano tena.... atake asitake.

Mama anaupiga mwingi
Wapiga zumari wa Mandarin

Mtatumika sana kwenye kuwapaisha wenzenu maana nyota zenu ni PUNDA.
 
Hizi stori za kufurika watalii kila awamu tumeshazizoea.

Hii ilikua 2020 KIA. Awamu ya 5.


Awamu ya 5 hakuna anayeweza kuwaamini maana progaganda za kujisifia zilizidi,wanasema ndege zimefurika huku wenye mahoteli wakiyageuza Hostel.

Lakini awamu ya Samia ni maneno yanayoonekana👇

Screenshot_20220121-193121.png
 
Asante mama kila unachoshika kinazaa matunda bila ubabe Wala mbwembwe za eti kishindo Cha jpm tofauti mtangulizi wako ambaye kitu kidogo tu kelele nyingi.

Tumeona watalii wanavyomwagika nchini na bila shaka watanzania vinana maskini wameanza kuona umuhimu wako baada ya kilazimishwa kuwa machinga kana kwamba ulisoma kwa kujiandaa kuja kuwamachinga.

Pili uwekezaji umeongeza Sana kiasi ambacho mabank Sasa yanaajiri vijana na ajira zimeanza kumwagika Sana Tena kwa kasi.

Bado kitu kimoja tu, ajiri walimu na madactari ambao wametelekezwa miaka mitano na kuambiwa wakiajiri wakileta za kuletwa wanapotezwa na kutekwa na watu wasiojulikana.

Thank you mama.
Mengine yote ilikua ni mbwembwe tu..mwenye akili anajua wewe ni graduate mwalimu..point yako kuu ni ile paragraph ya mwisho ya kuomba ajira..anyway Mungu akupe hitaji lako..ila tafuta pesa usitafute ajira.

#MaendeleoHayanaChama
 
Awamu ya 5 hakuna anayeweza kuwaamini maana progaganda za kujisifia zilizidi,wanasema ndege zimefurika huku wenye mahoteli wakiyageuza Hostel.

Lakini awamu ya Samia ni maneno yanayoonekana
Sijui una maana gani kwa kauli yako maana more than 85% ya viongozi wa sasa walikua awamu iliyopita.

Rais alikua VP , VP alikua Finance Minister, PM yule yule. Mawaziri walikuwepo pia.

Unaposema awamu ya 5 haiaminiki unamaanisha kwamba tusiwaamini hawa wa sasa pia maana ni wale wale tu.
 
Back
Top Bottom