Asante Rwanda kwa kusaidia Msumbiji. Wachana na Waoga wengine waliokataa kutuma jeshi huko

Asante Rwanda kwa kusaidia Msumbiji. Wachana na Waoga wengine waliokataa kutuma jeshi huko

Asked about updates as regards the expected SADC forces deployment, Chume noted that only Rwanda and Mozambique were currently fighting the terrorists.

"SADC is not here (yet) in the area of operations. When they get here, we will operate with them. There is a place for everyone because we want to liberate Cabo Delgado."

Hio ni leo,huyo aliyesema hayo Ni Maj Gen Christorão Artur Chume, a commander of the Mozambique Armed Defence Forces (FADM).

Naona Sadc inataka Ije iibuke mwishoni ichukue credits za ushindi yaani Kama vile steringi wa kwny movie za kihindi.,😄😄😄
Yaani special forces ya SA iliyowasili wiki mbili iliopita bado wapo hotelini wanakunywa chai? Ilhali Rwanda walifika leo na kesho wameanza kazi? Aisee nchi za SADC ni waoga sana.
 
Jeshi la msumbiji limeliwa na rushes,haiwezekani vitoto vya kibiti viteke maeneo muhimu wao wakiwa wanawatazama tu
 
Kaka Kayla Mission yeyotee huwa huwezi kukurupuka na kupeleka Jeshi tuu.

Lazima hatua zifwatwee ikiwemo na uchunguzi nguvu ya adui pamoja na vifaa.

So mambo haya ni nyeti ndani ya serikali yeyotee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mbona Rwanda hawakuchunguza nguvu za adui walizama mara moja na kuanza kazi? Usijifanye mtalaam wa mambo za kijeshi kama huyaelewi. Nyie ni waoga kubali yaishe.
 
Msumbiji sio jirani yetu. Nyinyi Msumbiji ni jirani yenu ila kwa uwoga wenu mnajificha chini ya kitanda. Wacha jeshi la Rwanda lisafishe eneo hilo na kung'oa kwekwe zote.
Kwani Rwanda wamepeleka jeshi wao majirani??
 
Report zinaonyesha hao magaidi walikua wanakimbilia Tz na huko boarder wanakutana na Moto wa Jw wanawamaliza chap chap.

Sa hivi magaidi wamekimbilia eneo linaloitwa Mbao huko Msumbiji,so Phase 2 ya OP Ni kuanza kusakwa hukohuko porini,SADC majeshi yanakuja kufanya peace keeping kwny maeneo yaliyotekwa na majeshi ya Rw na Msumbiji,then majeshi ya hizo nchi 2 yanaenda kukamilisha Phase 2 ya hio OP.
Unaona jinsi SADC ni maembe? Wanapewa kazi ya kuchunga maeneo ambayo yamekombolewa kumaanisha hayana magaidi ila Rwanda ndio wanapewa jukumu la kuwasaka na kuwaangamiza magaidi?
 
Anaesema au kuamini ni RWANDA pekee ndio imepeleka jeshi huko msumbiji ajichome kidole katikati ya matyako yake. TPDF ndio warlord and intelligence giant EAST and CENTRAL AFRICA. Anaupiga mwingi kimya kimya matangazo tumewaachia wakenya na banyarwanda.
Nyinyi hamjakomboa hata choo tu kutoka kwa mikono ya magaidi huko Msumbiji.
 
Unaona jinsi SADC ni maembe? Wanapewa kazi ya kuchunga maeneo ambayo yamekombolewa kumaanisha hayana magaidi ila Rwanda ndio wanapewa jukumu la kuwasaka na kuwaangamiza magaidi?
Wanasaka magaidi wenzao 😀😀😀mpe mwizi akulindie mzigo utafika salama
 
Usiniangushe Mkuu wewe ndiye Mkenya unayejua Kiswahili kuliko Mkenya mwingine yeyote yule duniani. Neno sahihi ni kaidhalilisha. 😂😂

