Asante Rais Samia Kutuletea Prof. Kabudi Pale Sheria, Ni Best Brain, High IQ. na Bingwa wa Katiba. Je, Atakuwa Mkweli Ubatili wa Katiba na Sheria au?

Aksante Raisi Samia kumuleta kabudi,Sina maslahi yoyote na kabudi lakini niliumizwa mnooooooo,ulipomtimua Kisha ukaleta akina nape na makamba,niliuchukia mnooooooo utawala wa awanu ya sita,Ila Sasa kwa kumrejesha kabudi,umecheza Kama Pele,bado kalemani,ukimrejesha na huyo hakika utakuwa maradona wa siasa za Africa,pia angalia na nje ya ccm Kuna watu wazuri Sana kwenye maeneo korofi ya kiutawala, fanya maamuzi magumu kabisa,Kama alivyofanya mtangulizi wako alipomuibua kafulila na kabudi,mkapa Naye alimwibua SheIn,please angalia na nje ya ccm,pia wapi watu hujawatumia,pole pole na bashiru ally ,usiwaogope hizo ni hazina za nchi
 
Kaka ninachojua ukishateuliwa na ccm wanakung'oa ubongo unabaki na kichwa empty, hapo ni mapimbio
 
Kunywa juice baridi nitalipa
 
Pamoja na sifa nyiiiingi ulizomuwekea kwenye title ya uzi wako, ni ndoto tu za kawaida za kibongo kuamini eti zamu hii atafanya hayo uliyosema. Hajawahi kuwa na impact huko nyuma leo ndo kawa mpya? Kwani anashika hizi nafasi mara ya kwanza? Why wakili msomi unaamini leo kawa na hizo sifa? Anyway maisha ni hayahaya ya kibongo kila mtu anatafuta mshahara tu, kwetu sisi uteuzi maana yake ni promotion na impact yake ni more personal income na access to rushwa kubwa zaidi!
 
Kabudi aanze kushughulikia mkataba wa kihuni wa dp world na kukomboa makinikia yetu ambayo Kwa Sasa wazungu wanajichotea tu watakavyo kupeleka kwao na kujipatia faida nyingi zaidi
 
Huyo karudishwa hapo apambane na madudu yake aliyoyafanya kwa kuvunja mikataba na kuleta sheria za kijinga yeye na mwendazake. Maana kila alipoulizwa alisingizia wanaoshughulikia hizi kesi hawana uwezo.

Mama Samia akaona isiwe tabu, wewe si ndiye mwenye uwezo nazo na ni madudu yako. Njoo upambane nayo.

Tumuombee mema tu, lakini ana zigo kubwa alilojiundia mwenyewe kwa ujinga wake wa kujipendekeza tu.

Adui wa Tanzania ni ujinga.
 
Kaka ninachojua ukishateuliwa na ccm wanakung'oa ubongo unabaki na kichwa empty, hapo ni mapimbio
Hapana aise at least ukiwa na smart brain kwenye cabinet,itakuongoza kuona kwa jicho la tatu,kuliko hao akina Nape na makamba,hii panga pangua Haina afya,aangalie na nje y CCM,pia na Kuna wanataaluma Bora Sana,angazia jicho huko mheshimiwa Raisi ,ebu ona wafuatao waliibuliwaje na MAGUFULI:- ashatu kijaji,abdallah posi,bashiru,ukiondoa pole pole yeye Alikuwa mwanasiasa,wakina sagini nk,Kuna watu wako fresh Sana,Ila hawajajipambanua tu kutokana na kukwepa matope ya kuchafuana kisiasa
 
Huyo Chawa Mzee jamii ilishampuuza, uchawa unafaa watu wa kariba ya Baba Revo na Stive Nyerere siyo Profesa mzima unazidisha uchawa hadi binadamu unamuita Mungu.

Zee la hovyo kabisa huyu Kabudi, watu wa Kilosa wa ccm na vyama vingine wajipange kumpumzisha ubunge huyu chawa.
 
Hapa nakubaliana na wewe, hili zaa lilivyo jinga eti linatupiga kamba alivyokwenda UN New York katibu mkuu wa UN alikuwa anaangaika kumtafuta yeye ili waonane.

Yani Magufuli aliharibu akili za wasomi wengi wakageuka vituko, mara dawa hii kule Madagascar anaigawa Rais mwenyewe uku mijicho kama gong'ole imemtoka.
 
Katika machawa wa hovyo miongoni mwa wale tunaoamini ni wasomi nguli ni huyu Profesa Kabudi!

Hafai kwa uchawa wake,!
Watanzania tuna vichwa vya mende
Kesi zote za kimataifa tulizo funguliwa mhusika mkuu ni huyu Kabudi, pro. Alie diriki kusema kaokotaa jalalani1. Prof alie thubutu kumuita mtu Mungu. Usitegemee jipya kwa huyu mzee wa kusifu na kuabudu wanadamu
 
umesoma mpaka mwisho masta chief?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…