Asante Rwanda kwa kusaidia Msumbiji. Wachana na Waoga wengine waliokataa kutuma jeshi huko

Asante Rwanda kwa kusaidia Msumbiji. Wachana na Waoga wengine waliokataa kutuma jeshi huko

Asked about updates as regards the expected SADC forces deployment, Chume noted that only Rwanda and Mozambique were currently fighting the terrorists.

"SADC is not here (yet) in the area of operations. When they get here, we will operate with them. There is a place for everyone because we want to liberate Cabo Delgado."

Hio ni leo,huyo aliyesema hayo Ni Maj Gen Christorão Artur Chume, a commander of the Mozambique Armed Defence Forces (FADM).

Naona Sadc inataka Ije iibuke mwishoni ichukue credits za ushindi yaani Kama vile steringi wa kwny movie za kihindi.,[emoji1][emoji1][emoji1]
Kaka Kayla Mission yeyotee huwa huwezi kukurupuka na kupeleka Jeshi tuu.

Lazima hatua zifwatwee ikiwemo na uchunguzi nguvu ya adui pamoja na vifaa.

So mambo haya ni nyeti ndani ya serikali yeyotee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Sisi jeshi letu ni kwajili ya kumkamaat Freeman Mbowe.....ndio mwisho wwa akili zao na uwezo. Congrats kwa Ndugu zetu Rwanda
Acha Bahima wafanye kazi kule. Maana wengine wangeenda, ungeshangaa pengine viongozi wa Renamo ndio wangekamatwa kwa ugaidi, na kuyaacha Alsababu yakijitanua vizuri. Who knows?
 
Kaka Kayla Mission yeyotee huwa huwezi kukurupuka na kupeleka Jeshi tuu.

Lazima hatua zifwatwee ikiwemo na uchunguzi nguvu ya adui pamoja na vifaa.

So mambo haya ni nyeti ndani ya serikali yeyotee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sasa hapo Sadc inapeleka jeshi kufanya Nini mkuu?Bado wanachunguza tu miaka 4 sasa tangu magaidi waanze kufanya yao mpk leo.
 
Ukute Tz ndio tumefanikisha kila jambo, ni vile tu jeshi letu haliweki matangazo. Na niijuavyo Tanzania hizo kwere za Msumbiji itakuwa imezivalia njuga kiasawasawa.
Wanyarwanda wanafanya jambo ili watengenezw fursa. Tz tunarudisha amani iliyopotea.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ukute Tz ndio tumefanikisha kila jambo, ni vile tu jeshi letu haliweki matangazo. Na niijuavyo Tanzania hizo kwere za Msumbiji itakuwa imezivalia njuga kiasawasawa.
Wanyarwanda wanafanya jambo ili watengenezw fursa. Tz tunarudisha amani iliyopotea.
Yaweza kuwa kweli maana nchi huwa zina share baadhi ya mambo ya kiusalama hata hivyo sidhani kuwaTanzania inasita au kuogopa kupeleka jeshi huko maana ingekuwa hivyo basi eneo la Mtwara hadi Kibiti lingekuwa linakaliwa na hao magaidi mpaka muda huu maana target kubwa ya kwanza ya magaidi hao haikuwa msumbiji bali ni Tanzania na pia siasa za mambo haya zina mengi nyuma yake
Tanzania - United States Department of State
 
Yaweza kuwa kweli maana nchi huwa zina share baadhi ya mambo ya kiusalama hata hivyo sidhani kuwaTanzania inasita au kuogopa kupeleka jeshi huko maana ingekuwa hivyo basi eneo la Mtwara hadi Kibiti lingekuwa linakaliwa na hao magaidi mpaka muda huu maana target kubwa ya kwanza ya magaidi hao haikuwa msumbiji bali ni Tanzania na pia siasa za mambo haya zina mengi nyuma yake
Tanzania - United States Department of State
Report zinaonyesha hao magaidi walikua wanakimbilia Tz na huko boarder wanakutana na Moto wa Jw wanawamaliza chap chap.

Sa hivi magaidi wamekimbilia eneo linaloitwa Mbao huko Msumbiji,so Phase 2 ya OP Ni kuanza kusakwa hukohuko porini,SADC majeshi yanakuja kufanya peace keeping kwny maeneo yaliyotekwa na majeshi ya Rw na Msumbiji,then majeshi ya hizo nchi 2 yanaenda kukamilisha Phase 2 ya hio OP.
 
Anaesema au kuamini ni RWANDA pekee ndio imepeleka jeshi huko msumbiji ajichome kidole katikati ya matyako yake. TPDF ndio warlord and intelligence giant EAST and CENTRAL AFRICA. Anaupiga mwingi kimya kimya matangazo tumewaachia wakenya na banyarwanda.
 
Licha ya nchi fulani kujificha chini ya kitanda na kukataa kutuma jeshi msumbiji, jeshi la Rwanda jana lilitangaza kwamba limeikomboa port ya Mocimboa da Praia kutoka kwa magaidi. Pia wamekomboa airport na hospitali katika eneo hilo. Bila shaka Jeshi la Rwanda linawapa viboko hawa watoto wadogo watundu. Rwanda endelea kukomboa maeneo zaidi ya Msumbuji. Waoga mnona jinsi Rwanda wanavyofanya kazi? Mjifunze kutoka kwao


KWA TAARIFA TU ILE JESHI LA RWANDA UNALOLISIFIA HAPA TULIWAPA KIPIGO CHA MBWA KOKO KULE DR CONGO WAKIPIGANA KWA MWAVULI WA M-23
 
Anaesema au kuamini ni RWANDA pekee ndio imepeleka jeshi huko msumbiji ajichome kidole katikati ya matyako yake. TPDF ndio warlord and intelligence giant EAST and CENTRAL AFRICA. Anaupiga mwingi kimya kimya matangazo tumewaachia wakenya na banyarwanda.
HAWAJIELEWI, UKIMWAMSHA ALIYELALA UTALALA WEWE MKUU.
 
Msumbiji sio jirani yetu. Nyinyi Msumbiji ni jirani yenu ila kwa uwoga wenu mnajificha chini ya kitanda. Wacha jeshi la Rwanda lisafishe eneo hilo na kung'oa kwekwe zote.
Nyinyi ni vijana wetu saidieni na ninyi sisi ndo roho ya Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara tumeyatumia majeshi yetu muda mrefu sasa nanyi wadogo zetu sasa Fanyeni Kazi nasi tupumzike bhana mazoezi
 
Licha ya nchi fulani kujificha chini ya kitanda na kukataa kutuma jeshi msumbiji, jeshi la Rwanda jana lilitangaza kwamba limeikomboa port ya Mocimboa da Praia kutoka kwa magaidi. Pia wamekomboa airport na hospitali katika eneo hilo. Bila shaka Jeshi la Rwanda linawapa viboko hawa watoto wadogo watundu. Rwanda endelea kukomboa maeneo zaidi ya Msumbuji. Waoga mnona jinsi Rwanda wanavyofanya kazi? Mjifunze kutoka kwao


Punguza shobo na tz ww........
 
Back
Top Bottom