Hehehe!! Wapo Wakenya wanaojua Kiswahili zaidi yangu tena sana, na ndio maana wanaajiriwa kote kwenye vyuo vya Uchina, Urusi n.k. kwenda kufundisha Kiswahili.
Shukrani kwa kunirekebisha, tatizo langu lafudhi, huwa natumia sana lugha yangu ya asili.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Hao washenzi kabla ya kwenda Msumbiji walikuwa Tz, Kibiti huko ( MKIRU) , jeshi la Tz lilifanya kazi yake na kuwasambaratisha wote na wachache kukimbilia Mozambique. Tz tumechoka kufanya kazi za kanisa, kila mtu abebe jukumu la usalama ndani ya nchi yake, kazi tuliyoifanya 1960s - 80s inatosha.
Well said
 
Vita mnavyoviweza ni kusambaratisha wahuni na wapinzani tu[emoji1787][emoji1787]
Viva rwandan army
Jamaa tulisifiwa hapa kumbe jamaa bado walikua wanadunda tu
Hao magaidi wamewapisha tu hao rwanda kisha wanaanza kutoa ambush za kushitukiza
 
Ndio hawa hapa wazee wa kazi kutoka Rwanda
 
Licha ya nchi fulani kujificha chini ya kitanda na kukataa kutuma jeshi msumbiji, jeshi la Rwanda jana lilitangaza kwamba limeikomboa port ya Mocimboa da Praia kutoka kwa magaidi. Pia wamekomboa airport na hospitali katika eneo hilo. Bila shaka Jeshi la Rwanda linawapa viboko hawa watoto wadogo watundu. Rwanda endelea kukomboa maeneo zaidi ya Msumbuji. Waoga mnona jinsi Rwanda wanavyofanya kazi? Mjifunze kutoka kwao


Usilolijua litakusumbua!!mambo mengine sio lazima kila mtu ayajue
 
Usiniangushe Mkuu wewe ndiye Mkenya unayejua Kiswahili kuliko Mkenya mwingine yeyote yule duniani. Neno sahihi ni kaidhalilisha. [emoji23][emoji23]
Jamaa kachanganya na lafudhi hyo bila shaka
 
Mbona Rwanda hawakuchunguza nguvu za adui walizama mara moja na kuanza kazi? Usijifanye mtalaam wa mambo za kijeshi kama huyaelewi. Nyie ni waoga kubali yaishe.
HAHAHAHA, YAONEKANA HUFAHAMU KINACHOENDELEA, KAWAULIZE POLISI WENU WALIOINGIA TANZANIA KUTAFUTA MAJAMBAZI MWISHO WAKE WAO NDIYO WAKAWA MAJAMBAZI, POOR KENYANS
 
Yaani special forces ya SA iliyowasili wiki mbili iliopita bado wapo hotelini wanakunywa chai? Ilhali Rwanda walifika leo na kesho wameanza kazi? Aisee nchi za SADC ni waoga sana.
Ficha upumbavu wako, usilolijua ni kama usiku wa giza, vikosi vya Tanzania vipo Msumbiji miaka mingi, HAO MAGAIDI WANAOISUMBUA MSUMBIJI WALIANZIA TANZANIA, TUKAWAFYEKELEA MBALI
 
Licha ya nchi fulani kujificha chini ya kitanda na kukataa kutuma jeshi msumbiji, jeshi la Rwanda jana lilitangaza kwamba limeikomboa port ya Mocimboa da Praia kutoka kwa magaidi. Pia wamekomboa airport na hospitali katika eneo hilo. Bila shaka Jeshi la Rwanda linawapa viboko hawa watoto wadogo watundu. Rwanda endelea kukomboa maeneo zaidi ya Msumbuji. Waoga mnona jinsi Rwanda wanavyofanya kazi? Mjifunze kutoka kwao


PIGANENI NA YANAYO WAHUSU, TANZANIA KIJESHI IPO JUU YA UPEO WENU HAMUIWEZI, ALISHABAAB KILA SIKU WANAWACHINJA KAMA KUKU,
 
Back
Top Bottom